UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kumekuwa na lialia kadhaa kutoka chama cha mapinduzi (ccm) wakimkosoa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kukaa madarakani muda mrefu wakimtaka ang'atuke awaachie wengine waongoze!
Huwa najiuliza Maswali kadhaa ambayo yanakosa majibu!
1.Huwa wanadai mbowe anahongwa na serikali ya ccm kila mara,sasa unajiuliza kama ccm inamuhonga Mbowe kwanini watake tena ang'atuke?
2.Mtu mmeweza kumuweka kwenye kiganja na kumhonga kwanini mtake ang'atuke?,Huyo si ndiye mzuri kwasababu ni mtu wenu kama pandikizi?
Baada ya kujiuliza hayo maswali nikaja kugundua kinachofanywa ni Propaganda tu kwa Mbowe kwasababu haongeki!.
Sasa labda niwape tahadhari CCM na Machawa wake,ya kwamba Kama mnaumizwa na kupatwa na presha Mbowe kuwa mwenyekiti,nipende kuwahurumia kwasababu siku chuma cha pua,Kisiki cha Mpingo,Mwamba Geu, Mkurya mwenye misimamo mikali JOHN SUGUTA WEGESA HECHE akiwa mwenyekiti wa Chadema nadhani siku hiyo mtakufa kabisa!
Kumekuwa na lialia kadhaa kutoka chama cha mapinduzi (ccm) wakimkosoa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kukaa madarakani muda mrefu wakimtaka ang'atuke awaachie wengine waongoze!
Huwa najiuliza Maswali kadhaa ambayo yanakosa majibu!
1.Huwa wanadai mbowe anahongwa na serikali ya ccm kila mara,sasa unajiuliza kama ccm inamuhonga Mbowe kwanini watake tena ang'atuke?
2.Mtu mmeweza kumuweka kwenye kiganja na kumhonga kwanini mtake ang'atuke?,Huyo si ndiye mzuri kwasababu ni mtu wenu kama pandikizi?
Baada ya kujiuliza hayo maswali nikaja kugundua kinachofanywa ni Propaganda tu kwa Mbowe kwasababu haongeki!.
Sasa labda niwape tahadhari CCM na Machawa wake,ya kwamba Kama mnaumizwa na kupatwa na presha Mbowe kuwa mwenyekiti,nipende kuwahurumia kwasababu siku chuma cha pua,Kisiki cha Mpingo,Mwamba Geu, Mkurya mwenye misimamo mikali JOHN SUGUTA WEGESA HECHE akiwa mwenyekiti wa Chadema nadhani siku hiyo mtakufa kabisa!