Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Kama ingelitokea msanii Mkristu akashutia video yake Msikitini

Ndio mbona ni kawaida ndio ujue kuwa dini ni usanii, kuna kanisa kiongozi wa kiume anapakatwa na ibada anaongoza kule US, watu wameridhika kabisa maisha yanasonga
Kwa makanisa ya shetani ni jambo la kawaida pia ushoga ni ajenda kuu
 
Shida sisi tuna mihemko kwenye dini.

Kanisa/msikiti kuna uongozi wake, DOMO platnumz hakuvamia tu, ila ni kwa ruhusa ya jengo husika, viongozi waliona ni sahihi kwa mujibu wa mafundisho yao wakamruhusu.
Hata msikitini wanaweza ruhusu ama kukata kwa jinsi watakavyoona wao inafaa.

Kwani ile ZOBA ya ndizi[emoji529]zorro ishafungiwa? kuna maudhui wapo kanisani.
Hakuna msikiti unaoweza dhalilishwa hata na bongo movie tu.
Duniani nzima makanisa ndio ya kuchezea
 
Kutokana na kejeli za Diamond Platinumz juu ya kanisa Katoliki, imeonekana wazi kuwa kitendo alichokifanya sio cha haki wala heshima!

Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!

Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?

Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Mnakuza mambo mno. Mbona kitambo tu movie kibao za akina Hemed Ph wanaigiza Wakristo wako kanisani. Nimeona tamthilia ya Kapuni watu wanaigiza kama masista wa Kiroma.
Kama wamekosea Mungu atawaadhibu si uwa kuna msemo Mungu wa Wakristo anajipigania mwenyewe, mwache akama akiona kuna makosa atafanya yake.
Kila dhehebu likisema liwe strict na mambo, mbona nchi hii haikaliki
 
Kutokana na kejeli za Diamond Platinumz juu ya kanisa Katoliki, imeonekana wazi kuwa kitendo alichokifanya sio cha haki wala heshima!

Hata isitoshe kauli yake kwenye post ya Zuchu aliyoandika kuwa hii nchi ina wenyewe mara acha tuendelee kuwawakilishia taifa lao inaonesha wazi mmomonyoko mzima wa maadili!

Unahisi tungelikuwa tunaongelea habari gani kwa sasa kama angelitokea msanii Mkristu akashuti video ya wimbo wake akiwa Msikitini?

Na je, viongozi wa Msikiti husika wangekubaliana na jambo kama hili lifanyike?
Kwa hakika waislamu wasingekubali video ya Mkatoliki kushutiwa msikitini. Wenzetu hawana ustahimilivu wa kidini kabisa. Pamoja na kujatibu kuwaonesha ustahimilivu kwa matendo, lakini wao ni wabaguzi tu milele!!
 
Cc Nafaka ,bongo movies, zile ni movies ambazo ndani yake zina mafunzo kuhusu jambo husika (mtiririko wa matukio ya kimaisha)

Ila haiwezekani zuchu atoke kanisani aseme, eti huwa wanasema Amina, kejeli tosha i.e "Eti Amina!"

Nusu ubeti wa
"Dua zimeitikiwa,
Ashtuti nije kukupa mali yako"
kwamba kaenda kanisani kuomba mamlaka ya kufanya ngono! anarudi akisema sala zake zimeitikiwa!

Em chukulia mfano qaswida ya Mwanadamu tambua Mungu kashasema iambatane na wimbo wa diamond unachezaje! Mngelijiskia vipi? Halafu uone Zuchu anaswali halafu simu inaita anamshtua mama dangote, wanatoka msikitini speed! diamond awe amewasubiri sehemu ya kunawia! Pata picha hilo taqbir ambalo lingepigwa hapo!
 
Hakuna msikiti unaoweza dhalilishwa hata na bongo movie tu.
Duniani nzima makanisa ndio ya kuchezea
Je wanavamia makanisa au wanaruhusiwa!!! Usiseme hakuna, wakati kuna viongozi wa misikiti wengine miyeyusho, je hakuna movies zilizoigiziwa misikitini!???
 
Cc Nafaka ,bongo movies, zile ni movies ambazo ndani yake zina mafunzo kuhusu jambo husika (mtiririko wa matukio ya kimaisha)

Ila haiwezekani zuchu atoke kanisani aseme, eti huwa wanasema Amina, kejeli tosha i.e "Eti Amina!"

Nusu ubeti wa
"Dua zimeitikiwa,
Ashtuti nije kukupa mali yako"
kwamba kaenda kanisani kuomba mamlaka ya kufanya ngono! anarudi akisema sala zake zimeitikiwa!

