Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

KY haitumiki kulainisha nyuma tu kama wengi nilivyoona mmehisi ila hata mbele kama ww ni mkavu inasaidia sasa basi inawezekana kweli anachepuka lakn sio lazma awe anachepukia nyuma na pia aliikuta imetumika au mpya? Kama ni mpya labda anataka atumie na mumewe

Mkuu upo vzr na hayo mambo asante kwa ufafanuzi
 
KY haitumiki kulainisha nyuma tu kama wengi nilivyoona mmehisi ila hata mbele kama ww ni mkavu inasaidia sasa basi inawezekana kweli anachepuka lakn sio lazma awe anachepukia nyuma na pia aliikuta imetumika au mpya? Kama ni mpya labda anataka atumie na mumewe

Ngoja nitarudi.
 
Kwani mpaka akufate wewe kwenye jambo Kama Hilo la ndani na la Siri ? Kwa fikra zako za haraka haraka umemchukuliaje? Au kwani KY kuiona ndani ya bag ni ya kufanyia machafu peke yake ? Amulize mkewe ataridhika na jibu wala asingekufata...
 
Bado nipo nipo saaaana..
Habari great thinkers..Husika na kichwa cha habari hapo juu.Ni rafiki yangu wa karibu sana, ndoa yake ina miaka miwili 2.Amekuja kwang kuniomba ushauri.Kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiria kwa kweli juu ya hili swala napata wakat mgumu kutoa ushauri.Nipo nae hapa 1 haikai wala 2..Hana tabia ya kukagua pochh ya mke wake lakini leo kama bahati mbaya 2 nadhani mke wake pia alijisahau,akamuomba mume wake amtolee simu kweny pochi wakati inaita(yey alikuw anapika) ndipo jamaa alipokutana na KY iliyo2mika kweny pochi ya huyo mke wake.Kwa maelezo yake alikosa nguvu kuanza kumuuliza mke wake matumizi ya hyo ky.Tukio lina kama masaa mawili hvi.Yupo kwangu muda huu coz tunakaa wote tbt.Ni mara ya kwanz kuja kunishirikisha tatizo kama hli..Upande wangu nashindwa kumpa ushaur uliokamilika kwa kweli..Nikaona sio vibay kulileta tatiz kwa great thinkrs.Nimshauri nin?karibun

KY ndiyo nini?
 
Anashindwaje kumuuliza wakati nimke wake je akimkuta analiwa sindiyo anakufa kabisa
Mwanaume kamili atafuti ushauri kwenye jambo lakijinga kama hili

Namjua huyu rafik yang.ni mtu wa kupanic sana, nahisi ndiy maana kaja kwang kutuliza akili yake and kufanya maamuzi sahihi
 
Daah! Kiukweli huyo Dada anashiriki mapenz kinyume na maumbile hakuna ubishi. Nimekuwa nikisema sana jamani tuwe wa kweli ktk mapenz. Mke mwambie mumeo unachopenda akufanyie na mume mwambie mkeo pia. Ulikuwa unashiriki mapenz kinyume kabla mwambie aendelee yeye si ndio mume/mke! Tuwe wawazi kwa wenzetu kihisia hata kama watanuna. Inauma sana jaman hii kitu

Kwa uwezo wang mdogo nimefikiria hvyo pia lakin siwez kumwambia moja kwa 1
 
Mwambie avumilie leo alale, ila kesho asubuhi. Aulize tu kuanzia lini huu mchezo umekua unaendelea. Then ampe naul arudi kwao. Hiyo ni fedheha na aibu kwake na ndoa yake.

Yeye anajua ana mke kumbe watu wanamng'ong'a
 
Awe mpole azidi kuvumilia,mkewe akipata mimba jamaa awe karibu nae,wakati wa kujifungua itafahamika tu kama alishawahi kufanyiwa kinyume na maumbile au la.
 
Globolization.....
Hapo mjadala hakna,zaid ambane ajieleze then jamaa acporidhka na maelezo achukue hatua az a man,dress table ipo nyumban cyo kwa wallet,tna KY whch is already used,let her tel her hubby it was 4 what & whch purpose,hatna wake nowdayz(IMPACT OF GLOBOLIZATION
 
Bado nipo nipo saaaana..
Habari great thinkers..Husika na kichwa cha habari hapo juu.Ni rafiki yangu wa karibu sana, ndoa yake ina miaka miwili 2.Amekuja kwang kuniomba ushauri.Kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiria kwa kweli juu ya hili swala napata wakat mgumu kutoa ushauri.Nipo nae hapa 1 haikai wala 2..Hana tabia ya kukagua pochh ya mke wake lakini leo kama bahati mbaya 2 nadhani mke wake pia alijisahau,akamuomba mume wake amtolee simu kweny pochi wakati inaita(yey alikuw anapika) ndipo jamaa alipokutana na KY iliyo2mika kweny pochi ya huyo mke wake.Kwa maelezo yake alikosa nguvu kuanza kumuuliza mke wake matumizi ya hyo ky.Tukio lina kama masaa mawili hvi.Yupo kwangu muda huu coz tunakaa wote tbt.Ni mara ya kwanz kuja kunishirikisha tatizo kama hli..Upande wangu nashindwa kumpa ushaur uliokamilika kwa kweli..Nikaona sio vibay kulileta tatiz kwa great thinkrs.Nimshauri nin?karibun

!
!
achukue diary kisha anote tarehe na tukio viziri ikiwemo muda na hali iliyopo kisha uchunguzi wa kina uendelee bila kuharibu hali ya sasa. Akipata jibu lisilo shaka mlete tena tumshauri kulingana na majibu yake. Huwezi jua, labda ni ya shosti ake
 
Back
Top Bottom