Kama hali itaendelea hivi hadi December mwaka huu basi sitakuwa na namna yingine zaidi ya kwenda kupambana mbali na hapa Tz

Kwa hali hii nimejipa muda wa kuendeleza mapambano ndani ya hii nchi yangu ni mwisho December mwaka huu basi.. Baada ya hapo sitakuwa na namna zaidi ya kutafuta nafuu kwenye nchi nyingine.

Ni jambo lililo wazi kwa sasa bongo haisomeki si kwa wafanyakazi, wasomi hata wajasiliamali na ukizingatia muda unazidi kwenda.

Siwezi kufanya makosa ya kujidanganya kusubili kudra za mwenyezi Mungu ili hali mambo ni dhahir hayawezi kutengemaa kwa miaka ya hivi karibuni.

Mipango yangu ni kwenda Moja wapo ya nchi kati ya botswana au s.korea maana ndizo nchi ambazo nina access nazo kwa sasa na wenyeji huko.

Kwa anayefahamu zaidi kuhusu nchi hizo tafadhali share hapa uzoefu na unayoyajua hasa kuhusu hali ya maisha kwa ujumla huko.
Kama bongo hakieleweki tembea tu mzee hakuna haja ya kugangamala hapa
 
Heri yako aisee.mimi nimeridhika kabisa na kilimo changu hapa naangalia familia nafarijika.huko nje ni kwa watu usiende.ona south wanavyokimbiza wageni kwa mapanga.
Hivi ulisoma kweli kilichoandikwa? Kuna mahali South Korea wanafukuza watu kwa mapanga? Siamini kuwa wewe unajua hata huko kulima kwenyewe.
 
Naufahamu ila rudia kuusikiliza vizuri utaelewa kuwa alikuwa na maaana tofauti na ya mtoa mada.
Bob Marley & The Wailers Lyrics
"The Heathen"

De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!

Rise up fallen fighters;
Rise and take your stance again.
'Tis he who fight and run away
Live to fight another day.
With de heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!

As a man sow, shall he reap
And I know that talk is cheap.
But the hotter the battle
A the sweeter Jah victory.
With de heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!

[Guitar solo]

De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!

Rise up, fallen fighters:
Rise and take your stance again.
'Tis he who fight and run away
Live to fight another day.
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
De heathen back dey 'pon de wall!
De heathen back, yeah, 'pon de wall!
 
Dah, nitapambana hapa hapa.... akina Asha namwachia nani. Manake huko unapoenda kupata pachwari mpaka uanze na wa madanguro kwanza.....
 
Ndugu mapambano hayo ya nje yatatuletea chaku kubwa ya maendeleo mkuu yeye aende tuu kijiji kikiwa na watu kumi waelewa na wanapenda watu ni rahisi sana kijiji kusonga mbele
Kwahyo unamshauri akimbie nchi mtoa mada?
 
Pamoja na kwamba nazidi kudidimia kiuchumi lakini ninamatajio makubwa na JPM.marekebisho madogo tu yanatakiwa hasa kwa anaowateua wengi hawana nia thabiti katika kutatua kero
 
Juzi kuna mhindi mmoja nilikutana nae amechanganyikiwa akaniambia wiki kama mbili zilizopita ameshusha mashine container 3 za kufyatua mifuko ya nailoni ndio kwaanza wachina wamemaliza kuzifunga..

basi ukikutana nae mwambie kwenye mashine alizoleta kuna jino namba 11 alibadilishe aweke namba3 litatengeneza mifuko ya makaratasi
 
Ndugu mapambano hayo ya nje yatatuletea chaku kubwa ya maendeleo mkuu yeye aende tuu kijiji kikiwa na watu kumi waelewa na wanapenda watu ni rahisi sana kijiji kusonga mbele
Hapo sawa kama anaenda kwa nia ya kujifunza pia ni sawa ila tu awe ana uhakika na aendako pia umakini unahitajika katika kufanya maamuzi ya aina hiyo.
 
Ni kweli umakini ni muhimu sana Ila amesema anaye MTU tayari s.Korea mwache aende na baraka zote.
 
Kwa hali hii nimejipa muda wa kuendeleza mapambano ndani ya hii nchi yangu ni mwisho December mwaka huu basi.. Baada ya hapo sitakuwa na namna zaidi ya kutafuta nafuu kwenye nchi nyingine.

Ni jambo lililo wazi kwa sasa bongo haisomeki si kwa wafanyakazi, wasomi hata wajasiliamali na ukizingatia muda unazidi kwenda.

Siwezi kufanya makosa ya kujidanganya kusubili kudra za mwenyezi Mungu ili hali mambo ni dhahir hayawezi kutengemaa kwa miaka ya hivi karibuni.

Mipango yangu ni kwenda Moja wapo ya nchi kati ya botswana au s.korea maana ndizo nchi ambazo nina access nazo kwa sasa na wenyeji huko.

Kwa anayefahamu zaidi kuhusu nchi hizo tafadhali share hapa uzoefu na unayoyajua hasa kuhusu hali ya maisha kwa ujumla huko.

Pole sana Chief. inshaallah kila la heri huko uendako,, Allah atakufanyia wepec. Piga kazi miaka yako mitano then rudi nyumbani ufungue bisinesi,,,utakuta Raisi anae2ongoza ni Muislamu. Muislamu ana imani sana ata awa ndugu ze2 wakristu wanalijuwa ilo.
 
Malenga napiga hodi, mlango muufungue,

Mimi muhenga wa jadi, ngoja niwaelezee,

Kuhusu huyu hasidi, mshamba wa kipekee,

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani.



Tumeyafuga majoka, sasa yanatutafuna,

Misumu inawayatoka, hakuna atayepona,

Twabaki kuweweseka, Majoka yameungana,

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani.



Nyoka anapenda sifa, utadhani ni mhaya,

Alipopewa taifa, akaanza roho mbaya,

Amegeuka maafa, twamkumbuka Jakaya,

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani



Amejivika umungu, ili watu wamuabudu,

Anawaponda wazungu, kumbe anayo madudu,

Kajiweka kwenye mbingu, anatuona vibudu,

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani



Kajijazia wapambe, wale walamba miguu,

Wengi wao wanywa pombe, wanaupenda ukuu,

Hata wale wala sembe, siku hizi wako juu

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani



Kitu cha kwanza mshamba, hana ujanja wowote,

Kila kucha kujigamba, wakati ni kiokote,

Wapambe wanampamba, ili chakula wapate

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani



Anaipenda misifa, aonekane mahiri,

Anadhani hatakufa, katika hii sayari,

Huyu mzee ni lofa, tena ni mtu hatari,

Watanzania wa leo sio wale wa zamani.



Leo naishia hapa, kesho nitarudi tena,

Kidogo nimemchapa, kuiondoa laana,

Ameletwa na Nkapa, kumbe hana cha maana,

Watanzania wa leo, sio wale wa zamani
 
Back
Top Bottom