Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Bwana eeeh Hapa wakulaumiwa sio Diamond,Hapa walaumiwe Viongozi wetu....Sidhani Kama msikitini au kanisa la Sabato lingekubali hayo.
 
Kuendelea kumfatilia huyu jamaa ndio kunampa bichwa.

Anajiona kashayapatia maisha basi imani za wengine hazina maana kwake.
 
Haitatokea Kwa sababu Waislamu wanaisimamia Dini yao.
Isitoshe misikiti inamilikiwa na Waumini Wote, hivyo hata uwe kiongozi Wa msikiti mfano Imamu, huna mamlaka ya kuamua hivyo.

Kwa wakristo Makanisa yanayomilikiwa na Waumini Wote ni ya Romani Katoriki, KKKT na Wasabato lakini sina uhakika na viongozi wa kanisa katika kuamua.

Ukija kwa haya makanisa ya Pende Coast yaani walokole, makanisa ni mali ya mchungaji, Mchungaji ndiye huamia kila kitu, si lazima kuwashilikisha Waumini.
Hivyo mchungaji mwenye njaa yake, ni rahisi kuchukua pesa na kuruhusu Diamond kurekodi ndani ya kanisa.
Halafu maudhui badala ya kipentekoste yanakuwa yaki katoliki na kilutheri
 
Hilo neno "akashuti" ni la Kiswahili fasaha cha kimwambao likimaanisha "kujamba". Simpo tu, ukijamba msikitini kwa bahati mbaya unatoka nje unakwenda kutawadha.
Kujamba tena [emoji2][emoji2][emoji2]

Ila kweli wakati kusujudu pale linaweza kukutoka shuzi bila kutegemea.

Ile simu angeipokea masjid ingependeza sana.
 
Wenye kanisa ndio wamemruhusu.Halafu msikiti,usifananishe na kanisa,kanisani unaingia na viatu,kuna viti,meza,na vinanda na matarumbeta na magita yanapigwa humo,wanawake na wanaume wanachanganyika,nguo fupi na kichwa wazi ,wanawake wanaruhusiwa.Huwezi kukuta msikiti uko katika mazingira hayo.
Na hio sio sababu kuikejeli dini ya wengine
 
Hapo Ni Kama yalivyo MAGAZIJUTO mixer mgagani lazima kila siku alikua anawapa kesi iko inashinda Vita kwa watu watatu fogo hata Kama hawapapendi Ndio Matatizo ya itatakiwa wabaki huko huko island.
mmmmh!!!!
 
Back
Top Bottom