daftari

Lisa Daftari is an investigative journalist focusing on foreign affairs, with a specialization in Middle Eastern policy and counterterrorism. She regularly appears on television and radio with commentary and analysis, providing exclusive reporting on vital developments in the region. Currently, she is an on-air Fox News political analyst and has previously been featured on CBS, NBC, PBS, the Washington Post, NPR, ABC, Voice of America, and others. Lisa also serves as founder and Editor-in-Chief of The Foreign Desk, an international news and U.S. foreign policy news website. Daftari has been interviewed in Spanish, English, and Persian.
Her areas of expertise and coverage include the Middle East and North Africa, terrorism, national security, the Arab Spring, global Christian persecution, human rights, cyber security, and more. She was invited to show her documentary film about an Iranian underground political movement in Congress. She frequently is called upon to give briefs and expert testimony for government and private entities. Daftari has worked for a number of think tanks in Washington, where she has written exclusive reports for the Pentagon and other government groups.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Shemsa Mohammed Ahamasisha WanaCCM Kujiandikisha Daftari la Wapiga Kura

    MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed amewaagiza viongozi wa Matawi, Kata na Mashina kuhamasisha wanachama kujiandikisha katika daftari la wapiga kura ili wapate sifa za kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025. Ameyasema...
  2. Gai da seboga

    Kitendo cha Walimu wengi Kuomba Kazi kuboresha Daftari la mpiga kura Basi ni kielelezo tosha Maslahi ya Walimu ni Duni...

    Wasalam mabibi na mababu... Toka tarehe 14/4/2024 Tume huru ya uchaguzi imetoa tangazo la nafasi za kazi za muda katika kuboresha Daftari la kudumu la mpiga Kura. Katika Jambo lililonishangaza ni kuona wimbi la walimu kuomba hizi nafasi, imani yangu inaniambia hizi ilikuwa n nafasi za kuomba...
  3. U

    Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu

    Ni hesabu nilizopiga katika duka langu dogo nililoweka binti wa kazi mwaka jana, Nimehitimisha biashara ilikuwa inapiga nondo / kujitekenya / BREAK EVEN. Biashara hii mzigo wa dukani sio wangu hadi pale tu nitapouza, nisipouza naweza kuurudisha, mzigo ukiisha naenda kuchukua mwengine, hivyo...
  4. Subira the princess

    Liko wapi daftari la kudumu la wapiga kura?

    wasalaam, inashangaza mpaka sasa serikali ccm na tume ya uchaguzi ya ccm hawana mpango wa kuandikisha wapiga kura wapya ktk daftari la kudumu la mpiga kura. ukiangalia kule upande wa pili visiwani Zanzibar. wametoa utaratibu na wanaandikisha wapiga kura wapya. ikubukwe 2024 kuna uchaguzi wa...
  5. M

    Nimemuota Ndugai kashika daftari la kijani anaandika summary

    Nawasalimu katika jina la Bwana,Muumba mbigu na nchi na vitu vyote vilivyomo,vinavoonekana na visivoonekana. Ndugu zangu,ktk fumbo ambalo mwenyezi Mungu katuwekea basi ni usingizi,iwe tajir au masikini,Mtawala au mtawaliwa wote tunapokuwa ktk usingizi huwa tupo ktk Hali ya kutojua chochote...
  6. B

    Jaji Mwambegele: Ushiriki wa wadau muhimu kufanikisha uboreshaji wa daftari la Wapiga Kura

    Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele wakati akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi kuhusu majaribio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura leo tarehe 17 Novemba, 2023 jijini Dar es Salaam. Sehemu ya viongozi wa Dini walioshiriki mkutano huo...
  7. S

    Je, bado unarekodi taarifa za biashara yako kwenye daftari?

    Habari wana Jamii Forum, Je, bado unarekodi taarifa za biashara kwenye daftari? Mimi ni freelance Book-Keeper mwenye uzoefu wa Zaidi ya miaka 5 na mhitimu wa Chuo cha Ifm kwa degree ya Accounting. Ni binti mchapakazi na ninaethamini kazi za watu wengine. Natoa huduma zifuatazo kwa biashara...
  8. Mtemi Eno

    "zilipotokea na zinapokwenda" pana utofauti ?

    Mfano una daftari la kurekodi stock inavyoingia kutoka stoo au ukinunua, na pia unarekodi stock ikitoka aidha kwa kuwauzia wateja ama kuibiwa. ni sawa kuandika "zilipotokea na zinapokwenda" ama kuna maneno yapi yanaweza kuwa mbdala mzuri
  9. sky soldier

    Data usage Monitor, Mali bila daftari hupotea bila habari. Nimepata software nzuri sana ya kufatilia matumizi ya data kwenye pc, nami nawashirikisha

    Hasa kwetu tunaotumia vifurushi vya kupima kwa ndonya vyenye kikomo cha GB, Hivyo kwetu GB hizo ni mali. Binafsi kwenye Pc nimeipata hii software ya Net Traffic, ni kasoftware kadogo tu kana KB kadhaa ila kazi yake iko poa. naweza kuangalia kiasi cha data nachokitumia live, kwa saa, kwa siku...
  10. BARD AI

    Serikali kuanza maboresho ya Daftari la Wapiga Kura

    Serikali imesema katika mwaka 2023/2024, shughuli za maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 pamoja na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka 2024 zitaendelea. “Kazi zitakazofanyika ni pamoja na kulifanyia maboresho Daftari la Kudumu la Wapiga Kura; kuboresha mifumo ya menejimenti...
  11. Naja naja

    Nunua daftari na peni leo uanze safari yako ya mafanikio

    Ukitaka kufanikiwa kimaisha anza kwa kununua daftari na peni. Hakikisha kila siku kabla haujalala umeshapanga kesho yako ufanye nini na nini na matumizi gani muhimu uyafanye. Nini ufanye ili uboreshe utendaji kazi wako, maslahi yako, elimu yako, biashara yako nk. Kesho yake kabla muda wa...
  12. Infantry Soldier

    Unafungua daftari la michango ya rambirambi unakuta mtu wa kwanza kaandika 1,200,000/=

    Good afternoon jamiiforums Kumpa mfiwa pesa mkononi au kuandika kwenye daftari ni kipi bora zaidi emotionally? Jenga picha umeenda kwenye msiba wa baba yake rafiki yako sasa umefungua daftari la rambirambi unataka kuandika mchango wako wa 10,000/= mara ghafla unakutana na jina la mtu wa kwanza...
  13. KING KIGODA

    Ni zipi nukta muhimu kuonekana kwenye daftari la mapato na matumizi?

    Habari wanao! Nina biashara ya mashine ya kukoboa mahindi na kusaga. Nimeanza mwezi wa tatu mwaka huu, tatizo bado sijafahamu namna bora ya kuziweka hesabu kwenye daftari. Na lengo hasa ni kutengeneza mahesabu yatakayo tumika kufanyiwa makadrio TRA. Naomba wenye uzoefu mnisaidie. ASANTENI.
Back
Top Bottom