Ili kudumisha mshikamano wa Kitaifa anaousema Rais Samia, tuiige Zanzibar kuwa na Serikali ya Mseto 2025

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Inawezekana tukifanyia mabadiliko madogo Katiba yetu, 2025 tukaunda Serikali ya Mseto.

Zanzibar ya leo, siyo ile tuliyoiona au kuijua enzi za ngangari na ngunguri za kina Mahita. Siri kubwa nyuma yake nionavyo ni mshikamano wa "KWELI" kupitia "SERIKALI YA UMOJA/ MSETO"

Tanganyika ina bahati ya kuwa na rasilimali za kutosha na nyingi kupita nchi zote jirani zinazotuzunguka.

Tunackokosa kwa maoni yangu, ni kukosa chujio zuri la kupata viongozi mahiri na makini wanaoweza kukaa pamoja, na kuindeleza nchi.

Kitendo cha mwana CCM kumteua mwana CCM mwenzake kwa sababu ya kadi tuu ya uanachama na siyo umahiri, hakitatufikisha popote.
 
Hatutaki serikali ya mseto Tbara.

Tanganyika Rais ana uwezo wa kumchaguwa yeyote anayefaa.

Mtu kama mbowe kwa elimu yake atawekwa wapi kwenye serikali? Labda awe mtendaji wa serikali ya mtaa.
 
Uchaguzi wa Zenji mshinda anapata 51-53% hapo na wizi na kila kitu, sasa huku bara mshindi anapiga banda la 80% mnataka mseto wa nini?
 
Hatutaki serikali ya mseto Tbara.

Tanganyika Rais ana uwezo wa kumchaguwa yeyote anayefaa.

Mtu kama mbowe kwa elimu yake atawekwa wapi kwenye serikali? Labda awe mtendaji wa serikali ya mtaa.
Naheshimu uhuru wa maoni ya mtu. Hivi upinzani Bara ni Mbowe tuu?
 
Uchaguzi wa Zenji mshinda anapata 51-53% hapo na wizi na kila kitu, sasa huku bara mshindi anapiga banda la 80% mnataka mseto wa nini ?
Unaelewa maana ya SERIKALI YA MSETO? Na inapatikanaje? Hebu jiridhishe kwa majibu utakayoyapata kwa hayo maswali yangu.
 
Unahoja na inafikirisha, kuna watu wazuri wangeweza kutusaidia ila hiyo nafasi inakua ngumu Kwa vile wapo upinzani na katiba hairuhusu. Kuna haja ya kukuangalia upya.

Lakini Zanzibar hayo mabadiliko hayakuja kirahisi, ni baada ya mivutano na misuguano mikali kwenye matokeo ya chaguzi ambapo imekua ikiaminika kwamba upinzani unafanyiwa hujuma. Pamoja na hayo, imaesaidia sana kuleta utulivu na mshikamano wa kitaifa.

Bara inawezakuwa ngumu sana kutokea Kwa sababu ya ubinafsi wa viongozi wetu. Aliyepo madarakani Sasa hivi anaweza akajaribu Hilo tatizo ni wanaomzunguka na wanufaikaji wakubwa wa mfumo uliopo.

Kuna kipindi wakati wa uchaguzi uliopita, kiongozi mmoja wa Chama tawala bara alisema hata huo mpango wa SUKI Zanzibar wanaweza kuachana nao. Nikajisemea inaelekea amesahau kwamba wao CCM ndio walihitaji zaidi huo ushirikiano kutuliza ghadhabu na jazba zinazotokana na chaguzi.
 
Tanganyika upinzani hauna nguvu , hyo mseto ni mbinu tuu za viongozi wa upinzani kupata ulaji , Ila hawana impact yyte kwenye sanduku la Kura dhidi ya giant CCM , ni kama huwa wanatekenya tuu
 
Inawezekana tukifanyia mabadiliko madogo Katiba yetu, 2025 tukaunda Serikali ya Mseto.
Zanzibar ya leo,siyo ile tuliyoiona au kuijua enzi za ngangari na ngunguri za kina Mahita. Siri kubwa nyuma yake nionavyo ni mshikamano wa "KWELI" kupitia "SERIKALI YA UMOJA/ MSETO" .
Tanganyika ina bahati ya kuwa na rasilimali za kutosha na nyingi kupita nchi zote jirani zinazotuzunguka. Tunackokosa kwa maoni yangu, ni kukosa chujio zuri la kupata viongozi mahiri na makini wanaoweza kukaa pamoja, na kuindeleza nchi.
Kitendo cha mwana CCM kumteua mwana CCM mwenzake kwa sababu ya kadi tuu ya uanachama na siyo umahiri, hakitatufikisha popote.
Maza ni mdini sn hatokubali
 
Hatutaki serikali ya mseto Tbara.

