Kama ulitumia hili Daftari shule ya msingi anza kuandika wosia

Kama ulitumia hili Daftari shule ya msingi anza kuandika wosia

Na unadhani leo bila mchina kumwaga kila kitu kwa bei ya kutupa ungekuwa unavaa nini ? Sababu tukiongelea viwanda vyote vimeshakuwa magofu na bado kila kitu unalipia !!!! Tatizo huenda hata hatujui wajibu wa Mwenye Nchi na Na Serikali (Sasa hivi unakamuliwa na hakuna value for money)

Naisoma mkuu, kwaio kwa Sasa mkoloni mweusi...anakamua Kila mahali..
 
If I have seen further is by standing on the shoulders of the Giants....; Unaweza kutupa word by word (ad verbatim) walivyosema hao wadau ?

Better still busara ni kutumia chochote na lolote kutoka mandhari yoyote kama linaendena na hadhira yako; kutoa huku na kule na kuweza ku-apply katika maisha yako be it a concept au nukuu kutoka kwa bibi yako au nyumba ndogo.... (and that can be achieved kwa kupenda kusoma na kusikiliza watu tofauti na sio uvivu) tukianza kusema who said what and when hata hao uliotaja hio concept sio ya kwao (it's common sense hivyo naweza kusema idea kama hii ipo tangia the beggining of schools / learning institutions...)
Maneno haya alikua akisema kwa babu zetu walikua wanamuona nabii na jiniasi kumbe anaquote watu bila acknowledgement. Hii ni plagiarism iwe ni paraphrasing au direct quote kifupi ni tapel wa zaman enzi za kiza

Lkn ni shujaa wa taifa letu daima
 
Maneno haya alikua akisema kwa babu zetu walikua wanamuona nabii na jiniasi kumbe anaquote watu bila acknowledgement. Hii ni plagiarism iwe ni paraphrasing au direct quote kifupi ni tapel wa zaman enzi za kiza

Lkn ni shujaa wa taifa letu daima
Kwahio akiongea na babu zenu aanze kuchambua maandiko ya nani sijui kasema wapi na qoute namba ngapi ? Nimekuuliza unisaidie kuleta hilo walilosema hao ambao umesema Ad Verbatim ili tuone jinsi alivyochukua kutoka kwao.....; By the way kama mwalimu alikuwa na hadithi nyingi sana ambazo alikuwa akizisema na kuelezea kabisa zimetoka wapi iwe kwenye Bible au kiongozi wa popote pale.....

Narudia tena If I have seen further is by standing on the shoulders of the giants (which he did) tofauti na current leaders wanajificha kwenye migongo ya propaganda huku wakila jasho la walipa kodi
 
Kwahio akiongea na babu zenu aanze kuchambua maandiko ya nani sijui kasema wapi na qoute namba ngapi ? Nimekuuliza unisaidie kuleta hilo walilosema hao ambao umesema Ad Verbatim ili tuone jinsi alivyochukua kutoka kwao.....; By the way kama mwalimu alikuwa na hadithi nyingi sana ambazo alikuwa akizisema na kuelezea kabisa zimetoka wapi iwe kwenye Bible au kiongozi wa popote pale.....

Narudia tena If I have seen further is by standing on the shoulders of the giants (which he did) tofauti na current leaders wanajificha kwenye migongo ya propaganda huku wakila jasho la walipa kodi
Maelezo yako yote hayaondoa uzto wa hoja yangu ya wizi wa kitaaluma

Note: sijasema Nyerere mwanasiasa mbaya
 
Maelezo yako yote hayaondoa uzto wa hoja yangu ya wizi wa kitaaluma

Note: sijasema Nyerere mwanasiasa mbaya
Ili tuweze kumshika mwizi tuanzie pale ambapo wewe umegundua ameiba sasa kwa manufaa yangu pia kujifunza unaweza ukanisaidia kuleta hio qoute hao watu ad verbatim walichosema tuone kwamba aliiba ? Na tuhakikishe kwamba sio amechukua concept (ambayo ipo wazi na inajulikana) au amechukua qoute ambayo nina uhakika niki-dig deep down naweza kuona ipo attributed kwa mwingine pia....
 
Haaaha...

Andika wosia kama uliona/ tumia ivi vifwatavyo..

Bia bingwa
Soda mwala
Chai jaba
Chopeko na minofu
Hawafu mwenye nguvuuuuuuuu
Juma na uledii
Chupi za vip
Enzi za kipande CHA baiskeli
Kodi ya kichwa
Maduka ya ujamaa
Kula wali mpaka sikukuu
Kunywa soda mpaka uumwe/ uende ugenini

Kwa uchache sanaa
Hahahahahahahaha mkuu hapo kwenye "Soda mwala"
Umetisha
 
Ili tuweze kumshika mwizi tuanzie pale ambapo wewe umegundua ameiba sasa kwa manufaa yangu pia kujifunza unaweza ukanisaidia kuleta hio qoute hao watu ad verbatim walichosema tuone kwamba aliiba ? Na tuhakikishe kwamba sio amechukua concept (ambayo ipo wazi na inajulikana) au amechukua qoute ambayo nina uhakika niki-dig deep down naweza kuona ipo attributed kwa mwingine pia....
Hio ni plagiarism acha ngonjera zako uje na hoja thabiti za kutetea, alichofanya Nyerere ni paraphrasing tu na haiondoi kama ni wizi
 
Hio ni plagiarism acha ngonjera zako uje na hoja thabiti za kutetea, alichofanya Nyerere ni paraphrasing tu na haiondoi kama ni wizi
Mkuu what where the actual words said by hao unaosema ili tumshike mwizi vizuri....
 
Back
Top Bottom