LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,154
- 11,207
Wanasayansi wanasema dunia hulizuguka jua kwa speed ya 1609.344 kilomita kwa lisaa limoja tu, hivyo kumbe dunia ipo katika speed kubwa ya kulizunguka jua ndio maana tunapata usiku na mchana na majira ya mwaka.
Lakini ikumbukwe kuwa nnje ya uso wa dunia wanasayansi wametuma vyombo vingi sana ambavyo vipo katribu na uso wa Dunia kwaajili ya utafiti wa mambo ya anga na vingine kwa ajili ya mawasiliano na miongoni mwa vyombo hivyo ni
•ISS ~INTERNATIONAL SPACE STATION
•SATELLITE
Kama vyombo hivi vimetulia angani nnje ya uso wa Dunia kwa nini huwa haviachwi na Dunia kwa kuwa huwa inazunguka kwa Speed kubwa ya 1609.344 kilomita kwa saa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ikumbukwe kuwa nnje ya uso wa dunia wanasayansi wametuma vyombo vingi sana ambavyo vipo katribu na uso wa Dunia kwaajili ya utafiti wa mambo ya anga na vingine kwa ajili ya mawasiliano na miongoni mwa vyombo hivyo ni
•ISS ~INTERNATIONAL SPACE STATION
•SATELLITE
Kama vyombo hivi vimetulia angani nnje ya uso wa Dunia kwa nini huwa haviachwi na Dunia kwa kuwa huwa inazunguka kwa Speed kubwa ya 1609.344 kilomita kwa saa?
Sent using Jamii Forums mobile app