Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

Hahah!, nimecheka kama mazuri vile haya ya mtoa mada alivyotoka mbio na sabuni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha me walini beep siku na pokea mshahara wangu wa kwanza nikiwa na kabahasha kangu ka laki miaka mingi kidogo akajilengesha brother sanahani unapajua kwa mama mbaga huwa anasaidiaga watu sana ni mganga!!! Nikawangalia usoni kabla sijauuliza swali hamtaweza amini lilinitoka neno automatic mdomoni kum .......................sengerema wewe nikasikia mwenye unajiona mjanja wenzako wamelia huku akivuka bara bara taratibu me huyoooo watu wakishanga kwanini nimetukana !!!
 
wengi wanaotapeliwa huwa na tamaa, wanaopenda shortcut na uzembe kidogo unahusika...
siku moja nimetoka mishe mishe yangu wakaja majamaa wawili kwa ukaribu sana na mimi mmoja akanigusa bega na mwingine akawahi mbele, aliponigusa tu bega nikageuza kichwa kumtazama nan huyu anigusa bega langu akawa aniuliza sehemu ipo club fulani ambayo hata sikuisikia vizur...Kumbe huyu aliyoko mbele anapitisha vidole viwili kwenye mfuko wa shat kugeuza kichwa hivi nikaona mkono ukitoka kwa kasi...nilihamaki nikasema wizi ninyi! by the way hakufanikiwa kuchukua kitu chochote,,,,,,



lakini tapeli stadi ni babu wa loliondo kwa mbinu ya kikombe cha babu hakuna mwingine
 
wakuu mimi wala sio siku nyingi ni kama mwezi umepita tangu nitapeliwe 20000....

ni hivi nilikuwa nacheki watu wanavyocheza mchezo wa kubahatisha namba na hatimaye kujishindia kifaa chochote ambacho kitakuwa na iyo namba utakayootea...

sasa baada ya kukaa kwa mda jamaa akajishindia kama elfu 18000 na kunipatia shilingi 2000 kama mgao tuu ili na mimi nicheze na mwenzangu aliye kuwa karibu...

tulilipia kisha nikapewa tiketi sita ambazo zilikuwa na namba ambazo ndizo zilikuwepo kwenye vifaa vilivyokuwepo pale ikiwepo generator,pikpik,beg radio,subwoofer,etc

baadaye kadi zangu zilikaguliwa na kati ya namba zote ilikuwapo nba ya generator...

baada ya apo nikaambiwa nilipe ela ya kuchangia ambayo ilikuwa 37000 ila mimi nilikuwa na 20000,wakati uo mwenzangu niliyelipa nae ela ya kadi akiwa ananielekeza pasipo mimi kujua kuwa yule na yeye alikuwa kampuni moja na wale matapeli

baada ya kukosa 17000 ili jumla ziwe 37000 jamaa aliniambia niazime ili niweze kukomboa generator,baada ya kuona nakaribia kunyakua generator ilinibid niweke cm bondi kwa mzee wa pembeni ananiconvice sana pasipo mimi kujua pia na yeye alikuwa ni

hatimaye nilipata 10000 kuongeza jumla ikawa 30000 nikalipa wakaniambia kwa kuwa sijalipa zote nilizotakiwa kulipa nichague kadi zangu tano pasipo kuangalia kisha niwaachie mbili ambapo mwanzo jumla zilikuwa saba

baada ya kuchagua kadi yangu iliyokuwa na namba ambayo ilikuwa ni ya generator nilitakiwa niwe nimebak nayo ila kwa kuwa nilitakiwa kuchagua kadi pasipo kuangalia sikuwa na uhakika kama nimebak nayo.....

hatimaye ulifika mda wa kuangalia kama kadi nilizo nazo kama kuna yoyote yenye namba inayofanana na kifaa chochote pale ..

niliishiwa nguvu baada ya kuambulia manyoya...

wakuu kwa kweli nilichoka ukizingatia nilikuwa nimeweka sim bondi..

