Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,123
- 32,270
hello JF,
leo nimewaza labda tusipewe misaada in monetary form,........
kama tuna shida ya madawa,tuombe madawa sio hela,..........
kama tunahitaji kutengenezewa bara bara,ama computers for students,tuwe specific tunapotembeza bakuli la kuomba msaada,...........
hii itazuia kutokea kama rambi rambi za kagera...............
sijui importance ya kupewa hela kama kuna anayejua,anaifahamishe,lol
leo nimewaza labda tusipewe misaada in monetary form,........
kama tuna shida ya madawa,tuombe madawa sio hela,..........
kama tunahitaji kutengenezewa bara bara,ama computers for students,tuwe specific tunapotembeza bakuli la kuomba msaada,...........
hii itazuia kutokea kama rambi rambi za kagera...............
sijui importance ya kupewa hela kama kuna anayejua,anaifahamishe,lol