Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,360
- 11,588
Kutokana na kejeli za Diamond Platinumz juu ya kanisa Katoliki, imeonekana wazi kuwa kitendo alichokifanya sio cha haki wala heshima!
Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!
Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?
Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!
Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?
Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?