Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Kutokana na kejeli za diamond platinumz juu ya kanisa katoriki, imeonekana wazi kuwa kitendo alichokifanya sio cha haki wala heshima!

Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!

Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa msikitini?

Na je, viongozi wa msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Sasa mpaka ameruhusiwa kuingia kanisani ambapo wenyewe mnapaita patukufu kwa mujibu wenu na amelipa pesa na akahamasisha zinaa shida iko wapi kwenye hizo picha???

Shida ni nyie kwa kujali matumbo yenu

Mbona hakwenda msikitini kufanya hiyo video???
 
Sasa mpaka ameruhusiwa kuingia kanisani ambapo wenyewe mnapaita patukufu kwa mujibu wenu na amelipa pesa na akahamasisha zinaa shida iko wapi kwenye hizo picha???

Shida ni nyie kwa kujali matumbo yenu

Mbona hakwenda msikitini kufanya hiyo video???
Kwaiyo na ninyi waislamu wenzake mnamsapoti Nassib kwa kutumia udhaifu wa pesa kumdhihaki Mwenyezi Mungu!

Au kuna Mungu wawili, wa kiislamu na wa kikristu? Ok, mnahisi Mwenyezi Mungu yuko anachekelea kitendo ambacho diamond kakifanya? Na je yuko anawaandalia tuzo kwa ninyi fans kumsifia diamond kwa kile alichokifanya?
 
Kwaiyo na ninyi waislamu wenzake mnamsapoti Nassib kwa kutumia udhaifu wa pesa kumdhihaki Mwenyezi Mungu!

Au kuna Mungu wawili, wa kiislamu na wa kikristu? Ok, mnahisi Mwenyezi Mungu yuko anachekelea kitendo ambacho diamond kakifanya? Na je yuko anawaandalia tuzo kwa ninyi fans kumsifia diamond kwa kile alichokifanya?
Nasibu ni katika aliepotea kama wewe kafiri tu yaani wewe na huyo nasibu wala hamna tofauti
 
Hivi mbona watz tunazidi kuwa wapumbavu kila kukicha hivi hapo Daimond ana kosa gani?

Kwani walienda wakalivamia kanisa na kuwashikia bunduki viongozi wa hilo kanisa na karekodi kwa razima?

Mpaka anakuja kufanya hicho alicho kifanya ina maana alipata baraka zote kutoka kwa viongozi wa kanisa husika na waliona hakuna tatizo yeye kufanya hivyo.
Sasa hapo Daimond ana kosa gani?
Wakulaumiwa ni wale walio waruhusu kifanya walicho kifanya.

Hizi hoja za sijui kwa nn hawajaenda msikitini ni hoja za kipumbavu kwa sababu msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kabisa ya kuwa hayo mambo hayaruhusiwi ndani ya msikiti ,wakati upande wa viongozi wa pili ni rukusa na tumeshudia mara nyingi miziki na maigizo yakofanyika ndani ya makanisa tena waigizaji wakiwa wamevaa nusu uchi mbona hamkuwahi kusema huko nyuma?

Hata wanawake siku hizi wamekuwa wanaenda makanisa kwenye ibada na mavazi ya ajabu ajabu tukisema mnajitetea eti mungu ahaangilii mavazi bali ana angalia matendo.
Kosa lake kauli za kejeli na dhihaka anazozitoa
 
Unasmartphone, una bundle halafu unataka utafuniwe!

Una uhakika mimi ni mkristo? Ukweli ndio huo wakristo wanaheshimu sana uislam, mwanzo niliona labda jamaa kafanyiwa makusudi lakini baada ya kufuatilia nimeungana na Basata. Nikuulize ungejiskiaje kama video ingekuwa dhihaka kwa uislam?
Kwahiyo wewe ndio una hakika kua mimi ni muislamu

Hivi shida iko kwa DIAMOND au mna shida na UISLAMU,kama shida NASIBU sasa kwanini muhusianishe uislamu kwenye jambo hili

Shida yenu ni kwamba hamuwezi kuficha chuki zenu dhidi ya UISLAMU
 
Nasibu ni katika aliepotea kama wewe kafiri tu yaani wewe na huyo nasibu wala hamna tofauti
Nassibu na Mimi kwa sababu ipi umeniweka nae kundi moja!

Lakini mbona hawa waislamu ninaoishi nao hapa hawana kauli kama zako? hawako kama wewe ulivyo!? Isitoshe nina mchumba wa kiislamu ila hayuko hivyo! Au mna utofauti?

Anywaw, nimeandika kitoto zaidi kwa sababu ya mihemko!!
 
Nasibu ni katika aliepotea kama wewe kafiri tu yaani wewe na huyo nasibu wala hamna tofauti

Pasi na kuwafutulisha, kuwatengenezea wimbo wa Ramadhani na kuwaombea kwenye management ya wasafi media kurusha matangazo yenu bure!

