Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Alishawahi kumtambia msanii mwenzake kwamba hamuwezi kimuziki,ki uchawi,kifedha, ki umaarufu na hata kiselikali, mayowe ya nini sasa!? anaweza kuchagua mbinu mojawapo hapo na kutatua matatizo yake hayo😎
 
Kutokana na kejeli za Diamond Platinumz juu ya kanisa Katoliki, imeonekana wazi kuwa kitendo alichokifanya sio cha haki wala heshima!

Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!

Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?

Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Kungewaka Moto.
 
Kutokana na kejeli za Diamond Platinumz juu ya kanisa Katoliki, imeonekana wazi kuwa kitendo alichokifanya sio cha haki wala heshima!

Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!

Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?

Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Hilo neno "akashuti" ni la Kiswahili fasaha cha kimwambao likimaanisha "kujamba". Simpo tu, ukijamba msikitini kwa bahati mbaya unatoka nje unakwenda kutawadha.
 
Kwahiyo Diamond angekua mkristo ingekua ni sahihi kwa alichokifanya kwa mtizamo wako?
Unajua din ikiwa yako utatenda kwa heshima na kujua kujicontrol tofauti na mwingine wa din nyingine, shaggy walimpa coz anasali pale pale na isitoshe ukiangalia wimbo hauna baya, sasa ukiangalia diamond mbele yake inavyoendelea story ni kama kudharirisha imani
 
Unajua din ikiwa yako utatenda kwa heshima na kujua kujicontrol tofauti na mwingine wa din nyingine, shaggy walimpa coz anasali pale pale na isitoshe ukiangalia wimbo hauna baya, sasa ukiangalia diamond mbele yake inavyoendelea story ni kama kudharirisha imani
Nani alimruhusu kushuti ndani ya hilo Kanisa?
 
Inawezekana! labda walikuta kanisani li wazi kwa ajili ya watu kuingia kusali, wakaingia zao, wakafanya yao! hukuona jinsi ambavyo walikuwa wanaimba kwa pupa! hata mpiga kinanda alikuwa amekaa tako moja! Yule panua domo alikuwa akijeuza shingo yake kutazama huku na huko wasije kukutwa!

Kwani waliokuwa wanakwaya ni akina nani kama sio wakina Juma lokole, Zuchu, mama Dangote, Esma na wenzao!!
Sio ukweli,makanisa yote,yana ulinzi.Hakuna kanisa lisilo na ulinzi.
 
Kungewaka Moto.
Wenye kanisa ndio wamemruhusu.Halafu msikiti,usifananishe na kanisa,kanisani unaingia na viatu,kuna viti,meza,na vinanda na matarumbeta na magita yanapigwa humo,wanawake na wanaume wanachanganyika,nguo fupi na kichwa wazi ,wanawake wanaruhusiwa.Huwezi kukuta msikiti uko katika mazingira hayo.
 
Pasi na kuwafutulisha, kuwatengenezea wimbo wa Ramadhani na kuwaombea kwenye management ya wasafi media kurusha matangazo yenu bure!

Nahisi hauko sawa! Fanya ulale kwanza!
Sio ajabu,mara nyingi hua tunaona mashiga wakifunga kanisani then kesho asubuhi mnakwenda kufanya ibada hapohapo

Kwa muislamu muziki ni HARAMU na itabaki hivo,kitabu cha waislamu hakina kubadilika badilika hakinaga agano la kale wala agano jipya
 
Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?

Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Aidha albadiri ingeshasomwa tayari, au
Kichwa chake kingekuwa kinatafutwa kila kona kama lulu🙄
 
Mkuu, kuwa na adabu!
Hujui unaongea na nani!
Unadhani kwa matumizi ya fake ID kuwa siwezi kukupata!
Huu mtandao upo kiganjani kwetu, Email yako inatosha kabisa kupata location yako!
Ebo! [emoji34][emoji34]
Mkwara kama wa Nape!
 
Wenye kanisa ndio wamemruhusu.Halafu msikiti,usifananishe na kanisa,kanisani unaingia na viatu,kuna viti,meza,na vinanda na matarumbeta na magita yanapigwa humo,wanawake na wanaume wanachanganyika,nguo fupi na kichwa wazi ,wanawake wanaruhusiwa.Huwezi kukuta msikiti uko katika mazingira hayo.
msikitini wanaingia majini pia kuswali ndo moja ya tofauti kubwa pia. na hawawezi kukujumuika sababu kuna kipindi wanatakiwa kuinama so inaweza sababisha taabu....
 
Mkuu, kuwa na adabu!
Hujui unaongea na nani!
Unadhani kwa matumizi ya fake ID kuwa siwezi kukupata!
Huu mtandao upo kiganjani kwetu, Email yako inatosha kabisa kupata location yako!
Ebo! [emoji34][emoji34]
hivi vitisho vya kizamani sana . umenikumbusha mbali sana.. kulikuwa na bwana mdogo alikuwa naye ameajiriwa kazini akawa anasumbua sana watu nilipokuja pata taarifa zake nikamwka chini na kumweleza hatuishi hivyo na si maadili ya kazi. sasa na wewe umenifanya nicheke sana....maana naona umekaa kaa na watu ukajikuta umezoea haya maneno...
 
Waislamu wakali sana na dini yao, wepesi sana kwa dini nyingine. [emoji4]
 
Back
Top Bottom