Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

Kha hii kumbe bado ipo mbona siku zote nikiingia humu siioni imefukuliwa wapi. Na huyu mwenzenu kawahonga nini hadi mipasho yake ya jana mmeifuta asiione lakini mshachelewa keshaisoma yote. Kaja mwenyewe kuomba amani nimemsamehe mwaya. Lakini nimefurahi kanielewa. Sa ningekaa kimya au ningemwongelesha ndani tu angesikia? Lazma mtu umwonyeshe nguvu zako asidhanie kila siku ijumaa. Yameisha, alieanza kuchekelea kimemnukia upyaaaa! Kila mtu na elimu yake bibi hii ya kwangu ni zaidi ya shahada hata ulaya hakuna. Haloooooooooooo!
 
Hhahahahahahahahaha
huyu si ndio leo alikuwa ana lia hapa?

Eti nalia? Nani alie? Wa kulia keshalia sana kajituliza zake huko sasa hivi nasikia kaamua mumewe ni wine akiingia supermarket anabeba kila aina! Kapu hilo. Sijui huko katika masemina hawapewagi hiyo mipombe kwenye hizo hoteli za kitalii wanazolala. Kalia kachoka, lakini najua wa kulaumiwa si miye, ye mwenyewe anajua. Sa mi nilie ni? Nalilia kitu gani?
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Aha hapa umenena ukweli. Mi haya mambo ya kuchunguzana yananipa wakati mgumu sana. Kama namridhisha mtu kwa kila kitu sioni kwanini awe na wivu nikiwasaidia wengine ambao bado wanatafuta weza....
 
tumempa za uso,kaifuta thread alijua tumesahau jinsi alivyokuwa anamnanga mke wa jamaa

Eti za uso! Hizi nimempa mwenzenu hadi zimemtosha kaomba amani mwenyewe. Mi nachezewa? Mnafikiri sijui alivowapigia simu kuwaomba mfute msg zangu mnadhani sijui. Kaipataje. Nakuhakikishia harudii. Yule wa madigirii kama hajui pa kushika mi napajua. Tuliiiii katulia
 
Basi mwachie mumewake hili anyamaze!

Eti nalia? Nani alie? Wa kulia keshalia sana kajituliza zake huko sasa hivi nasikia kaamua mumewe ni wine akiingia supermarket anabeba kila aina! Kapu hilo. Sijui huko katika masemina hawapewagi hiyo mipombe kwenye hizo hoteli za kitalii wanazolala. Kalia kachoka, lakini najua wa kulaumiwa si miye, ye mwenyewe anajua. Sa mi nilie ni? Nalilia kitu gani?
 
Acha mambo just assume km wewe ndo ungefanyiwa hvyo ungejckiaje.? Acha hzo!
 
Naona ngwara, viti vinaruka hewani tu

Mie nilikuwa sijazaliwa wala, si unaona nimezaliwa 2011?

Ni mwendelezo wa episode ya 31 ya mwaka 2010 mimi na wewe tulipokuwa wageni. Naona mwalimu gfsonwin anajua picha kamili
 
Naona ngwara, viti vinaruka hewani tu

Mie nilikuwa sijazaliwa wala, si unaona nimezaliwa 2011?


Nimekuona. Unajua hapa usicheze sana maana sterling hafahamiki bado, anayesomeka ni kubwa la maadui, Da sophy!
 
Ha ha ha ha, stering sijamjua bado

Ila kubwa la maadui limejazia, cheki misuli mikononi

Sasa sie tuwe upande gani?

Nimekuona. Unajua hapa usicheze sana maana sterling hafahamiki bado, anayesomeka ni kubwa la maadui, Da sophy!
 
Ha ha ha ha, stering sijamjua bado

Ila kubwa la maadui limejazia, cheki misuli mikononi

Sasa sie tuwe upande gani?


Shiiii, usipige kelele, maana kubwa la maadui linakiburi sana. We angalia tu movie, agiza na popcorn kabisa. Usishangilie kwanza, maana naona tu timu ya sterling imejipanga.

Sterling wapi?
 
na wewe wa kwako tukitoka naye itakuwaje????
Yeye hana, angekuwa naye asingeandika hayo hapa, unajua mtu unaweza ukamuelewa kwa kila anachokiandika na kumfahamu jinsi alivyo au yupo kwenye situation gani.
 
Eti za uso! Hizi nimempa mwenzenu hadi zimemtosha kaomba amani mwenyewe. Mi nachezewa? Mnafikiri sijui alivowapigia simu kuwaomba mfute msg zangu mnadhani sijui. Kaipataje. Nakuhakikishia harudii. Yule wa madigirii kama hajui pa kushika mi napajua. Tuliiiii katulia
hahahahahhahah,na bado mwaka huu wa kwako na wewe zamu yako kulia,unalo bibie
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Da sphy mbona utokei , hapa naliwa na mbu tuu
 
Back
Top Bottom