Kama Kiswahili ndio lugha ya Taifa, Serikali ihakikishe kinatumika katika nyanja zote muhimu ikiwemo Elimu

Kiswahili kwa Sasa hakina msamiati wa kutosha kukidhi matakwa ya elimu ya juu na teknolojia mpya.
Hivi endoscopy kwa kiswahili inaitwaje? 😅
 
Kiswahili kwa Sasa hakina msamiati wa kutosha kukidhi matakwa ya elimu ya juu na teknolojia mpya.
Hivi endoscopy kwa kiswahili inaitwaje? 😅
BAKITA ikubali kutohoa maneno ya kigheni, haswa kwa maneno yaliyo common mfano computer iitwe TU kompyuta sio mpaka ipatiwe msamiati wake. happy unakuwa unachanganya watu.
 
Ulishawahi kwenda kuomba kazi ukafanyiwa interview kwa kiswahili?
Kozi mnazosoma vyuoni mnasoma kwa kiswahili?
ACHENI UNAFIKI
Kiswahili sio lugha ya maendeleo.
Kiswahili sio lugha ya kimasikini,
Tengua kauli yko.

Wakati wazungu wakifanya juhudi kujifunza Kiswahili ,
Sisi wenye lugha yetu hatujitambui.

Kiswahili ndy lugha ya asili ya muafrica inayoongewa na watu wengi kwa sasa Africa,,

Ukiindoa English,na french,Arabic ,

hakuna lugha inayoongewa na inchi nyingi afrika kama Kiswahili.

Kiswahili ni lugha ya kuweka watu pamoja ,
Leo Kiswahili kinafundishwa darasani south Africa,
na Botswana.

Kiswahili kinapewa airtime redio za Marekani, Germany na England ,
Huku baadhi ya inchi ya wazungu wanafanya juhudi kujuwa Kiswahili wenye lugha yetu bado tunaabudu utumwa wa lugha za wazungu.

Leo tumebaki njia Panda Kiswahili hatujuwi wala kingereza/French/Germany/Spanish/Portuguese hatujuwi.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
ulishawahi kumuona mzungu anakwenda kwenye interview akaulizwa kwa kiswahili?
Kiswahili sio lugha ya kimasikini,
Tengua kauli yko.

Wakati wazungu wakifanya juhudi kujifunza Kiswahili ,
Sisi wenye lugha yetu hatujitambui.

Kiswahili ndy lugha ya asili ya muafrica inayoongewa na watu wengi kwa sasa Africa,,

Ukiindoa English,na french,Arabic ,

hakuna lugha inayoongewa na inchi nyingi afrika kama Kiswahili.

Kiswahili ni lugha ya kuweka watu pamoja ,
Leo Kiswahili kinafundishwa darasani south Africa,
na Botswana.

Kiswahili kinapewa airtime redio za Marekani, Germany na England ,
Huku baadhi ya inchi ya wazungu wanafanya juhudi kujuwa Kiswahili wenye lugha yetu bado tunaabudu utumwa wa lugha za wazungu.

Leo tumebaki njia Panda Kiswahili hatujuwi wala kingereza/French/Germany/Spanish/Portuguese hatujuwi.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Kiswahili ni lugha ya kufundishia shule za msingi lakini wengi wenye kipato na wasomi na wenye madaraka hawasomeshi watoto wao huko.

Wanaoanzisha shule binafsi wanatumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.

Hata watanzania maskini wangependa watoto wao wasome kwa kiingereza.

Serikali ilazimeshe watu? Huoni kwamba watu wanataka kiingereza na sio serikali pekee?

Hata ikipitishwa sheria bado watu watawahamishia watoto wao nchi jirani kwenye hicho kiingereza.
Tusiilaumu serikali.
Kiswahili kilitumika na Nyerere kama tool ya kimkakati kuunganisha watanzania waliokuwa na lugha mbalimbali za makabila yao. Nakumbuka enzi hizo mnakutana Form 1 wanafunzi waliotoka maporini hata Kiswahili ilikuwa shida.

Tofauti na enzi zile, leo lugha nyingi za kikabila zinapotea na Kiswahili kinachukua nafasi. Ni kawaisa sana leo watoto wadogo lugha zao kuu vijijini ni Kiswahili hivyo lengo la awali limetimia.

Ni wakati muafaka sasa lugha kuu ya kufundishia ngazi zote iwe Kiingereza ili twende na dunia. Ukabila wa kitaifa umeisha; focus iwe kuondoa ukabila tulio nao kidunia.
 
Back
Top Bottom