Ndugu kuna mambo mawili debatable katika uzi asilia wa mleta uzi; (1)suala la mdhambi KUCHOMWA MOTO (2) suala la mdhambi KUCHOMWA MOTO WA MILELE.Hii namba 2 inakubaliana na namba 1,ila yenyewe ikaenda mbele zaidi kwa kuongeza kitu kingine;muda (duration) ya hukumu hiyo.
Mimi katika comment yangu nimeishia kujikita katika namba 1 pekee,hiyo nyingine namba 2 sijaigusia.MIMI NAAMINI MUNGU ATAWAANGAMIZA WADHAMBI KWA MOTO.Wewe unaamini nini?tuanze na hili kisha twende kwenye namba 2.
Moto wa milele....nionavyo mimi si kuwa utawaka milele...ila moto huo una matokeo ya milele. Yaani watakaounguzwa nao watapotea milele.Ngo
Yudu 1:7, Kama vile sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uesherati kwa jinsi moja na hawa.....Wakaadhibiwa katika moto wa milele.
Nini maana ya neno milele?
Je, mpaka sasa wanaendelea kuteketea?
naona muhuni unajipa no sweatgharika ilikuwa mafuriko tu mkuu na sodoma na gomora ule moto ulisababishwa na mlipuko wa volcano maeneo yale enzi hizo elimu si unajua ilikua ndogo
ni sawa na kupatwa kwa jua watu walichukulia eti ni mungu kakasirika
Kama wewe unampenda baba yako unaweza kumdharau kwa maagizo yake ukayapuuza na kumpinga baba yako..?Swali kwako: Wewe na Mungu nani mwenye huruma zaidi juu ya mwanao Neema?
Je, kuna kosa Neema akilifanya utamchinja?
Kama yes, basi akili yako ina mushkiri, na kama No. Je, wewe umempita Mungu kiwango cha huruma?
SodomaUsijifariji utachomwa tu.
Jikumbushe Sodoma na Gomola, enzi za nuhuuuuuuuuu......, enzi za Muda na Farao
Habari kama hizo za watu kuchomwa moto milele zinaonesha huyo Mungu katungwa na watu tu.
Tena watu wa zama za ujinga.
Naamini watendadhambi wataangamizwa ila hakuna Moto wa milele.Ndugu kuna mambo mawili debatable katika uzi asilia wa mleta uzi; (1)suala la mdhambi KUCHOMWA MOTO (2) suala la mdhambi KUCHOMWA MOTO WA MILELE.Hii namba 2 inakubaliana na namba 1,ila yenyewe ikaenda mbele zaidi kwa kuongeza kitu kingine;muda (duration) ya hukumu hiyo.
Mimi katika comment yangu nimeishia kujikita katika namba 1 pekee,hiyo nyingine namba 2 sijaigusia.MIMI NAAMINI MUNGU ATAWAANGAMIZA WADHAMBI KWA MOTO.Wewe unaamini nini?tuanze na hili kisha twende kwenye namba 2.
Swali kwako: Wewe na Mungu nani mwenye huruma zaidi juu ya mwanao Neema?
Je, kuna kosa Neema akilifanya utamchinja?
Kama yes, basi akili yako ina mushkiri, na kama No. Je, wewe umempita Mungu kiwango cha huruma?
Chief hivi viswali ni konki
Ucniambie bado znaungua had sasaUsijifariji utachomwa tu.
Jikumbushe Sodoma na Gomola, enzi za nuhuuuuuuuuu......, enzi za Muda na Farao
Hivi kwanini unafikiri upendo unazuia kufanya hivyo? Mfano unasema huwezi kumtosa mwanao jikoni hata dk2 sababu unampenda.Wakuu salama?
Muumba na mzazi mwenye mamlaka na uchungu zaidi juu ya mwanadamu ni Mungu muumba.
Yaani kama unamvumilia, kumjali na kumpenda mwana wako basi jua Mungu aliyemuumba anampenda zaidi.
Mwanangu hata afanye kosa gani, maadamu tu nina akili timamu siwezi kumtosa jikoni aungue hata kwa dk 2.
Je, Mungu muumba anaweza kumtupa mwanadamu dhaifu motoni milele na milele?
Je, Mungu hana upendo unaomzidi mzazi?
Nikifungua makabrasha yangu naambiwa kuwa yeye ni zaidi ya mama.
Swali kwako: Unaweza kumtosa mwanao kwenye moto hata mdogo tu wa nyumbani na kumwacha ateketetee kwa dk mbili kisa kaasi amri yako ya kuwahi toka shule?Kama aliweza kuwateketeza watu kwa maji nuhu (immagine unakunywa maji mpaka mishipa inachanika unakosa pumzi unakufa) ,moto luti(hapa waliungua si kitoto) , volcano pompeii(italia hiyo hawa mpaka leo wamebaki masanamu ukumbusho kwetu) ,na aliweza kumuhifadhi farao asioze ili awe ukumbusho pia kwetu WE UNADHANI KUKUWEKA MOTONI NI KITU KIGUMU? USIJIFARIJI MKUU FUATA ANAVYOTAKA UISHI UTAUEPUKA HUO MOTO.
Mahali fulani Mungu anamuuliza mwanadamu: Je, mwanamke aweza kumsahau mwanawake mwenyewe?Mimi mwenyewe hainingii akilini.
Kama wewe unampenda baba yako unaweza kumdharau kwa maagizo yake ukayapuuza na kumpinga baba yako..?Swali kwako: Unaweza kumtosa mwanao kwenye moto hata mdogo tu wa nyumbani na kumwacha ateketetee kwa dk mbili kisa kaasi amri yako ya kuwahi toka shule?
If yes, basi una kichaa.
If No, Je, Mungu umemzidi huruma?.
Use common sense