Kama natoka na mumeo...


Eh! hahahahahahahahaha we kiboko!!!! unampa nini mpaka umemshika vizuri kiasi hicho?...LOL! kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa
 

Ni nini hicho unachompa mpaka aweweseke?
 
huyu Buzi wako Mbeya na ukitaka kujua hana adabu kwanini anamsema mkewe mbele yako ..nahisi na wewe huwa anakusema kwa friends zake


hapo ujue amekosa cha kumdanganya, bac inabidi abwabwaje tu ili mradi apate huduma nzuri.
 
Tatizo nina hangover kamanda. Sasa hangover ikichanganyika na maupupu ya vimeo kama hivi inakuwa balaa.

Hivi wadudu wa malaria hawawezi kuangamizwa na valeur?

hehehe inategemea wadudu wa malaria wa jimbo gani? wa mbagala hata kwa acid hawafariki.

beki to ze topik: jamaa anarusha stimu tu , acha ni update ile ignore list ya JF phase 2.
 
huyu Buzi wako Mbeya na ukitaka kujua hana adabu kwanini anamsema mkewe mbele yako ..nahisi na wewe huwa anakusema kwa friends zake

aah kweli leo umechukia hata wewe
 
kweli da sophy saidia wanawake wenzio kwa kusema wanachotaka wampe mwanamme ili asiende kwa nyumba ndogo.................maana wewe umesema akifika kwako hatoki!

au wewe ni mwanachama wa nyumba ndogo for life na huwezi kutoa siri za chama!
 


Mmmh! Da Sophy yaelekea wewe ni binti wa mwambao wa Pwani, Tanga, Mombasa au Z'bar. Mabinti wa maeneo hayo acha kabisa, yaani ugali moto, mboga moto!
 

Hahahahahahahahah Baba nanihii hatujafanya mapenzi siku nyingi tu sijui kama ndiyo nawe umeamua kuwa na nyumba ndogo au sikuvutii tena kama zamani. Hapana mke wangu siku hizi kazi nyingi sana ofisini nachoka sana kuna long weekend inakuja basi tutafuta sehemu tukapumzike long weekend yote...LOL!
 

Nimetulia na mpenzi mmoja. Kipi kigumu kuelewa hapo. Nimetulia, bwana wangu ni huyo mmoja nimeridhika naye. Anayetaka kuchunguza akijua haitamfaa lolote zaidi ya kujipa presha tu.
 
Mmmh! Da Sophy yaelekea wewe ni binti wa mwambao wa Pwani, Tanga, Mombasa au Z'bar. Mabinti wa maeneo hayo acha kabisa, yaani ugali moto, mboga moto!

Naam ukishikwa na mtu kama huyu unaweza ukamsusa mkeo. Si unaona yeye ndiyo kawa mke sasa na mke kawa mapozeo.
 
Nimetulia na mpenzi mmoja. Kipi kigumu kuelewa hapo. Nimetulia, bwana wangu ni huyo mmoja nimeridhika naye. Anayetaka kuchunguza akijua haitamfaa lolote zaidi ya kujipa presha tu.

Da Sophy naona unatetea hoja
 
huyo dada hana maana yaani anajisifia kumchukua mume wa mtu? ha!wekeni mada za maana hizi watu tuzipotezeee za kijinga
 
kwavile huu mjadala umewachosha wengi, sio vibaya tukaserebuka na mheshimiwa rais kidogo, huku tukisubiria akili ziingie second round!



 
Hahahahahahahah usiulize jibu bwana Masaki!!! Mjini Tigo maliiiii

Hapo ndipo wadada wanapodanyana siku hizi. Wangapi wanatoa tiGo na mwanaume akishakula anaendelea na hamsini zake kama kawaida? Nadhani huyo Da Sophy anatoa zaidi ya tiGo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…