Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

KY haitumiki kulainisha nyuma tu kama wengi nilivyoona mmehisi ila hata mbele kama ww ni mkavu inasaidia sasa basi inawezekana kweli anachepuka lakn sio lazma awe anachepukia nyuma na pia aliikuta imetumika au mpya? Kama ni mpya labda anataka atumie na mumewe

Haina kazi nyingine zaidi kuwa kilainishi cha "nyuma" na "mbele"?
 
Lkn angeululizwa kwanza labda kapewa na rafiki yake na yy akaijaribu kwakuwa huenda jamaa hamuandai vzr anakuwa anaumia by the way c alitumwa cm?yy kayataka mwenyewe
 
Bado nipo nipo saaaana..
Habari great thinkers..Husika na kichwa cha habari hapo juu.Ni rafiki yangu wa karibu sana, ndoa yake ina miaka miwili 2.Amekuja kwang kuniomba ushauri.Kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiria kwa kweli juu ya hili swala napata wakat mgumu kutoa ushauri.Nipo nae hapa 1 haikai wala 2..Hana tabia ya kukagua pochh ya mke wake lakini leo kama bahati mbaya 2 nadhani mke wake pia alijisahau,akamuomba mume wake amtolee simu kweny pochi wakati inaita(yey alikuw anapika) ndipo jamaa alipokutana na KY iliyo2mika kweny pochi ya huyo mke wake.Kwa maelezo yake alikosa nguvu kuanza kumuuliza mke wake matumizi ya hyo ky.Tukio lina kama masaa mawili hvi.Yupo kwangu muda huu coz tunakaa wote tbt.Ni mara ya kwanz kuja kunishirikisha tatizo kama hli..Upande wangu nashindwa kumpa ushaur uliokamilika kwa kweli..Nikaona sio vibay kulileta tatiz kwa great thinkrs.Nimshauri nin?karibun

Kwa haraka ni kuwa shemeji yako anatumia Exhaust pipe yake kwa ngono! Labda kama anajifanyia utra sound...
 
bado nipo nipo sana.

Habari great thinkers.

Husika na kichwa cha habari hapo juu.

Ni rafiki yangu wa karibu sana, ndoa yake ina miaka miwili 2.

Amekuja kwangu kuniomba ushauri. Kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiria kwa kweli juu ya hili swala napata wakati mgumu kutoa ushauri.

Nipo nae hapa 1 haikai wala 2.

Hana tabia ya kukagua pochi ya mke wake lakini leo kama bahati mbaya tu nadhani mke wake pia alijisahau, akamuomba mume wake amtolee simu kwenye pochi wakati inaita(yeye alikuwa anapika) ndipo jamaa alipokutana na ky iliyotumika kwenye pochi ya huyo mke wake.

Kwa maelezo yake alikosa nguvu kuanza kumuuliza mke wake matumizi ya hiyo ky.

Tukio lina kama masaa mawili hivi.

Yupo kwangu muda huu coz tunakaa wote tabata. Ni mara ya kwanza kuja kunishirikisha tatizo kama hili.

Upande wangu nashindwa kumpa ushauri uliokamilika kwa kweli.

Nikaona sio vibaya kulileta tatizo kwa great thinkers.

Nimshauri nini?

Karibuni

mke wako anafanya kazi gani?? Madaktari wanatumia hio kitu kwenye kazi zao...
Pia inawezekana mkeo ni mkavu hivyo kaamua kununua atumie na wewe...kwa njia ya kawaida

muulize kwanini ana ky kwenye pochi?? Yeye ndio atakupa jibu sahihi
 
Hapo mjadala hakna,zaid ambane ajieleze then jamaa acporidhka na maelezo achukue hatua az a man,dress table ipo nyumban cyo kwa wallet,tna KY whch is already used,let her tel her hubby it was 4 what & whch purpose,hatna wake nowdayz(IMPACT OF GLOBOLIZATION

Unaandika as if unajifunza lugha mkuu au ndio swaga? Mambo ya vifupisho ni Facebook na sio huku bhana
 
Hii thread naomba kuuliza swali tu. Zaidi ya kulainisha hayo maeneo ya baharini haina kazi ingine? Yaani ni sawa na condom? Single function and single use? Kama jibu ni ndiyo basi kimenuka mbaya

Mbona condom haina kazi moja mkuu, hata kwenyetest maabara hua inatumiwa pia
 
Wala sio globalization bali ni arabunization! Hii kitu ya waarabu kula ---- imeingia nzanibar waznz wengi wanapenda kuliwa ---- ndio maana wanawauwa mapadre wasistukie
 
Aitoe iyo ky aweke hata mezani alafu avunge km hajui kitu vile, unajua mwanamke mwoneshe dharau tu utaona anapaparika kama mwizi tena unaweza shangaa anaanza sema ooh... Iyo sio yangu ni ya rfk angu alinipa nimwekee...
 
Mapenzi yanataka hivi...if you have doubt prove it...never jump into conclusion.....ndio kakuta my amepata mashaka afuatilie achunguze apeleleze mpaka ajue anaitumiaje na sio kuhukumu kwamba ni msmbo flani
 
Back
Top Bottom