bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
Inwezekana inagusa wengi B? LOL.....
afu B........
HII KITU NI KWELI IMEGUA WENGI!!!
afu B .....am guilty as charged!!!!
Inwezekana inagusa wengi B? LOL.....
afu B........
HII KITU NI KWELI IMEGUA WENGI!!!
afu B .....am guilty as charged!!!!
worry not B! all is well....:thumb::thumb:
Kariiiib kwangu maana mke wangu hanichunguzi na wala hana time na simu za usiku.Mwenzenu sijaolewa sasa nikaponee wapi? Na ninahitaji mapenzi kama nyie mnavyopata.
Naandaa pati na ntaomba mama big na da sophy wawe wageni wangu wa heshima
duniani wawiliwawili
Huyo akikuchoka uje na kwangu. Mke wangu hana tabia ya kunichunguza.
Ukiona hivyo ujue mapinduzi yamekaribia ......:bowl:MAsaki umemgundua eh Da Sophy- nijuavyo mie anayeiba huwa hasemi wala hachongi
Mwenzio hapo anaujomoa, we unadhani atamweza Da Sophy :nono: yaani hapa ni kama mwanaumeJamani MJ1 sikutegemea maneno laini kama haya kutoka kinywani mwako....
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
tumempa za uso,kaifuta thread alijua tumesahau jinsi alivyokuwa anamnanga mke wa jamaaHhahahahahahahahaha
huyu si ndio leo alikuwa ana lia hapa?
Hhahahahahahahahaha
huyu si ndio leo alikuwa ana lia hapa?