Daah! Umenikumbusha mbali sana!
Miaka kama mitatu nyuma, nilikuwa na girl friend wangu, alikuwa akari police, wp.
Alikuwa bunti mmoja mpole na mtaratibu, tena mshika dini mzuri tu,
Sasa baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa muda wa kama miaka mitano, siku mmoja tuka arrange tukutane faragha kama kawaida ya wapenz,
Haikuwa mara ya kwanza kukutana, lakin siku hiyo ilikuwa ya peke yake kwasababu yakile kilichotokea ,
Nakumbuka ilikuwa kibaha white house, nje kidogo ya jiji la dar es salaam.
Tukiwa kwenye mahabati si ndipo bibie akatoa hiyo kitu ya "k-y" aliniomba niitumie kwake kwa "kuruka ukuta" eti yeye huwa asikii pleasure bila kukamilisha na hiyo kitu!
Mamaa yangu! Mtumeee! Nilihisi kama nimepigwa na shot ya umeme!,nikasema Kumbe nimepotea njia!
Nikidhani nina wife to be, Kumbe majanga!
Nilipoondoka siku hiyo hakuniona tena mpaka leo! Umenikumbusha mbali sana!
Nadhan huyo mkewe atakuwa addicted na hayo mambo sema alishindwa kumwambia mumewe sababu ana muheshimu as husband.