Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #61
umeona eeeh!atakopa arusha wing yote maana sidhani kama mshahara utatosha
umeona eeeh!atakopa arusha wing yote maana sidhani kama mshahara utatosha
utafanyishwa zoezi siku mbili kablasasa hayo ntayaweza best?
tunajuana uwezo wetu, na huwa tunasema msiba unapatikana popote basi ni kusaidiana...huo utaratibu bado upo maeneo mengi vijijini isipokuwa maeneo ya wachaga walio wengi na wapare.
utafanya mazishi yawe ya kiswazi etiha haaaa, sasa tunavyoliaga kingoni itakuwaje sasa?
halafu kuku wanaoletwa ni wa kienyeji ujue........Huko ndo pakukaa,unaweza kuomba ufiwe kila mwezi!Lol!
..wachaga wana roho chafu kwenye misiba sijawai ona..wanabaguana balaa ..yaani wee acha tu washambaa....akifa mwenye hela mmmh ngoja nilale kova anasinzia hapatunajuana uwezo wetu, na huwa tunasema msiba unapatikana popote basi ni kusaidiana...
wachaga nyie taifa jingine, lol!
ha haaa, ngoja mimi niendelee kuyafanya ya uswaziutafanya mazishi yawe ya kiswazi eti
ahahaaaa duhWanasema eti kufa kijijini mjini kuondokewa!!
tunajuana uwezo wetu, na huwa tunasema msiba unapatikana popote basi ni kusaidiana...
wachaga nyie taifa jingine, lol!
pole sana best.... ndo dunia hii......wachaga wana roho chafu kwenye misiba sijawai ona..wanabaguana balaa ..yaani wee acha tu washambaa....akifa mwenye hela mmmh ngoja nilale kova anasinzia hapa
roho mtakatifu gani mkuu mtu unajiita chuki;ukristo ni upendo daimaTatizo ni kujifanya tunajua kumbe hatujui, tunapoelimishwa tunajifanya wajuaji kumbe mambumbu tu,tunakosea nakupotea kabisa, Tunavuna dhambi.TUMEKOSA MAARIFA na Roho Mtakatifu.
hata wakati wa chakula cha matanga utasikia wengine kaeni huku wengine kule.. unabagua watu msibani niweje kama sio ushamba..kama vipi watoe kadipole sana best.... ndo dunia hii....
ulale unono my dear
Mie niliwahi kuhudhuria msiba wa baba wa classmate wangu wa O-Level. Wakati naenda nakawa nawaza na kumhurumia rafiki kuwa atakuwa na hali mbaya kwa huzuni. Tulipofika hatukuwakuta wadada wafiwa tukaambiwa wameenda kujiandaa kabla ya kuanza misa na kuaga. Baada ya muda classmate na dada zake hao! Nilishangaa sana kuona wadada walivyopendeza, wameset nywele zao kana kwamba wako harusini/kitchen party! Wamepaka na poda! Kweli hata mie sikutoa hata chozi japo niliwaona mashangazi wanavyomlilia kaka yao! Tulizikia hapo hapo shambani/nyumbani.
Mpaka leo huwa bado najiuliza watu wanawezaje kujiremba ilihali wamefiwa na wapendwa wao. Ugumu huo nimeuona zaidi baada ya baba yangu kufariki na jitihada za kukubaliana na hali ya kutokuwepo kwake!
wewe.... sisi wenyewe tulipofiwa na baba, hapo hapo dar tulikuwa kama tumetoka mtyangimbole.........Mie niliwahi kuhudhuria msiba wa baba wa classmate wangu wa O-Level. Wakati naenda nakawa nawaza na kumhurumia rafiki kuwa atakuwa na hali mbaya kwa huzuni. Tulipofika hatukuwakuta wadada wafiwa tukaambiwa wameenda kujiandaa kabla ya kuanza misa na kuaga. Baada ya muda classmate na dada zake hao! Nilishangaa sana kuona wadada walivyopendeza, wameset nywele zao kana kwamba wako harusini/kitchen party! Wamepaka na poda! Kweli hata mie sikutoa hata chozi japo niliwaona mashangazi wanavyomlilia kaka yao! Tulizikia hapo hapo shambani/nyumbani.
Mpaka leo huwa bado najiuliza watu wanawezaje kujiremba ilihali wamefiwa na wapendwa wao. Ugumu huo nimeuona zaidi baada ya baba yangu kufariki na jitihada za kukubaliana na hali ya kutokuwepo kwake!
ukifiwa hata poda inashika jamani?wewe.... sisi wenyewe tulipofiwa na baba, hapo hapo dar tulikuwa kama tumetoka mtyangimbole.........
na ni mwaka 2007 tu wala siyo mbali
mpaka leo nikikumbuka ile siku sitamani hata kupaka wanja
ndo shangaa na kope zinakaa, lol!ukifiwa hata poda inashika jamani?