😁😁😁Sasa ukimshukuru Mungu inasaidia nini?
Kuna gesi, tumia gesi mamy cuteMi natafuta kiguta hapa cha kuchaji.....kama bado unapishana sheli....
wewe ni mpambanaji na pia mshukuru Mungu
Another full tank today 💪🏿💥🔥Mi natafuta kiguta hapa cha kuchaji.....kama bado unapishana sheli....
wewe ni mpambanaji na pia mshukuru Mungu
Muda Kaka.Mibongo bana kwa kupenda na kuendekeza anasa. Ya nini hiyo mi Vitz na migari na miguta ya kuchaji wakati mna miguu?
Iran ndio muamuzi wa mwishi6000 kwa lita
Sasa hizo nguvu za juhudi zako binafsi umezitengeneza mwenyewe? Hili ndio tatizo la kushiba unaona wewe ndio wewe.Mwafrika badala ajishukuru mwenyewe kwa juhudi na jitihada zake binafsi.
Amepumbazwa kutoa sifa na shukrani kwa li dude linaloitwa Mungu.
Huyo Mungu alitengenezwa na nani?Sasa hizo nguvu za juhudi zako binafsi umezitengeneza mwenyewe? Hili ndio tatizo la kushiba unaona wewe ndio wewe.