Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Ha ha ha walikukuta na yebo yebo nn mguun na yale magauni ya kung'aa na maua maua![]()
![]()
![]()
![]()
Maybe waliniona mshamba, ila hata sikuelewa ilikuwaje yaani hadi ninunue simu.
Ha ha ha walikukuta na yebo yebo nn mguun na yale magauni ya kung'aa na maua maua![]()
![]()
![]()
![]()
Maybe waliniona mshamba, ila hata sikuelewa ilikuwaje yaani hadi ninunue simu.
Nakustahi!
Mie nilisalimiana nae na mkono nilimshika aisee!Unatakiwa usimpe nafasi ya kuongea nae wala kushikana nae mkono ! Yani Wewe kuwa siriasi na kumkazia macho huku ukimwangalia usoni akiona hivyo tu anaogopa anahisi huenda Wewe ni polisi waweza mkamata, nakwambia utanuona anaondoka mara moja karibu yako!
Ni halali yako maana ulikuwa unachafua mazingiraNililipia haja ndogo kwa 7000/=
Nimetoka zangu kuripoti Form Five pale Ilboru Secondary nikasema ngoja nikatalii jiji la Arusha wanapaita Arachuga.
Kufika mjini nikabanwa sana na mkojo.
Nikawa naogopa kuulizia choo cha kulipia kiko wapi SABABU nishaambiwa Arachuga kuna wahuni. Basi pembeni palikua na makaburi, nikasogea kwenye mti nikaanza kukojoa.
Ile namaliza tu, jamaa wawili wamevaa makoti wakaja.
Wakanipiga sana mkwara, kuwa wao ni maafande wa mazingira. Wakasema twende kituoni nikawekwe ndani.
Nikaanza kuwabembeleza, wakasema nitoe 30,000 waniache. Daaah, mfukoni nilikua na 7000 tuu.. Nikawapa wakaniachia.
Nikashukuru sana. Nikarudi shule fasta mkojo mwingine usije kunibana nikaumbuka tena.
Ha ha ha walikukuta na yebo yebo nn mguun na yale magauni ya kung'aa na maua maua
Hahahahaahaha eti YEBOYEBO..tena za njanoHa ha ha walikukuta na yebo yebo nn mguun na yale magauni ya kung'aa na maua maua
Duh mkuu unapost mara ngapiNilishatapeliwa stendi kuu mbeya,Ilikuwa hivi
Nimetoka zangu shule(Iyunga tech)nimechoka kinyama,pepa zote zimenibaka(PCM) nimefika stand kuu natafuta ofisi za hood hola,namuuliza utingo mmoja akanipeleka ofisi ya hood feki,tiketi feki mpaka gari feki
Mpaka kuja kushtuka nipo ndani ya MAJINJI EXPRESS naelekea dar
Ha ha ha ha sasa wewe ulikuwa Miss Kolomije ukakutana na wajanja wa Msamvu![]()
![]()
![]()
![]()
Huo mwaka mbona nilikuwa mjanja mjanja kabisa jamani.
Bora umekuja ndugu yangu...maana hawa wahanga wa Vyeti shida.Acha ufala wewe.
Umekosea kuandika unarekebishwa bado unaleta mapovu hapa.
Mie nilisalimiana nae na mkono nilimshika aisee!
Ha ha ha ha sasa wewe ulikuwa Miss Kolomije ukakutana na wajanja wa Msamvu
Kwakweli nilijifunza sana tu.Pole mwaya! Nazani utakuwa umejifunza sasa kutokana na makosa! Tupo kujifunza kila siku !
Acha ufala wewe.
Umekosea kuandika unarekebishwa bado unaleta mapovu hapa.
Wewe Kama Kweli ni Engineer basi utakuwa Engineer uchwara Au Fundi Mchundo! Siwezi amini Engineer Kweli ashindwe kuelewa tofauti ya "errors vs mistakes" yani Mhandisi gani unashindwa kuelewa " content meaning of a particular messege? Ingekuwa markers Yani wasahihishaji wa Mitihani wangekuwa akili Yao Kama yako kiwango cha Watu kufeli kingekuwa maradufu! Errors are used to happen! Jifunze kuangalia maudhui ya ujumbe mzima na siyo makosa madogo madogo ya uchapaji! Sijakataa alichosahihisha isipokuwa aliposema chaputa ndo nikamuona huenda ni Mdau wa mambo hayo Kama ulivyo wewe pia! Ujinga mzigo!
We kaka mbona una maakili sana,,unafaa kuwa mwlWewe Kama Kweli ni Engineer basi utakuwa Engineer uchwara Au Fundi Mchundo! Siwezi amini Engineer Kweli ashindwe kuelewa tofauti ya "errors vs mistakes" yani Mhandisi gani unashindwa kuelewa " content meaning of a particular messege? Ingekuwa markers Yani wasahihishaji wa Mitihani wangekuwa akili Yao Kama yako kiwango cha Watu kufeli kingekuwa maradufu! Errors are used to happen! Jifunze kuangalia maudhui ya ujumbe mzima na siyo makosa madogo madogo ya uchapaji! Sijakataa alichosahihisha isipokuwa aliposema chaputa ndo nikamuona huenda ni Mdau wa mambo hayo Kama ulivyo wewe pia! Ujinga mzigo!
There is no such a thing as mazingaombwe or magic as many would think, it's all about tricks. It's called "A SLIGHT OF HANDS TRICKS".Kwakweli kuna mazingaombwe aisee, nilikuwa nashangaa na sielewi inakuwaje mtu anatapeliwa na hao watu hadi nilipotapeliwa Mimi.
Mjomba unapovu sana dah..kwani shem kaondoka kakuachia kichanga au???Wewe Kama Kweli ni Engineer basi utakuwa Engineer uchwara Au Fundi Mchundo! Siwezi amini Engineer Kweli ashindwe kuelewa tofauti ya "errors vs mistakes" yani Mhandisi gani unashindwa kuelewa " content meaning of a particular messege? Ingekuwa markers Yani wasahihishaji wa Mitihani wangekuwa akili Yao Kama yako kiwango cha Watu kufeli kingekuwa maradufu! Errors are used to happen! Jifunze kuangalia maudhui ya ujumbe mzima na siyo makosa madogo madogo ya uchapaji! Sijakataa alichosahihisha isipokuwa aliposema chaputa ndo nikamuona huenda ni Mdau wa mambo hayo Kama ulivyo wewe pia! Ujinga mzigo!