prenge
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 218
- 277
"Nakumbuka shuleni tulisoma dunia inajizungusha" bwana we mtaongezea maneno siunajua enzi zetu divison5 @ naomba msaada kwa nini hatuhisi kuzunguka?
Kwa nini maji hayamwagiki baharini?
Kwanini hatujikuta tuko ulaya tule maisha maana uwezo wa kupata viza sijui passport maana sielewi hata...
Wataalamu nipeni elimu
Kwa nini maji hayamwagiki baharini?
Kwanini hatujikuta tuko ulaya tule maisha maana uwezo wa kupata viza sijui passport maana sielewi hata...
Wataalamu nipeni elimu