Kama Eva asingekula tunda la mti wa kati

Kama Eva asingekula tunda la mti wa kati

Nadhani aibu ingelikuwa ni kitu cha kusikika.

Hakika dunia ingekuwa ni sehemu salama ya kuishi.
[emoji1] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Mie nadhani tafsiri halisi ya hicho kipengele cha bibilia nikwamba "Adam na Eve walifanya mapenz"
 
Jana nmetoka kunegotiaite na mhind nilimpiga mil 800 mech ya liver na lazio ... Nliweka mpunga mref ... Hadi sa hivi sijamwelewa ...

Mm sitomwelewa ... Anasema anipe kidg kidg
yule jamaa analindwa na wasukuma wenzake si mchezo ... Ile nimefngua tu chumba cha jesca .... Eeh mama eeeh
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Back
Top Bottom