saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,879
- 2,860
Alivyoenda bungeni kwa mabwenyenye kutoa futari, kujikomba tu, ( na si kuwapa wahitaji )Alidhani kuimba kwenye kampeni tayari nae keshakua raia namba moja nchini
Alivyoenda bungeni kwa mabwenyenye kutoa futari, kujikomba tu, ( na si kuwapa wahitaji )Alidhani kuimba kwenye kampeni tayari nae keshakua raia namba moja nchini
Aende kuchezea msikitini kwao, anakotoa misaada ya kujenga.Makanisa yenyewe yamejengwa na binadamu hao hao ambao ni walevi na wazinzi, hizi dini zina vuruga akili zenu
Yote majengo tu, popote sawa tu panapo mfaa kwa muziki wake afanye tuu,Aende kuchezea msikitini kwao, anakotoa misaada ya kujenga.
Jitu jinga linabaki kutishia watuMkuu, kuwa na adabu!
Hujui unaongea na nani!
Unadhani kwa matumizi ya fake ID kuwa siwezi kukupata!
Huu mtandao upo kiganjani kwetu, Email yako inatosha kabisa kupata location yako!
Ebo! [emoji34][emoji34]
Jitu jinga linabaki kutishia watuMkuu, kuwa na adabu!
Hujui unaongea na nani!
Unadhani kwa matumizi ya fake ID kuwa siwezi kukupata!
Huu mtandao upo kiganjani kwetu, Email yako inatosha kabisa kupata location yako!
Ebo! [emoji34][emoji34]
Sounding logical, Swali zuri Sana.Kanisa la Nani!?..aliruhusiwa au alivizia hawapo!?
Mkuu, kuwa makini!!Jitu jinga linabaki kutishia watu
Inawezekana kweli jamaa kaongea kwel ARV zinakupeleka resi hadi huekewi unachoongea
Kwahyo umeona hayo mambo kanisani ndio yanaruhusiwa ila msikitini hayaruhusiwi. Kwakua kanisani ni mahali pa kisenge ila msikiti ndio mahali patakatifuHivi mbona watz tunazidi kuwa wapumbavu kila kukicha hivi hapo Daimond ana kosa gani?
Kwani walienda wakalivamia kanisa na kuwashikia bunduki viongozi wa hilo kanisa na karekodi kwa razima?
Mpaka anakuja kufanya hicho alicho kifanya ina maana alipata baraka zote kutoka kwa viongozi wa kanisa husika na waliona hakuna tatizo yeye kufanya hivyo.
Sasa hapo Daimond ana kosa gani?
Wakulaumiwa ni wale walio waruhusu kifanya walicho kifanya.
Hizi hoja za sijui kwa nn hawajaenda msikitini ni hoja za kipumbavu kwa sababu msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kabisa ya kuwa hayo mambo hayaruhusiwi ndani ya msikiti ,wakati upande wa viongozi wa pili ni rukusa na tumeshudia mara nyingi miziki na maigizo yakofanyika ndani ya makanisa tena waigizaji wakiwa wamevaa nusu uchi mbona hamkuwahi kusema huko nyuma?
Hata wanawake siku hizi wamekuwa wanaenda makanisa kwenye ibada na mavazi ya ajabu ajabu tukisema mnajitetea eti mungu ahaangilii mavazi bali ana angalia matendo.
Tena wanavaa hijab kumbe ni MAKAHABA YA KUTUPWAHivi mbona watz tunazidi kuwa wapumbavu kila kukicha hivi hapo Daimond ana kosa gani?
Kwani walienda wakalivamia kanisa na kuwashikia bunduki viongozi wa hilo kanisa na karekodi kwa razima?
Mpaka anakuja kufanya hicho alicho kifanya ina maana alipata baraka zote kutoka kwa viongozi wa kanisa husika na waliona hakuna tatizo yeye kufanya hivyo.
Sasa hapo Daimond ana kosa gani?
Wakulaumiwa ni wale walio waruhusu kifanya walicho kifanya.
Hizi hoja za sijui kwa nn hawajaenda msikitini ni hoja za kipumbavu kwa sababu msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kabisa ya kuwa hayo mambo hayaruhusiwi ndani ya msikiti ,wakati upande wa viongozi wa pili ni rukusa na tumeshudia mara nyingi miziki na maigizo yakofanyika ndani ya makanisa tena waigizaji wakiwa wamevaa nusu uchi mbona hamkuwahi kusema huko nyuma?
Hata wanawake siku hizi wamekuwa wanaenda makanisa kwenye ibada na mavazi ya ajabu ajabu tukisema mnajitetea eti mungu ahaangilii mavazi bali ana angalia matendo.
Ndio maana nimesema kuwa msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kuwa mambo kama hayo haya ruhusiwi msikitini.Kwahyo umeona hayo mambo kanisani ndio yanaruhusiwa ila msikitini hayaruhusiwi. Kwakua kanisani ni mahali pa kisenge ila msikiti ndio mahali patakatifu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alidhani kuimba kwenye kampeni tayari nae keshakua raia namba moja nchini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Ni kweli kabisa hata Mondi mzee wakuhamasisha ufiraji kwenye nyimbo zake naye amejenga msikiti na waislam hawakuukataa.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hovyooooooooo
Confirmed Chizi fresh
Kosa si kushuti video kanisani, kosa ni maaudhii ya video yake aliyoshuti kanisani. Kuna baadhi ya waumini wa dini ya kikristo wanaona wameridharilisha kanisa. Unaweza ukapata ruhusa ya kushuti video kanisani lakini siyo kwamba umeruhusiwa kushuti "scene" ya kujamiana kanisani. Waumini lazima watalalamika. Mtengeneza video alitakiwa kutafakari vizuri kabla ya kufanya kitendo hicho. Ila kitendo cha video kufungiwa kitaongeza views za video hiyo.Hivi mbona watz tunazidi kuwa wapumbavu kila kukicha hivi hapo Daimond ana kosa gani?
Kwani walienda wakalivamia kanisa na kuwashikia bunduki viongozi wa hilo kanisa na karekodi kwa razima?
Mpaka anakuja kufanya hicho alicho kifanya ina maana alipata baraka zote kutoka kwa viongozi wa kanisa husika na waliona hakuna tatizo yeye kufanya hivyo.
Sasa hapo Daimond ana kosa gani?
Wakulaumiwa ni wale walio waruhusu kifanya walicho kifanya.
Hizi hoja za sijui kwa nn hawajaenda msikitini ni hoja za kipumbavu kwa sababu msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kabisa ya kuwa hayo mambo hayaruhusiwi ndani ya msikiti ,wakati upande wa viongozi wa pili ni rukusa na tumeshudia mara nyingi miziki na maigizo yakofanyika ndani ya makanisa tena waigizaji wakiwa wamevaa nusu uchi mbona hamkuwahi kusema huko nyuma?
Hata wanawake siku hizi wamekuwa wanaenda makanisa kwenye ibada na mavazi ya ajabu ajabu tukisema mnajitetea eti mungu ahaangilii mavazi bali ana angalia matendo.
kanzu zingechanikachanika...Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?