covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,869
- 10,585
Kwa hali hii nimejipa muda wa kuendeleza mapambano ndani ya hii nchi yangu ni mwisho December mwaka huu basi.. Baada ya hapo sitakuwa na namna zaidi ya kutafuta nafuu kwenye nchi nyingine.
Ni jambo lililo wazi kwa sasa bongo haisomeki si kwa wafanyakazi, wasomi hata wajasiliamali na ukizingatia muda unazidi kwenda.
Siwezi kufanya makosa ya kujidanganya kusubili kudra za mwenyezi Mungu ili hali mambo ni dhahir hayawezi kutengemaa kwa miaka ya hivi karibuni.
Mipango yangu ni kwenda Moja wapo ya nchi kati ya botswana au s.korea maana ndizo nchi ambazo nina access nazo kwa sasa na wenyeji huko.
Kwa anayefahamu zaidi kuhusu nchi hizo tafadhali share hapa uzoefu na unayoyajua hasa kuhusu hali ya maisha kwa ujumla huko.
Ni jambo lililo wazi kwa sasa bongo haisomeki si kwa wafanyakazi, wasomi hata wajasiliamali na ukizingatia muda unazidi kwenda.
Siwezi kufanya makosa ya kujidanganya kusubili kudra za mwenyezi Mungu ili hali mambo ni dhahir hayawezi kutengemaa kwa miaka ya hivi karibuni.
Mipango yangu ni kwenda Moja wapo ya nchi kati ya botswana au s.korea maana ndizo nchi ambazo nina access nazo kwa sasa na wenyeji huko.
Kwa anayefahamu zaidi kuhusu nchi hizo tafadhali share hapa uzoefu na unayoyajua hasa kuhusu hali ya maisha kwa ujumla huko.