mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Hakuna Jehananamu wala moto wa milele, Mungu alitoa adhabu moja tu kupatwa mauti yaani kifo chako ndo mwisho wako, ukifa kimwili kama ulikuwa na matendo mabovu hutauona ufalme wa mbingu, kama ulikuwa na matendo mema na unatubu kila ukikosea wewe utafurahia maisha baada ya kifo milele kwani utaondolewa adhabu hiyo.