tulitoka chemba na yule mzee akitaka pesa yake ili anirudshie sim yangu..

mfukoni nilikuwa nimebakiwa na 500 ikabidi sasa nianze kuonyesha sura ya huruma na kuanza kujieleza kiumaskini zaidi angalau nipewe sim

kitu kilichonijulisha kuwa yule mzee alikuwa kampuni moja na wale matapeli ni aliponishauri niende kwa yule niliyempa ela nimueleze hali halisi kama atanionea huruma na baada ya kumueleza bila hata kupoteza mda aliniuliza nimemkopa mzee sh.ngap na nikamwabia kisha akaniambia nimuite na kumwambia anipe sim yangu niondoke

mzee naye bila ata kufikiria alinipatia sim yangu nakuondoka nikiwa nishapigwa 20000 mfukoni nimebakiwa na 500

kwa kweli pale walihusika watu wengi kunitapeli akiwepo aliyenipa 2000 ya kuanzia nikiwa sina ata nia ya kucheza ila baada tuu ya kupewa ela ya bure ya kuanzia nikajikuta tayari nishaingia na kutoka siwezi

generator ikaota mbawa nikarudi nyumbani najicheka tuu mwnyw

arusha iyo jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu mimi wala sio siku nyingi ni kama mwezi umepita tangu nitapeliwe 20000....

ni hivi nilikuwa nacheki watu wanavyocheza mchezo wa kubahatisha namba na hatimaye kujishindia kifaa chochote ambacho kitakuwa na iyo namba utakayootea...

sasa baada ya kukaa kwa mda jamaa akajishindia kama elfu 18000 na kunipatia shilingi 2000 kama mgao tuu ili na mimi nicheze na mwenzangu aliye kuwa karibu...

tulilipia kisha nikapewa tiketi sita ambazo zilikuwa na namba ambazo ndizo zilikuwepo kwenye vifaa vilivyokuwepo pale ikiwepo generator,pikpik,beg radio,subwoofer,etc

baadaye kadi zangu zilikaguliwa na kati ya namba zote ilikuwapo nba ya generator...

baada ya apo nikaambiwa nilipe ela ya kuchangia ambayo ilikuwa 37000 ila mimi nilikuwa na 20000,wakati uo mwenzangu niliyelipa nae ela ya kadi akiwa ananielekeza pasipo mimi kujua kuwa yule na yeye alikuwa kampuni moja na wale matapeli

baada ya kukosa 17000 ili jumla ziwe 37000 jamaa aliniambia niazime ili niweze kukomboa generator,baada ya kuona nakaribia kunyakua generator ilinibid niweke cm bondi kwa mzee wa pembeni ananiconvice sana pasipo mimi kujua pia na yeye alikuwa ni

hatimaye nilipata 10000 kuongeza jumla ikawa 30000 nikalipa wakaniambia kwa kuwa sijalipa zote nilizotakiwa kulipa nichague kadi zangu tano pasipo kuangalia kisha niwaachie mbili ambapo mwanzo jumla zilikuwa saba

baada ya kuchagua kadi yangu iliyokuwa na namba ambayo ilikuwa ni ya generator nilitakiwa niwe nimebak nayo ila kwa kuwa nilitakiwa kuchagua kadi pasipo kuangalia sikuwa na uhakika kama nimebak nayo.....

hatimaye ulifika mda wa kuangalia kama kadi nilizo nazo kama kuna yoyote yenye namba inayofanana na kifaa chochote pale ..

niliishiwa nguvu baada ya kuambulia manyoya...

wakuu kwa kweli nilichoka ukizingatia nilikuwa nimeweka sim bondi..

tulitoka chemba na yule mzee akitaka pesa yake ili anirudshie sim yangu..

