Kama sielewi elewi vile!

Kama sielewi elewi vile!

mwenzangu kweli mimi ni mshamba, ngoja ni:shut-mouth:
Wewe ni mshamba FP kwani sikuhizi wanalia hata kulia??au kuzika kushika udongo??
  1. Wanavaa viatu vilefu
  2. Wanakuja na gari lakifahari
  3. Wanatoka na vitenge vya ghana
  4. Wantoka na miwani ya guchi au copacabana,au prada
  5. Masikio kifua kinasheheni kama mkongo yupo dancefloor
  6. Zinatengenezwa fulana za fubu,nike,nautica,nk
  7. Gari la kifahari lakubeba mwili
  8. Wabebaji wamevaa suti nyeusi shati jeupe na groves
  9. Msafara wa Benz
  10. Wanakodi watu wakuzika
  11. Contractor wa kujenga kaburi
  12. Wanakodi watu wakulia
  13. PA system/Nyuki DJs na masipika ya ukumbini au ya promotion
  14. Catering makaburini mambo nimengi siwezi kuyamaliza
  15. Makochi ya sofa ya world funiture
  16. Vikundi vya kuimba vya dini
  17. Wanapiga picha na Tablets (iPad)badala ya camera
  18. Video wanatumia vision eye
Wewe usishangae mjini watu watakushangaa....watakukimbia bora ukae kimya!!:tape2:
 
sisi tulipofiwa na mama msiba ulikaa siku tisa na hapo watu wale usiku na mchana.ila tulichofanya sisi watoto wa mama tuligharamikia mazishi,jeneza,maua gari kila kitu hadi kumpumzisha my dear mamy wetu ila hayo mambo ya misosi huo ukoo uloweka msiba walikuwa wanajichangisha wenyewe tuliwapa tu eneo na sahani . na ngombe mmoja

Nadhani inatakiwa sasa mtu ukienda msibani umpelekee mfiwa chakula!
 
FP...miaka imeenda. Tuweke utani kando, kakangu alifariki 20 yrs ago. Nilikuwa mdogo kiasi. Sheria ilikuwa hakuna kuoga hadi siku ya matanga. Kwa vile tulikuwa watoto wa mjini tusiojua kulala bila kuoga, tulipelekwa kuoga kwa jirani kila jioni lakini walihakikisha hatubadili nguo za nje.

Mama amefariki 8 yrs ago. Cha ajabu, nyumbani kule kule lakini ndugu zetu walihakikisha tunapata maji ya moto ya kuoga asubuhi na jioni. Isitoshe na kubadili nguo daily. Hakuna alieangalia uvaaji wa hereni. Manake zamani msibani hata saa hatukuvaa.
labda......
ila mimi sina uhakika kama kwa hili kwangu miaka itaenda.
kuoga sawa, lakini kwenda salon kubandika kope? utaliaje sasa na kope zako? au hazitoki zile?
 
labda......
ila mimi sina uhakika kama kwa hili kwangu miaka itaenda.
kuoga sawa, lakini kwenda salon kubandika kope? utaliaje sasa na kope zako? au hazitoki zile?
hairuhusiwi kulia..ni kizunguzungu maeee ulishawai kuona mzungu anapiga mayowe maweeeeeeee uwiiiiiiiiiiiiiiiii hakunaga hizo silence sory for u a loss kwa mbaliii na cocktail
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom