safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Kwa hyo moto upo lakini sio wa milele bali ni kwa muda tu..?Walioandika vitabu vya dini walikuwa na akili sana walikuwa na malengo yao. Mafundisho ya kuchomwa moto milele ni mafundisho ya uongo lengo likiwa ni kuwatisha watu wasiendelee kutenda maovu, ni kama kumtisha mtoto asipokula au akiiba utamchoma vidole.
Mafundisho kama haya ndiyo yanatumiwa na wachungaji walio wengi manabii wa uongo wanaoanzisha makanisa kama uyoga ili kujipatia utajiri kwa kuwadanganya waumini kuwa watoapo sadaka wanajiwekea akiba mbinguni, which is not true.
Hakuna moto wa milele wewe tenda mema uishi vizuri na walimwengu basi.