Tanganyika Rais ana uwezo wa kumchaguwa yeyote anayefaa.

Mtu kama mbowe kwa elimu yake atawekwa wapi kwenye serikali? Labda awe mtendaji wa serikali ya mtaa.
Mumeo anatamani angekuwa na uwezo kama wa Mbowe sahivi ungekuwa unasimamia miradi mikubwa duniani na siyo Tanzania, Mumeo na uzee wake ule anafanya vibarua Dubai, Mbowe ni level nyingine duniani
 
Mumeo anatamani angekuwa na uwezo kama wa Mbowe sahivi ungekuwa unasimamia miradi mikubwa duniani na siyo Tanzania, Mumeo na uzee wake ule anafanya vibarua Dubai, Mbowe ni level nyingine duniani
Pombe nazo unaita miradi?

Unanchekesha.


Hata Bakhressa ana miradi na kaishia darasa la nne tu.

Tunaongelea kazi za serikali siyo miradi ya kuuza pombe aliyorithi kwa wazazi wake.
 
Pombe nazo unaita miradi?

Unanchekesha.


Hata Bakhressa ana miradi na kaishia darasa la nne tu.

Tunaongelea kazi za serikali siyo miradi ya kuuza pombe aliyorithi kwa wazazi wake.
TBL na Serengeti breweries wameajiri watanzania wangapi? Mbowe amekwambia anataka kuajiriwa? Mbowe ana Degree wewe sijui una Masters lakini unaishi maisha duni, pombe ni biashara halali ndiyo maana Mbowe ni tajiri na mlipa kodi mzuri, nyie mbona mnafanya biashara za majini na hatuoni wivu? Kurithi kutoka kwa baba ake siyo dhambi na wewe baba ako angetafuta pesa badala ya kukalia ushirikina na uzinzi
 
TBL na Serengeti breweries wameajiri watanzania wangapi? Mbowe amekwambia anataka kuajiriwa? Mbowe ana Degree wewe sijui una Masters lakini unaishi maisha duni, pombe ni biashara halali ndiyo maana Mbowe ni tajiri na mlipa kodi mzuri, nyie mbona mnafanya biashara za majini na hatuoni wivu? Kurithi kutoka kwa baba ake siyo dhambi na wewe baba ako angetafuta pesa badala ya kukalia ushirikina na uzinzi
Hahusiki nazo mbowe hizo, msidanganyane.
 
Hahusiki nazo mbowe hizo, msidanganyane.
Kwa hiyo anauza pombe anazitoa wapi? acha ujinga ukiona mtu amefanikiwa fuata nyayo zake, Kaskazini watu ni watafutaji haswa pamoja na mapungufu ya kibinadamu lakini watu wanajua kuitafuta shilingi ilipo, nyie mkitoa waarabu na wahindi ambao siyo watanzania mmekalia kuoa na kuolewa umri mdogo, ushirikina, uzinzi na uvivu. wajinga wakubwa nyie
 
Unahoja na inafikirisha, Kuna watu wazuri wangeweza kutusaidia ila hiyo nafasi inakua ngumu Kwa vile wapo upinzani na katiba hairuhusu. Kuna haja ya kukuangalia upya.

Lakini Zanzibar hayo mabadiliko hayakuja kirahisi, ni baada ya mivutano na misuguanonmikali kwenye matokeo ya chaguzinambapo imekua ikiaminika kwamba upinzani unafanyiwa hujuma. Pamoja na hayo, imasaidia sana kuleta utulivu na mshikamano wa kitaifa.

Bara inawezakuwa ngumu sana kutokea Kwa sababu ya ubinafsi wa viongozi wetu. Aliyepo madarakani Sasa hivi anaweza akajaribu Hilo tatizo ni wanaomzunguka na wanufaikaji wakubwa wa mfumo uliopo.

Kuna kipindi wakati wa uchaguzi uliopita, kiongozi mmoja wa Chama tawala bara alisema hata huo mpango wa SUKI Zanzibar wanaweza kuachana nao. Nikajisemea inaelekea amesahau kwamba wao CCM ndio waliihitani zaidi huo ushirikiano kutuliza ghadhabu na jazba zinazotokana na chaguzi.
Nimekuelewa. Kunahitajika utashi huu uanzie Chama kilichoko madarakani . Siamini kama kuna Mwana CCM hapa nchini hahitaji nchi yetu ipate maendeleo makubwa zaidi. Kwa mfumo ulivyo sasa wa uendeshaji Serikali na wa kutegemea mtu katokea kizazi cha nani ni ngumu sana. Kizazi cha CCM kitaendelea kurithi yaleyale yaliyofanywa na watangulizi. Kizazi cha CHADEMA,CUF nk kitaendelea kurithi yaleyale ya watangulizi na tuendako nchi itarudi nyuma.
 
Back
Top Bottom