mfukoni nilikuwa nimebakiwa na 500 ikabidi sasa nianze kuonyesha sura ya huruma na kuanza kujieleza kiumaskini zaidi angalau nipewe sim

kitu kilichonijulisha kuwa yule mzee alikuwa kampuni moja na wale matapeli ni aliponishauri niende kwa yule niliyempa ela nimueleze hali halisi kama atanionea huruma na baada ya kumueleza bila hata kupoteza mda aliniuliza nimemkopa mzee sh.ngap na nikamwabia kisha akaniambia nimuite na kumwambia anipe sim yangu niondoke

mzee naye bila ata kufikiria alinipatia sim yangu nakuondoka nikiwa nishapigwa 20000 mfukoni nimebakiwa na 500

kwa kweli pale walihusika watu wengi kunitapeli akiwepo aliyenipa 2000 ya kuanzia nikiwa sina ata nia ya kucheza ila baada tuu ya kupewa ela ya bure ya kuanzia nikajikuta tayari nishaingia na kutoka siwezi

generator ikaota mbawa nikarudi nyumbani najicheka tuu mwnyw

arusha iyo jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaaa huo mzunguko ungekua na zaidi ingekula kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipigwa buku9 masika kwa wauza madude used.yale, redio na tv za kizamani.
Nikaja kupigwa simu moshi, na wale jamaa.wenye stori nyingi na nahisi walitumia madawa wale! Wakanikoholesha nywele toka tumboni.ha ha nilipigwa simu mbili, cheni na buku5
Hahaaa wale wenye story nyingi na kukutapisha nywele waliniliza buku saba Dsm..Mpka leo mtu nisiyemjua akinisemesha harafu nikahisi kuwa ni tapeli atajuta kuzaliwa nimewahi kutoa kisago cha haja mtaa wa kongo Mpka leo wakiniona wananiamkia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilitapeliwa na demu wa sudam temeke baada ya kupata boom first year 2015 nikasema ngja nikachukue mtt mzur mana wa chuo wanazingua sana basi ohh nimefika pale akanikaribisha kwa makeke tukaongea bei nikaanza kupiga miti alivyogundua na pesa nying mana nilikua na lak iv akasema amenielewa so nipige viwil vya free bas nikapiga nikachoka si nikajilaza nakuja kushtuka sina kitu kumuuliza anabisha na akasema nimpe pesa yake ohh wakanipa option mbili ya kwanza niache simu na ya pili niwanyonye K mana alimwita rafik ake basi mwanaume nikasema simu siachi nikazama chumvini ah si wakapata nyege nikatwanga kimoja afu nikasepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu nakubali uzembe huu ndio source yakutamka neno UTAPELI LEO HII

ila nawe mzembe usiekua na calculations... hiyo pesa ya kwenda na kurudi tena kariakoo si ungenunua mswaki kwa Mangi hapo...duh

Sent using Jamii Forums mobile app
Hasira gharama. Ya dawa ya meno hayakuwepo tena. Kikicholengwa pale sasa ilikuwa ni uchu wa kuua ama kukomesha(lust to kill), ndiyo maana sikujali tena gharama za usafiri.
 
kuna manzi alikuwa ana tamaa sana afu ajifanya anajua sana gadgets, ooh mi siwezi hongwa Tocno, nikamwambia hapa kuna Iphone6 vipi unasemaje? oooh iko wapi? jibu toa vitu upate vitu.....mtu kaukeshea night till sono, kisha kapewa iphone lenye icloud akahangaike nalo.....akawa akipiga simu misonyo ya hatari ila mwisho wa siku akaja tuu na kukubali kwamba nimemuweza na kesi ikaishia hapo, na akataka tena game la free kama bonus.
Umefupisha sana. Hilo game la free ulilicheza?
 