Nahisi hauko sawa! Fanya ulale kwanza!
 
Kwaiyo na ninyi waislamu wenzake mnamsapoti Nassib kwa kutumia udhaifu wa pesa kumdhihaki Mwenyezi Mungu!

Au kuna Mungu wawili, wa kiislamu na wa kikristu? Ok, mnahisi Mwenyezi Mungu yuko anachekelea kitendo ambacho diamond kakifanya? Na je yuko anawaandalia tuzo kwa ninyi fans kumsifia diamond kwa kile alichokifanya?
Mkuu ukiangalia hoja ya hapo juu sio kama anamtetea Diamond na kitendo alichofanya, anajenga hoja kwa kuuliza uadilifu wa viongozi wa kanisa waliomruhusu Nasib na Zuhura kufanya walichofanya
 
Pasi na kuwafutulisha, kuwatengenezea wimbo wa Ramadhani na kuwaombea kwenye management ya wasafi media kurusha matangazo yenu bure!

Nahisi hauko sawa! Fanya ulale kwanza!
Hayo yote hayawezi kumfanya kuwa ni katika walioamini, huyo ni mpotevu tu!
 
Lawama zote hizi ziende kwa kwa JPM ndo alileta haya mambo ya matamko matamko kila kiongozi akitaka kiki anatoa matamko.

Alafu ni mkristo gani alikua offended na kitendo kile?? Maana kama mkristo kweli kama mimi tunajua watu huwa wanashemana hadi kanisani tena wanakwaya sembuse kupokea simu! Hizo ni kiki tu za hao viongozi. Mbona kuna ile singeli wanaimba "...unamjua Yesu... Kwa jina la baba ilo na la mwana ilo na la roho..." na haijafungiwa wakati they were toying with the center figure of Christianity lakini hakuna mkristo alielalamika!
 
Hebu acha kuongea utumbo wewe labda misikiti yenu ipo hivyo wewe😫😫😫😞😞😞
Angalia huyu kwahiyo wajenzi wa makanisa yote wewe unawajua kuwa sio wazinzi au walevi? akili yako ni mgando
 
Hivi mbona watz tunazidi kuwa wapumbavu kila kukicha hivi hapo Daimond ana kosa gani?

Kwani walienda wakalivamia kanisa na kuwashikia bunduki viongozi wa hilo kanisa na karekodi kwa razima?

Mpaka anakuja kufanya hicho alicho kifanya ina maana alipata baraka zote kutoka kwa viongozi wa kanisa husika na waliona hakuna tatizo yeye kufanya hivyo.
Sasa hapo Daimond ana kosa gani?
Wakulaumiwa ni wale walio waruhusu kifanya walicho kifanya.

Hizi hoja za sijui kwa nn hawajaenda msikitini ni hoja za kipumbavu kwa sababu msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kabisa ya kuwa hayo mambo hayaruhusiwi ndani ya msikiti ,wakati upande wa viongozi wa pili ni rukusa na tumeshudia mara nyingi miziki na maigizo yakofanyika ndani ya makanisa tena waigizaji wakiwa wamevaa nusu uchi mbona hamkuwahi kusema huko nyuma?

Hata wanawake siku hizi wamekuwa wanaenda makanisa kwenye ibada na mavazi ya ajabu ajabu tukisema mnajitetea eti mungu ahaangilii mavazi bali ana angalia matendo.
Kuvaa nusu uchi ndio kuvaaje??
 
Alafu kuna wakristo wajinga wanasapoti ujinga huu..
ndiyo maana watu wanadharau Sana Imani ya kikristo kutokana na wakristo wenyewe hawana msimamo na din Yao na wengi hawajui maandiko
 
Alafu kuna wakristo wajinga wanasapoti ujinga huu..
ndiyo maana watu wanadharau Sana Imani ya kikristo kutokana na wakristo wenyewe hawana msimamo na din Yao na wengi hawajui maandiko
Kilichobaki ni kujitengenezea ka dhehebu kangu nyumbani pamoja na wanafamilia, tunaandika sala zetu na kusalia ndani mpaka pale uongozi wa dini katoriki utakaposimama na kuliongelea suala hili kwa undani pamoja na kuwachukulia hatua wale waumini waliokuwemo wakipanua midomo yao kanisani hasahasa yule kiongozi wao, diamond na zuchu!
Na wote waliohusika na ufungaji wa camera, hasa hasa yule aliyeifunga kwenye msalaba!

Nimekuja kugundua kuwa kosa kubwa limefanywa na uongozi wa kanisa hilo na timu nzima ya diamond platinumz iliyohusika na uandaaji wa video hiyo!

Mjumuisho huo ndo unaochochea kutokuelewana kati ya uislamu na ukristu! Pamoja na waumini wa uislamu wanaohalalisha hili jambo bila kuwasahau wakristu wachache wapuuzi!
 
Back
Top Bottom