Kashasema hajaolewa. Hapa tusitafute assumptions:haya sasa tuseme umeolewa, na mimi namchukua wako ukijua utafanyaje???
Na niliposema wangu peke yangu namaanisha ndivyo inavyotakiwa [/I]
Hivi nyie mnataka hao waliokosa waume waenda wapi????
Bottom line ni kwamba idadi ya waoaji ni ndogo kuliko ya wanaohitaji kuolewa!
Kashasema hajaolewa. Hapa tusitafute assumptions:
Hajaolewa, kadude kanamuwasha, kadude kameumbwa kwa ajili ya waume za watu tu, Chrispin ni mume wa mtu..... Hebu soma katikati ya ile kitu yetu hapo afu nizawadie kale kakitu.
Mwenzenu sijaolewa sasa nikaponee wapi? Na ninahitaji mapenzi kama nyie mnavyopata.
Yako peke yako? Thubutu! Sasa kinachomleta kwangu nini? Na wala mimi sio mwizi basi nikueleze uzuri, nimetongozwa kama wewe ulivyotongozwa.
Kila siku nawaambia hawa viumbe lakini hawanielewi. Wamebakia uchoyo tu. Hawataki na wenzao wafaidi...
BTW hebu put your avatar into mine. I am........ Soma katikati ya mistari hapo.
sawa baba no assumptions....
atoke na wakutoka naye akitoka na wangu nikajua yeye ndo anakamua ile cream/top layer afu mi naletewa makombo hayana nguvu.................hapatatosha!!!!!
Mie nikikujua unanicheat.Wivu wangu ni mbaya sana kama wa Bujibuji.
Nini katikati? Mi nimesoma ndani ya mistari! Appreciated, indeed.....and its almost Friday, and me is preparing myself for the Friday!BTW hebu put your avatar into mine. I am........ Soma katikati ya mistari hapo.
Na mie nimetongozwa kama wewe na MO mlivyotongozwa!!!..i hope mwenzangu hili halitakushutua!..geeeeez!
Dah leo nyumba ndogo umeamua kuja live kabsaa unaua bendi mwanawane ntaanza kuchunguzwa sasa!!Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?