Kama Rais Samia ndiye mkuu wa dola la Tanzania kwanini Rais wa Zanzibar amekuwa wa kwanza kutoka uwanjani baada ya sherehe za Mapinduzi kuisha?

Inafahamika kuwa kwa itifaki mkuu wa dola la Tanzania ndie huwa anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka kwenye sherehe za kitaifa kama Mapinduzi ya Zanzibar au uhuru.

Sasa leo Mbona rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekuwa wa kwanza kuondoka uwanjani? Kwa nini isiwe rais wa JMT ambae ni mkuu wa dola ya Tanzania?

Msaada kwenye tuta.
Jiulize mwenyewe hizi ni sherehe za mapinduzi ya nchi gani? Sijui lini watanganyika mtafahamu kuwa katika huu muungano Zanzibar bado imebaki kama ni nchi kamili. Hizi ni sherehe za uhuru wa nchi ya zanzibar, Rais wa tanzania amealikwa tu! Hizi sio sherehe za Taifa la tanzania bali taifa la Zanzibar! Kwa nini unauliza suali hili hivi sasa, ilhali hata wakati wa Nyerere na Aboud Jumbe kuingia na kutoka kwao kulikuwa ni hivi hivi?
 
Inafahamika kuwa kwa itifaki mkuu wa dola la Tanzania ndie huwa anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka kwenye sherehe za kitaifa kama Mapinduzi ya Zanzibar au uhuru.

Sasa leo Mbona rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekuwa wa kwanza kuondoka uwanjani? Kwa nini isiwe rais wa JMT ambae ni mkuu wa dola ya Tanzania?

Msaada kwenye tuta.
Umeyataka mwenyewe umiza kichwa kufuatilia , watu wameingiza posho wewe upo unaumiza kichwa
 
Hiki kisiwa ni kero tu kwa kweli kimeinyonya sana Tanganyika
Kama ni hivyo ni kwa nini wadanganyika bado mnasisitiza kuwepo kwa muungano? Kwa nini viongozi wenu na makada wa CCM hawataki kuuvunja muungano huu ilhali wazanzibar (ambao unasema wanainyonya tanganyika) wamekuwa wakidai hilo kwa miaka mingi sasa? By the way hii nchi ya Tanganyika iko wapi hasa? Nani rais wa Tanganyika na liko wapi bunge la tanganyika?
 
Inafahamika kuwa kwa itifaki mkuu wa dola la Tanzania ndie huwa anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka kwenye sherehe za kitaifa kama Mapinduzi ya Zanzibar au uhuru.

Sasa leo Mbona rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekuwa wa kwanza kuondoka uwanjani? Kwa nini isiwe rais wa JMT ambae ni mkuu wa dola ya Tanzania?

Msaada kwenye tuta.
Hayo ni mambo ya Zanzibar. Wana uhuru wao katika kufaya mambo yao. Rais wa JMT hayamhusu kabisa, ni mgeni kama mgeni mwingine tu
 
Zanzibar ipo, Tanzania bara au Tanganyika kwenye ramani ya Dunia hakuna kitu kama hicho, ila Tanzania ipo. Sherehe zilikuwa za Zanzibar amblyopia ipo. civics ya form 2.
 
Inafahamika kuwa kwa itifaki mkuu wa dola la Tanzania ndie huwa anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka kwenye sherehe za kitaifa kama Mapinduzi ya Zanzibar au uhuru.

Sasa leo Mbona rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekuwa wa kwanza kuondoka uwanjani? Kwa nini isiwe rais wa JMT ambae ni mkuu wa dola ya Tanzania?

Msaada kwenye tuta.
Kiprotokali alikuwa ndiye mgeni rasimi Rais wa Zenji, Rais wa Tanzania alikuwa mgeni mwalikwa tu angeweza hata kupotezea au kumtuma Makamu wake.
 
Inafahamika kuwa kwa itifaki mkuu wa dola la Tanzania ndie huwa anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka kwenye sherehe za kitaifa kama Mapinduzi ya Zanzibar au uhuru.

Sasa leo Mbona rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekuwa wa kwanza kuondoka uwanjani? Kwa nini isiwe rais wa JMT ambae ni mkuu wa dola ya Tanzania?

Msaada kwenye tuta.
Tokea zamani marais wote wa muungano wakienda kwenye sherehe za mapinduzi Zanzibar hali imekuwa hivyo.
 
Zanzibar Is land yaani Zanzibar ni nchi. Ina bunge katiba jeshi bendera na ngurumbili wa Tanganyika haruhusiwi kumiliki ardh huko ila wao wanaruhusiwa huku bara. Rais wao anateua baraza la mawziri wakuu wa mikoa wilaya nk na haingiliwi na mbung'o wa bara. Yahee tuachen tule vya kwetu na vyenu pia twala
 
Inafahamika kuwa kwa itifaki mkuu wa dola la Tanzania ndie huwa anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka kwenye sherehe za kitaifa kama Mapinduzi ya Zanzibar au uhuru.

Sasa leo Mbona rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amekuwa wa kwanza kuondoka uwanjani? Kwa nini isiwe rais wa JMT ambae ni mkuu wa dola ya Tanzania?

Msaada kwenye tuta.
Viongoz wa Tanzania wanaongoza maiti tulishaambiwa na wakenya.Wanajiamlia tuwapendavyo.
 
Toka enzi ya Nyerere na awamu zilizofuata taratibu za sherehe za Mapinduzi ziko hivyo 💪🇹🇿👍
 
Kumbe ile "F" ya Civics hukuipata kwa bahati mbaya
Somo la Civics (Elimu ya Uraia) kuna nyakati linabadilika ndio maana leo mmeona,..
Mh. Rais wa JMT ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote, na tukio la leo ni kumbukizi muhimu ya Kijeshi na ndivyo ilivyotokea.
Suala la Umri nimelileta katika kuchamgasha mjadala ili tuelewane, ukiniuliza kwanini siku za nyuma haikuwa hivyo sina jibu kwa kuwa pengine labda ndiko kulisababisha kupata F ya Civics kama ulivyosema.
 
Back
Top Bottom