Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Upo uhusiano mkubwa kati ya utapeli na ujinga ! Utapeli unapozidi jua na wajinga wako wengi! Hata wahenga walipata kusema " Wajinga Ndio waliwawo" na mjini Shule ! Kuzaliwa mjini ni added advantage when other things remain the same! Tapeli Siku zote ni Mtu laghai maana Yake anapoanza kuja kwako approach Yake ni kutaka umuone kuwa Mtu mwema labda ktk kukusaidia Au kukuuzia kitu Kwa bei nafuu Sawa na bure, n.k hata michezo ya kamili n.k wale wote wanaosimama na kushiriki ni wajinga wengi wakishapigwa ndo akili inaanza kuwakaa ndo anakuwa amejifunza na kuondoa ujinga! Tapeli anapokutana na Mtu ile first image tu anauwezo wa kujua huyu anaingilika Au la, mfano mjini ukakutana na Mtu (Tapeli) anaanza kukuchekea Au kutabasam halafu anakuuliza za Siku anakwambia umenisahau? Ukimkazia macho na kuwa siliasi nakwambia tayari atajua huyu siyo hathubutu kukueleza utapeli wake! Mimi Hata hiyo michezo ya Desi, upatu, D9 n.k sijawahi na sifikirii kuicheza Hata Siku moja! Maana kila nikijaribu kupiga mahesabu yanakataa mwisho naona ni utapeli mtupu! Kanuni moja hii ambayo nimekuwa nikiitumia " unapokutana na Mtu yeyote Yule Hata awe amevaa vizuri Hata na suti na tai haijalishi lazima niwe suspicious hiyo inanipa kuchukua tahadhari Kabla ya hatari! Utanunuaje simu mtaani wakati simu zinauzwa madukani?
wengine walizwa hadi hati za viwanja! Ufahamu kitu kizuri sana kuwa nacho maishani