Kama tumefikia hatua ya kuachia watuhumiwa kwa sababu za kisiasa, Taifa letu linaelekea pabaya sana

Umesema mwenyewe wanaachiwa ili kufurahisha umma, wewe unafikiri kwanini umma ufurahie kuachiwa kwao? Na hata ivo kiongozi anatakiwa afurahishe umma maana ndio anaouongoza.
Wewe uko kundi gani? La umma au viongozi?
Pambania familia yako maana hata hao watu wakinyongwa haitakusaidia chochote na afterall wapo wengi tu wanaofanya madudu ila wanakula bata mtaani.
 
hapana mleta mada hana roho mbaya bali rais mwana mama ndio ana roho mbaya.
Katika jambo la uwamsho wale mashehe walistahili kupata haki yao kwa walicho kitenda mama pale ameleta udini na uzanzibar kitu ambacho kama taifa litatutesa mbele akitokea mwingine kama yeye.
Issue inakuja, je walikuwa na kesi ya kujibu? Kama haipo kwanini waendelee kuwa mahabusu, hii sio dhulma kwao? Kama waliachiwa wakati wana kesi ya kujibu basi hapo ni shida kubwa
 
Kama una uhakika kwa hao mashehe kwanini hukupeleka ushahidi wako kwa DPP miaka yote hiyo waliyo kaa ndani?
Magaidi huwa hayapelekwi mahakamani ni kuwekwa kuzuizini tuuu... hata marekani uko wanafanywa hivyo wanawapeleka gwantamano......
Hawa mashekh walisababisha vifo vya watu, mapadri, masheikh na watalii walipigwa risasi na kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa.
Hawa walitakiwa kutandikwa risasi za vichwa tuuu si kukamatwa,,, dawa ya majambazi na magaidi ni kutandikwa risasi tuuu hakuna namna.....
Hawa magaidi hawato acha ugidi
 
Kama hakuna USHAHIDI watu waendelee kuteseka!!!! Kama ushaidi upo watu walete ushaidi kesi iishe. Nyie ndio mnafanya nchi yetu ilaanike.
Hapa walikuwa wanafanya nini?

FB_IMG_16239271966113110.jpg
 
..walawiti watoto walipoachiwa kwa sababu za kisiasa.

View attachment 1822059

Umenikumbusha jambo chungu sana lakini ni muafaka kabisa kama mfano. Bado sielewi wafungwa hawa ambao walisamehewa sawa na wengine maelfu - walifika mpaka ikulu. Hii ilikuwa ni siasa chafu!! Ililenga kumdhalilisha kiongozi fulani wa juu. Kama ilikuwa wameonewa ilikuwa ni sawa waachiwe. Mashehe wa uamsho kama walionewa, ni sawa pia waachiwe huru. Ubaya ni kufanya mambo kwa hila za kisiasa!!
 
..unaamini kwa dhati kabisa kwamba Babu Seya na Papii Kocha, walawiti watoto, walistahili kutolewa jela, na kupewa heshima ya kufika Ikulu kuonana na Raisi?
Hoja sio wao kwenda ikulu bali ni walikuwa wafungwa tofauti na hawa mahabusu. Hilo la kwenda ikulu ni ishu nyingine
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Rais ambaye hakuchaguliwa anaonyesha kutokuwa na msimamo, anafanya kazi na mitandao ya kijamii. Soon tutaanza kuona tena vituko vya muslim terrorism, ni swala mda tu
 
Rais ambaye hakuchaguliwa anaonyesha kutokuwa na msimamo, anafanya kazi na mitandao ya kijamii. Soon tutaanza kuona tena vituko vya muslim terrorism, ni swala mda tu
Kesi ilikuwa High Court inaendelea.
 
Naona ushahidi ulikosekana, hata wakikaa mahabusu muda gani usinge patikana, hata kama ni kweli walihusika kwa namna yeyote Ile, busara inaongoza kuwaachia huru na kuangalia mienendo yao, uenda wamejirekebisha, pia si busara wakae mahabusu milele!
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Kama ni za kisiasa furahi kwa kuwa nae rafiki yako saa baya ataachiwa vivo hivyo.
 
Yaani tumeachia magaidi bila hata kakovu yaani wako lainiii.
Walitakiwa kunyongwa hawa magaidi. Yaani tutavuna mabua muda si mrefu.
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
nawaza Mchungaji KAGANGA wa TANZANIA ASSEMBLISE OF GOD ZANZIBAR, CATHOLIC na makanisa ya anglikan wakianza kuwindwa, nawaza tu.
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Msinge kuwa mnabambikia watu,kesi tungeunana na wewe na wote wenye mawazo kama yako ,ila kwa hili nakukataa.Tena acha roho mbaya.
 
Back
Top Bottom