Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

Acheni acheni kabisa, matapeli achana nao. Mimi nimetapeliwa mara nyingi na kwa mambo tofauti tofauti. Ikiwemo ajira, biashara, utajiri na nk. Lakini utapeli mkubwa nisioweza kuhusahau ambao ulihatarisha kuvunja ndoa yangu, ni kutapeliwa uwanja Tegeta masite. Hapo sitakuja kusahau. 2002 niliuziwa uwanja milioni 3, mbele ya wanasheria siwezi kuwaandika, maana kila walichokitaka wanasheria jamaa wali submit tena og. Yalifanyika malipo nikapewa document zote, ilikuwa offer. Sitakuja kusahau nakuambia. Nilikuwa na hamu sana kuwa na nyumba, nikaweka tofari zaidi ya elfu2, mchanga, kokoto nyie acheni tu. Ita mafundi wakafanya setting ya msingi, kazi imeanza nikapata safari ya SA, lakini huku niliacha kila kitu safi yaani nikirudi no kupaua tu. Jamani niko Durban napigiwa simu, huku balaha uwanja huu ni wa mtu. Aiseeh naumia sana, acheni tu ila Mungu anawaona.
Mwisho wake ikawaje???
 
Nilipewa buku na baba nikanunue Shati la shule. Nikafika mitumbani nikakuta wale jamaa wa Karata tatu.. Weka hapa unapata, hapa unakosa.
Nikaangaliaaa, nikaona kabisa kete ile pale.
Nikaweka ile buku.
Jamaa wakaanza kunipampu "Dogo ongeza hela ule zaidi"
Nikawaambia sina nyingine. Funua hapo nilipoweka hela yangu.
Kufunua chaliiiii.... Kete ikahamia mwanzo.
Daaah.. Nakumbuka niliporudi nyumbani baba alinichapa sana.
 
Nilipigwa buku9 masika kwa wauza madude used.yale, redio na tv za kizamani.
Nikaja kupigwa simu moshi, na wale jamaa.wenye stori nyingi na nahisi walitumia madawa wale! Wakanikoholesha nywele toka tumboni.ha ha nilipigwa simu mbili, cheni na buku5
Hahhaahaaaaa!!! Niliwahi kunusurika na Mimi walinitoa nywele,baada ya hapo nikaenda kusali, wapumbavu Sana wale
 
nilitapeliwa na demu wa sudam temeke baada ya kupata boom first year 2015 nikasema ngja nikachukue mtt mzur mana wa chuo wanazingua sana basi ohh nimefika pale akanikaribisha kwa makeke tukaongea bei nikaanza kupiga miti alivyogundua na pesa nying mana nilikua na lak iv akasema amenielewa so nipige viwil vya free bas nikapiga nikachoka si nikajilaza nakuja kushtuka sina kitu kumuuliza anabisha na akasema nimpe pesa yake ohh wakanipa option mbili ya kwanza niache simu na ya pili niwanyonye K mana alimwita rafik ake basi mwanaume nikasema simu siachi nikazama chumvini ah si wakapata nyege nikatwanga kimoja afu nikasepa

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo fala kweliii, pumbavuuu kabisa,
 
Matapeli wako na akili Mingi Sana
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa naka grocery changu some where, kuna mzee mmoja alikuwa mteja wangu Sana kipindi hicho, isitoshe ndio alikuwa amekula pesa ya mafao baada ya kustaafu uwalimu. Hivyo kifedha alikuwa mtamu.

Kipindi hicho ndio Brevirs zinaingia bila Mil 13+ huwez pata, kuna majamaa walikuwa wawili walikuja na hiyo gari, chombo ilikuwa mpya...haina plate number zaidi ina chasers no. kwenye kioo ilikuwa rangi ya Silva.

Wakaja pale na story nyingi wakijifanya watu wa madini..na walikuja mjini kwa ajili ya kutumia baada ya mgodi wao kutema..hvy muda wote wanazungumza na hayo mambo wanakunywa bia za kutosha huku wanamnunulia na yule mzee.

Basi wakasema mwaka huu umekuwa wa neema kwao kwani wamepata simu mgodi umelipua Tena(umetema) hivyo hawawezi kukaa Tena mjini inabidi warudi pori.

Hivyo inabidi hilo gari wauze kwa bei ya hasara, kutokana muda wa kulitumia watakuwa hawana...ht hvy wakitoka huko watachukua chuma kingine kikali.
Mara mzee mstaafu kaingia mkenge kawauliza mnauza Tsh ngapi...wale majamaa wakacheka, wakamuuliza mzee unapesa ya kununua gari wewe?
Mzee akasema sio moja nyie vijana wa siku hizi mnatudharau Sana wazee...wakamwambia kama unayo Mil 10 tunaenda kukuchukulia kadi tunakuachia gari Hy hata nuksi haina.

Mzee akasema kama ni 7Mil Sasa hv tunaenda bank...majamaa wakaangalina wakamwambia ngoja tufanye tumekupa sadaka...wakatoka wakaenda kumpa kadi feki...baada ya mzee kuwapa fedha wakarudi baa kugonga mvinyo kwa kwakuwa mzee hajui kuendesha wakamwambia mpigie dereva aje kukuchukua wakamwachia funguo feki na kadi feki wakatoka nje wakachukua ndinga wakasepa.
Biashara ilifanyika kama masaa matano hv mzee anarudi analia amepigwa Mil 7 Kama mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana mnaambiwaga hivi vitu mvizoee kununua mapema kabla hamjazeeka,alinunua Gari kama ananunua maparachichi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mazingaombwe mm nimekaa nao sana hapo aggrey kariakoo lakn hadi leo huwa sielewi wanachokifanya
Hamna mazingaombwe wala nn,akili Tu ,anayekuws na sabuni anakuwa hatua kadhaa attention na muuzaji,anawasoma nyie,Kwa mazingira kama ya k/koo au ubungo unaweza dhan ni mpita njia,akili yake inaanza kufanya kazi mkishakubaliana ,kile kitendo cha kuingiza mkono mfukoni utoe hela yy anakuwa tayari kashafanya yake,sababu huwez kutoa hela huku umekaza macho Kwa muuzaji,wakiona ww mbishi unatoa macho anaweza kuja MTU Kwa nyuma hata kukugusa ili ugeuze shingo Wana wafanye Yao,hicho ni kitendo cha ghafla kisicho na error yoyote kinachofanyika chini ya sekunde mbili,ukitaka kumuweza Fanya kama mdau hapo juu,wakati unaikagua cm usiirudishe,baki nayo mkononi mwako hawez kukubali hata umwambie unampa laki 2!!
 
Back
Top Bottom