Acheni acheni kabisa, matapeli achana nao. Mimi nimetapeliwa mara nyingi na kwa mambo tofauti tofauti. Ikiwemo ajira, biashara, utajiri na nk. Lakini utapeli mkubwa nisioweza kuhusahau ambao ulihatarisha kuvunja ndoa yangu, ni kutapeliwa uwanja Tegeta masite. Hapo sitakuja kusahau. 2002 niliuziwa uwanja milioni 3, mbele ya wanasheria siwezi kuwaandika, maana kila walichokitaka wanasheria jamaa wali submit tena og. Yalifanyika malipo nikapewa document zote, ilikuwa offer. Sitakuja kusahau nakuambia. Nilikuwa na hamu sana kuwa na nyumba, nikaweka tofari zaidi ya elfu2, mchanga, kokoto nyie acheni tu. Ita mafundi wakafanya setting ya msingi, kazi imeanza nikapata safari ya SA, lakini huku niliacha kila kitu safi yaani nikirudi no kupaua tu. Jamani niko Durban napigiwa simu, huku balaha uwanja huu ni wa mtu. Aiseeh naumia sana, acheni tu ila Mungu anawaona.
 
Hahaha me walini beep siku na pokea mshahara wangu wa kwanza nikiwa na kabahasha kangu ka laki miaka mingi kidogo akajilengesha brother sanahani unapajua kwa mama mbaga huwa anasaidiaga watu sana ni mganga!!! Nikawangalia usoni kabla sijauuliza swali hamtaweza amini lilinitoka neno automatic mdomoni kum .......................sengerema wewe nikasikia mwenye unajiona mjanja wenzako wamelia huku akivuka bara bara taratibu me huyoooo watu wakishanga kwanini nimetukana !!!


Huh!, mwenzetu uliona maono kabla hawajakuingiza mjini?!
 
Huh!, mwenzetu uliona maono kabla hawajakuingiza mjini?!
Ndio lilikuwa jaribio langu la kwanza tangu kuzaliwa toka hapo sijawahi kutapeliwa tena labda mtu kunikopa na kushindwa kunilipa!
Mwaka jana nilipita kariakoo mara akaniita mpiga viatu rangi akaniambia brother nina rangi OG ya viatu vyako vilikuwa viko poa havihitaji rangi nikaona poa ngoja nimpe avipake rangi apate naye riziki akaanza kupaka brush ya kwanza akaniambia brother hii rangi ni ya ghali sana hazipatikani hivi hivi!!! Nikamuuliza leo lini akaniambia hujuwi ata leo ni lini ! Nikamwambia sijuwi kweli akaniambia leo juma pili nikasema afadhali nilijua leo j3 nina hitajika mahakamani nina kesi ya kuuwa nimekaa ndani miaka 3 nimetoka juzi tu !!
Nikamuliza itakuwa jumla shilingi ngapi akasema kila brush moja 500 nikamuuliza ushapaka ngapi akaniambia kumi nikamuambi acha hapo hapo usije nifanya nikarudi gerezani kwa kesi nyingine inayo fanana nina buku tu hapa!! Aksema ninakudai 5,000 nikamwambia kama hujuwi kifo katizame kaburi usiongeye neno jingine huyo nikasepa zangu!!!!!
 
Ndio lilikuwa jaribio langu la kwanza tangu kuzaliwa toka hapo sijawahi kutapeliwa tena labda mtu kunikopa na kushindwa kunilipa!
Mwaka jana nilipita kariakoo mara akaniita mpiga viatu rangi akaniambia brother nina rangi OG ya viatu vyako vilikuwa viko poa havihitaji rangi nikaona poa ngoja nimpe avipake rangi apate naye riziki akaanza kupaka brush ya kwanza akaniambia brother hii rangi ni ya ghali sana hazipatikani hivi hivi!!! Nikamuuliza leo lini akaniambia hujuwi ata leo ni lini ! Nikamwambia sijuwi kweli akaniambia leo jua pili nikasema afadhali nilijua leo j3 nina hitajika mahakamani nina kesi ya kuuwa nimekaa ndani miaka 3 nimetoka juzi tu !!
Nikamuliza itakuwa jumla shilingi ngapi akasema kila brush moja 500 nikamuuliza ushapaka ngapi akaniambia kumi nikamuambi acha hapo hapo usije nifanya nikarudi gerezani kwa kesi nyingine inayo fanana nina buku tu hapa!! Aksema ninakudai 5,000 nikamwambia kama hujuwi kifo katizame kaburi usiongeye neno jingine huyo nikasepa zangu!!!!!




