kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
- Thread starter
- #21
Eti Zanzibar itamezwa, nani anakula nchi na watu wake? Hakuna mtu anayeweza kumeza hata kijiji wala Kata. Vijiji vingi vilikuwepo tangu enzi wakoloni hawajakuja na vipo mpaka sasa. Ukweli wazanzibar hawapendi Muungano.Hiyo ni sababu ya kijinga kabisa, mbona kuna jamii (makabila) madogo sana yenye watu wachache ambao hawafiki hata 100,000 hayajafutika mpaka hivi leo