Em chukulia mfano qaswida ya Mwanadamu tambua Mungu kashasema iambatane na wimbo wa diamond unachezaje! Mngelijiskia vipi? Halafu uone Zuchu anaswali halafu simu inaita anamshtua mama dangote, wanatoka msikitini speed! diamond awe amewasubiri sehemu ya kunawia! Pata picha hilo taqbir ambalo lingepigwa hapo!
Na zoba unaisemaje? Ile ya banana? Sinia je? Mimi sio Mwislamu. Mungu wa Wakristo anajipigania mwenyewe. Kama anaona wamemkosea, atawaadhibu.
 
Je wanavamia makanisa au wanaruhusiwa!!! Usiseme hakuna, wakati kuna viongozi wa misikiti wengine miyeyusho, je hakuna movies zilizoigiziwa misikitini!???
Mkuu, toa mfano wa movie ya kibongo iliyochezwa msikitini huku waumini wakiwa wanaswali halafu wafanye tukio la utofauti kidogo!
 
Hivi mbona watz tunazidi kuwa wapumbavu kila kukicha hivi hapo Daimond ana kosa gani?

Kwani walienda wakalivamia kanisa na kuwashikia bunduki viongozi wa hilo kanisa na karekodi kwa razima?

Mpaka anakuja kufanya hicho alicho kifanya ina maana alipata baraka zote kutoka kwa viongozi wa kanisa husika na waliona hakuna tatizo yeye kufanya hivyo.
Sasa hapo Daimond ana kosa gani?
Wakulaumiwa ni wale walio waruhusu kifanya walicho kifanya.

Hizi hoja za sijui kwa nn hawajaenda msikitini ni hoja za kipumbavu kwa sababu msimamo wa viongozi wa kiislam uko wazi kabisa ya kuwa hayo mambo hayaruhusiwi ndani ya msikiti ,wakati upande wa viongozi wa pili ni rukusa na tumeshudia mara nyingi miziki na maigizo yakofanyika ndani ya makanisa tena waigizaji wakiwa wamevaa nusu uchi mbona hamkuwahi kusema huko nyuma?

Hata wanawake siku hizi wamekuwa wanaenda makanisa kwenye ibada na mavazi ya ajabu ajabu tukisema mnajitetea eti mungu ahaangilii mavazi bali ana angalia matendo.
Thd iishie hapa,
Big up mkuu,umeelezea vizuri sana.
 
Na zoba unaisemaje? Ile ya banana? Sinia je? Mimi sio Mwislamu. Mungu wa Wakristo anajipigania mwenyewe. Kama anaona wamemkosea, atawaadhibu.
Ngoja niitazame hiyo zoba nilete mrejesho!

Diamond, Zuchu na Viongozi wa kanisa wanastahili hatia! Waislamu wengine hawahusiki kwa hili!

Watuachie Diamond tumpige mawe mpaka kufa! [emoji34] Natania tu [emoji23]
 
Ngoja niitazame hiyo zoba nilete mrejesho!

Diamond, Zuchu na Viongozi wa kanisa wanastahili hatia! Waislamu wengine hawahusiki kwa hili!

Watuachie Diamond tumpige mawe mpaka kufa! [emoji34] Natania tu [emoji23]
Mkuu, wakristo Mungu uwa anajipigania mwenyewe, kumpigania ni sawa na kusema hana uwezo
 
Kwahiyo Diamond angekua mkristo ingekua ni sahihi kwa alichokifanya kwa mtizamo wako?
Asingekuwa sahihi! Ila vita tusingeifikisha hatua hii! Maake kama angelikuwa ni wa kwetu, tungemwita tukazungumza naye kidini zaidi!
 
Domo anajikuta ana akili sana

Sisi waislamu hatuwez kubali kumpa msikiti afanye utumbo Kama uo
 
Domo anajikuta ana akili sana

Sisi waislamu hatuwez kubali kumpa msikiti afanye utumbo Kama uo, Pia tunalaani vikali kitendo alichokifanya cha kuchafua kanisa la watu, tunauheshimu sana ukristu, kwani nanyi ni ndugu zetu, tutamwadabisha!
Point yako imekaa kiakili zaidi! Sio hawa wengine wanaosema kuwa Zuchu alikuwa sahihi ku shoot kanisani, eti anamsifu Bwana!
 
Asingekuwa sahihi! Ila vita tusingeifikisha hatua hii! Maake kama angelikuwa ni wa kwetu, tungemwita tukazungumza naye kidini zaidi!
Sasa anzeni kudeal na waliomruhusu kama mna amini kuna kosa limefanyika.
 
Je wanavamia makanisa au wanaruhusiwa!!! Usiseme hakuna, wakati kuna viongozi wa misikiti wengine miyeyusho, je hakuna movies zilizoigiziwa misikitini!???
Wanawatoa pesa kwa viongozi wa makanisa.Sijaona movie za misikitini wala kuchezea uislamu kwenye movie,
 
Back
Top Bottom