Hahaha!, lakini Fundi!!
Eti leo nilifikiri jumatatu nina kesi ya kuua!

Naona aliishiwa nguvu kabisa hata ya kukudai tena asee!
Sawasawa lakini kwa mtu kama huyo, yaani mtu unajitoa kutaka kumsaidia halafu anataka kukufanyia upuuzi sijui umfanye nini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa wale wenye story nyingi na kukutapisha nywele waliniliza buku saba Dsm..Mpka leo mtu nisiyemjua akinisemesha harafu nikahisi kuwa ni tapeli atajuta kuzaliwa nimewahi kutoa kisago cha haja mtaa wa kongo Mpka leo wakiniona wananiamkia

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi amini mwenyewe nilijiapiza mtu nsiyemjua akinletea shobo njiani af aniulize kitu cha kisenge ntamtia kisago heavy mpaka ajute!
 
nilisha tapeliwa ubungo miakahiyoo yote nitamaa yakutaka simu kubwa wakatihuo ni nokia niliwapa kasimu kangu na bukutano wakanipa simu kubwa ya camera nikaanza safari kurudi mikoani ilesimu alidai ya inshu so nisi onyeshe mpaka mbele ya safari. Kufika njiani kufungua ni sabuni do iliniuma sana ok nilifika home nakumbuka ilikuwa night ilesabuni sikuitupa nili itumia kuogea uleusiku nikapanga kisasi cha kumsaka yulejamaa kwavile nilikuwa nasafiri mara kwa mara nilijuwa iposiku nitamkamata. Zamwizi 40 sikunahiyo nikamkamata yule kijana na mimi nilikuwa kijana pia mwanzo alikataa mwishoe alikubali kumbe walikuwa wengi kamatimu na pia wana mkubwa wao akaja akaniaidi atampa simu yangu konda wa basi la mkoa ninapotoka kesho yake kwasababu simuwalisha uza kwa mkata tiketi pale getini so wakimpata watanirudishia matokeo yake walisumbua kama mwezi bila kupatasimu nilipo rudi tena dar. Nilibeba kisu nilipanga kuondoka na masikio ya mtu sikuhiyo kwanza nilianzia kituoni ilinikifanya tukio iwenimesha toa taarifa ya kutapeliwa nilipata rb then nikamsaka muhusika nilipo mpata wenzake wakajitokeza wakachangishana pesa ya kukomboa simu huko waliko iuza wakanipa simu ila head phone walidai walimpa afande mmoja palekituoni kwenye mgao wao hapo nikafahamu hata baadhi ya tunao wategemea kwa usalama sio waaminifu ila nilifanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishatapeliwa stendi kuu mbeya,Ilikuwa hivi
Nimetoka zangu shule(Iyunga tech)nimechoka kinyama,pepa zote zimenibaka(PCM) nimefika stand kuu natafuta ofisi za hood hola,namuuliza utingo mmoja akanipeleka ofisi ya hood feki,tiketi feki mpaka gari feki
Mpaka kuja kushtuka nipo ndani ya MAJINJI EXPRESS naelekea dar
 
kuna manzi alikuwa ana tamaa sana afu ajifanya anajua sana gadgets, ooh mi siwezi hongwa Tocno, nikamwambia hapa kuna Iphone6 vipi unasemaje? oooh iko wapi? jibu toa vitu upate vitu.....mtu kaukeshea night till sono, kisha kapewa iphone lenye icloud akahangaike nalo.....akawa akipiga simu misonyo ya hatari ila mwisho wa siku akaja tuu na kukubali kwamba nimemuweza na kesi ikaishia hapo, na akataka tena game la free kama bonus.
Hahaha we jamaa...sasa wewe ndie tapeli..hapo hujatapeliwa.... hebu njoo Pm tuwe tupeane macontact tuwe tunapeana porojo maana unavitabia kama vyangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom