Kama ulitumia hili Daftari shule ya msingi anza kuandika wosia

Kama ulitumia hili Daftari shule ya msingi anza kuandika wosia

“Kifo, kwa sura kavu kabisa kinanyemelea kwa usawa majumba ya matajiri na vibanda vya masikini”. Ovid(43 BC)
 
Nyerere alikua mjanja mjanja sana haya ni Maneno ya john Dewey na paulo freire "education as liberation"
Angalia hapa chini jinsi Nyerere alivyoendeleza wizi wake wa kitaaluma(plagiarism) alipokuwa akizungumzia maadui watatu wa nchi 😂.

"Where justice is denied, where poverty is enforced, where ignorance prevails, and where any one class is made to feel that society is an organized conspiracy to oppress, rob and degrade them, neither persons nor property will be safe"by Frederick Douglass.
 
Angalia hapa chini jinsi Nyerere alivyoendeleza wizi wake wa kitaaluma(plagiarism) alipokuwa akizungumzia maadui watatu wa nchi 😂.

"Where justice is denied, where poverty is enforced, where ignorance prevails, and where any one class is made to feel that society is an organized conspiracy to oppress, rob and degrade them, neither persons nor property will be safe"by Frederick Douglass.
Angalia hapa chini jinsi Nyerere alivyoendeleza wizi wake wa kitaaluma(plagiarism) alipokuwa akizungumzia maadui watatu wa nchi 😂.

"Where justice is denied, where poverty is enforced, where ignorance prevails, and where any one class is made to feel that society is an organized conspiracy to oppress, rob and degrade them, neither persons nor property will be safe"by Frederick Douglass.
Halaf babu zetu walikua wanaona katema madini kwel kwel kumbe kakopi na kupaste.
 
😁😁
Baada ya kuona picha hiki ndicho kilichonijia akilini pia.
Au jamaa katupiga, afu jamaa anatutishia wosia wakati kina Wasira ndo kwaaanza kumekucha. Sijui ana wivu na sisi watoto wa "Haliuzwi" kwa kua wao ni kizazi cha michango mpaka ya chaki?
 
Angalia hapa chini jinsi Nyerere alivyoendeleza wizi wake wa kitaaluma(plagiarism) alipokuwa akizungumzia maadui watatu wa nchi 😂.

"Where justice is denied, where poverty is enforced, where ignorance prevails, and where any one class is made to feel that society is an organized conspiracy to oppress, rob and degrade them, neither persons nor property will be safe"by Frederick Douglass.
Kwamba hizo concept alikuja nazo Fredrick Douglass kabla yake watu walikuwa hawajui impact ya poverty na kutokuwa na justice ?!!!

Hizo ni concept ambazo zipo wazi mtu anazitumia kulingana na hadhira ya wakati husika na anachokiongelea ili kufikisha ujumbe; Kama nilivyosema mwanzo wato unaowaona wameona mbali zaidi ni sababu ya kusimama kwenye mabega ya (Giants); Case in point hapa juzi tu nilikuwa naongea issue moja nikatoa msemo wa It does not matter if a Cat is Black or white so long as it catches Mice...; - akasema ni Deng Xiaoping ndio alisema na alimaanisha jambo lingine (nikamuelewesha huyu mtu hata yeye ndio alifanya msemo ukawa popular lakini msemo huu ulikuwepo kitambo na kutumiwa na watu wa China)

Moral of the story: wewe kama ni mpishi na unapika pishi (kuelezea watu wako mambo tofauti) sio mbaya ukatumia ujuzi na vikorombwezo vya wapishi wengine wakali duniani ili kuleta radha tamu zaidi... Upuuzi ni kuacha kutumia hizo ingredients wakati zipo na unaweza kuzitumia - Na ukiangalia hata hizo ingredients sio za hao unaosema bali na wao wamezitoa pengine kutokana na experience na happenstances.... Leo hii kila tukisema za kuambiwa changanya na zako (tukihusisha na Kikwete) au Better one step forward with the people than ten steps without! - Tukihusisha na Sankara kutokana na Speech yake aliyotoa ila msemo huu ni widely used duniani
 
Wosia naandika, ila cha kuwaachia hao wasoma wosia ndio shughuli
 
Andika wosia ukiingia Mtandaoni na ukaanza kutukana Jina Abduli ht usipomalizia majina mawili ya mwisho.
 
Back
Top Bottom