Hii sio tu sheria kandamizi, ni uzwazwa kukubali kuitumiaMatokeo ya Urais Tanzania yakishasomwa tu na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi basi muda huo huo yanageuka kuwa maandiko matakatifu - hakuna mwenye mamlaka kuhoji popote pale duniani.. labda mbinguni kama ana uwezo huo.
Hata hao wakoloni weupe aka mabeberu hawakuwa na sheria kandamizi kama hii.
Akili ndogo inayoongozwa na akili ndogo piaKwanza ni mahakama haina uwezo wa kuingilia uchaguzi na sheria zake, kwani sheria zinatungwa na bunge la tanzania na si mahakama hiyo,
la pili hizo pesa angezifanyia kazi za maendeleo kuliko kuzipoteza,
Kuna wananchi wanahitaji maji huko kwao angefanya hilo hata kuchimba kisima kimoja ingemsaidia sana.
Hata kama hayaibani lakini yanaivua nguo Tanzania katika jumuiya ya kimataifa kwa uozo wa watawalaHivi mleta mada unajua Tanzania ni monist state na siii dualist state
Uwe unafanya tafiti angalau kidogo
Huko mahakama ya Africa mashariki maamuzi yake yana ibind Tanzania?
Anamsema kwa ajili ameshatangulia mbele za haki!Hebu wewe mtu mzima tueleze historia ya Mtikila, isije ikawa wewe mwenyewe unahitaji twisheni kumjua!
Kwanza ni mahakama haina uwezo wa kuingilia uchaguzi na sheria zake, kwani sheria zinatungwa na bunge la tanzania na si mahakama hiyo,
la pili hizo pesa angezifanyia kazi za maendeleo kuliko kuzipoteza,
Kuna wananchi wanahitaji maji huko kwao angefanya hilo hata kuchimba kisima kimoja ingemsaidia sana.
Mahakama ya Tanzania haina mamlaka ya kusikiliza shauri lolote kupinga matokeo ya uraisiMkuu, jifiche au futa kabisa uzi wako huu. Kumbe hufahamu hata kazi za mahakama. Sheria za taratibu zote zimetungwa au kupitishwa na Bunge. Hujawahi kusikia Mahakama hutafsiri sheria?? Mbona mahakama hizi hizi zinatengua ubunge, udiwani nk??
Hapa kinachotakiwa ni tafsiri ya katazo hilo. Sio kuiondoa. Usitumie hasira kujadili mambo usiyofahamu vizuri.
Unaweza kuona kisima kimoja ni jambo la muhimu kama unahitaji maji. Ni sawa na kesi hii kama unahitaji haki. Unadhani matokeo ya Zanzibar 2015 Seif Hamad hakuhitaji haki ya mahakama??
Mkuu, jifiche au futa kabisa uzi wako huu. Kumbe hufahamu hata kazi za mahakama. Sheria za taratibu zote zimetungwa au kupitishwa na Bunge. Hujawahi kusikia Mahakama hutafsiri sheria?? Mbona mahakama hizi hizi zinatengua ubunge, udiwani nk??
Hapa kinachotakiwa ni tafsiri ya katazo hilo. Sio kuiondoa. Usitumie hasira kujadili mambo usiyofahamu vizuri.
Unaweza kuona kisima kimoja ni jambo la muhimu kama unahitaji maji. Ni sawa na kesi hii kama unahitaji haki. Unadhani matokeo ya Zanzibar 2015 Seif Hamad hakuhitaji haki ya mahakama??
tafuta propaganda zingine hii ya kwanzo ni ya kishamba. unaowatetea sio tu wanasapoti ushoga bali wanapiga mashogaAtuambie kwanza kwa nini anashiriki kusapoti u shoga View attachment 1494084View attachment 1494085
this time wataachia tu. Ngoja mambo yaanzae !Rasimu pendekezwa(2014), chini ya Tume ya Jaji Warioba ilikuwa inaruhusu matokeo ya Rais kupingwa mahakamani, waTz wazalendo tunamlaumu sana JK kutunyima katiba Mpya.
Alishasema "katiba mpya sio kipaumbele kwangu"this time wataachia tu. Ngoja mambo yaanzae !
Ninajua sana lkn hapa haifunguliwa kesi ya hivyo inafunguliwa kesi ya kwa nini Sheria na Katiba haziruhusu kesi za kupinga matokeo ya Rais. Umeelewa sasa?Mahakama ya Tanzania haina mamlaka ya kusikiliza shauri lolote kupinga matokeo ya uraisi
Kasome election act mkuu ya 1985 na katiba ya 1977
Sawa mkuuNinajua sana lkn hapa haifunguliwa kesi ya hivyo inafunguliwa kesi ya kwa nini Sheria na Katiba haziruhusu kesi za kupinga matokeo ya Rais. Umeelewa sasa?
Keshafika lete nyimbo mpya...Yuko Ubeligiji amekimbia kesi za uchochezi, sasa hiyo kesi ataifungua vipi? Bado Polisi wanamhitaji aje atoe ushahidi juu ya tukio lililompata.
Mbona kama jibu lake ni rahisi..judge au hakimu atamwambia yeye atungi Sheria au katiba, KAZI ya judge na hakimu ni kutafsiri tuu..pengine Lissu angejaribu kupereka lalamiko lake Kwa wananchi(Kwa kupitia chama chake) ili wampe wabunge wengi watakaomsaidia kubadili hiyo Sheria/kipengere katika katiba yetu..but as long as watunga Sheria walio wengi wako comfortable na Sheria zilizopo , Lissu atapata taabu Sana.Ninajua sana lkn hapa haifunguliwa kesi ya hivyo inafunguliwa kesi ya kwa nini Sheria na Katiba haziruhusu kesi za kupinga matokeo ya Rais. Umeelewa sasa?
Tar 26 mwezi wa nane anatakiwa mahakamani.Keshafika lete nyimbo mpya...