Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

Wala sio globalization bali ni arabunization! Hii kitu ya waarabu kula ---- imeingia nzanibar waznz wengi wanapenda kuliwa ---- ndio maana wanawauwa mapadre wasistukie

Bila ya shaka wewe utakuwa unapenda kula ?
 
Kwa nini huyo mkewe ameshindwa kuitolea maelezo kama haikuwa kwa kuihusisha na kinyume na maumbile? Ukiona manyoya ujue kashaliwa.
 
story yenyewe ya kutunga hiyo wala msipoteze muda kujadili. hivi mwanaume mwenye akili timamu ambaye huruki ukuta umekuta kitu kama icho kwa mkeo unayempenda na kumwamini, utanyamaza kweli?hata hiyo nafasi ya kuja kwako angeipata wapi?acheni uongo, hayo uliyoandika ndiyo yaliyokukaa kichwani kwako na kuujaa moyo wako, hivyo don't spoil other people with your dirty heart.

Mkuu siwezi kukulaumu coz inaonyesha ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipofikia, by da way ahsante kwa kushiriki
 
Aulizane kwanza na mkewe ndo aje atueleze vizuri....ukiambiwa ni mafuta ya shoga yangu ama ni mafuta ya kulainiaha lips na miguu nikiwa kwa office au ni ya nywele..hyo taraka uliyoandika utaitupa ama??

Na wewe mleta Uzi mpaka leo umepata jibu gani la kumpa???

Sikuwa tofauti sana na mawazo ya weng humu ndani bt nilichomwambia, majibu anaweza kupata toka kwa huyo mke wake.Nilimcndikiz kwake jana ucku n mpaka sasa sijawasiliana nae
 
Kwanza muulize hiyo KY ni kitu anachokifahamu ,msikilize maelezo yake na unaweza kupata njia ya kumueleza na kumuanzia. Tatizo akirudi anaikuta haimo na mke anaruka futi amsini ,kuwa hajawahi kuwa na kitu hicho ?

Mkuu, aliitoa toka kweny pochi na kumpa pa1 na simu.
 
kwan ky haina kazi nyingne zaidi ya kufumua malinda?
Sio mbaya na mm nikajua coz kuna rafiki yangu alikuwa anaulizia hayo mafuta ya ky japo kuna watu walianza kumcheka.

i found this on the web..K-Y Jelly's original stated purpose was as a surgical lubricant, and it was often chosen by doctors because of its natural base.

Johnson & Johnson produced a sterile version of the product (intended for medical markets) and a non-
sterile version (marketed as general-use personal
lubricant) until 2004, when it discontinued the sterile line.[citation needed]

The product is now more widely used as a sexual lubricant. It does not react with latex condoms or silicone rubber-based sex toys.

While K-Y has a thick consistency and a tendency to dry out during use, it can be "reactivated" by the addition of saliva or more water. K-Y Jelly does not contain a spermicide.

A formulation with nonoxynol-9 was available, but Johnson & Johnson removed it from the market after finding that it could facilitate HIV spread.
 
kwa faida yangu naomba nieleweshe maana ya KY sorry

Ndugu King Sule, ushaambiwa ni mafuta sensitive kwa ajili ya kulainisha sehemu kavu hasa V.g.n kwa wale watu ambao homoni zao haziitikii vichocheo kabla ya s.x. int..se. So inaitwa ni K- Y Jelly. Na jelly ni jelly tu hata Vaseline ni jelly pia, sema hii ni active zaidi. Kama huna tatizo huna haja kuitumia hii!
 
KY haitumiki kulainisha nyuma tu kama wengi nilivyoona mmehisi ila hata mbele kama ww ni mkavu inasaidia sasa basi inawezekana kweli anachepuka lakn sio lazma awe anachepukia nyuma na pia aliikuta imetumika au mpya? Kama ni mpya labda anataka atumie na mumewe

Kweli kabisa. Watu wamekariri vibaya kuwa KY Jerry ni kwa ajili ya kulainisha 0713. Hayo mafuta yametengezwa mahususi kwa ajili ya kulainisha kei (vagina lubricant) km ni kavu,ili kupunguza pain.
 
Kweli kabisa. Watu wamekariri vibaya kuwa KY Jerry ni kwa ajili ya kulainisha 0713. Hayo mafuta yametengezwa mahususi kwa ajili ya kulainisha kei (vagina lubricant) km ni kavu,ili kupunguza pain.

mmmh..umezidisha viungo mkuu
 
Back
Top Bottom