gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,623
Hehehehe dah huwez amini nipo msibani but umenifanya nicheke kwa sauti dah we jamaa sio MTU nzuri kabisaNdio lilikuwa jaribio langu la kwanza tangu kuzaliwa toka hapo sijawahi kutapeliwa tena labda mtu kunikopa na kushindwa kunilipa!
Mwaka jana nilipita kariakoo mara akaniita mpiga viatu rangi akaniambia brother nina rangi OG ya viatu vyako vilikuwa viko poa havihitaji rangi nikaona poa ngoja nimpe avipake rangi apate naye riziki akaanza kupaka brush ya kwanza akaniambia brother hii rangi ni ya ghali sana hazipatikani hivi hivi!!! Nikamuuliza leo lini akaniambia hujuwi ata leo ni lini ! Nikamwambia sijuwi kweli akaniambia leo juma pili nikasema afadhali nilijua leo j3 nina hitajika mahakamani nina kesi ya kuuwa nimekaa ndani miaka 3 nimetoka juzi tu !!
Nikamuliza itakuwa jumla shilingi ngapi akasema kila brush moja 500 nikamuuliza ushapaka ngapi akaniambia kumi nikamuambi acha hapo hapo usije nifanya nikarudi gerezani kwa kesi nyingine inayo fanana nina buku tu hapa!! Aksema ninakudai 5,000 nikamwambia kama hujuwi kifo katizame kaburi usiongeye neno jingine huyo nikasepa zangu!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app