Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
kwan ky haina kazi nyingne zaidi ya kufumua malinda?
Sio mbaya na mm nikajua coz kuna rafiki yangu alikuwa anaulizia hayo mafuta ya ky japo kuna watu walianza kumcheka.
Sio lazima marinda, matumizi yake hasa ni kulainisha uke kwa wale wanawake wakavu ili kuzuia michubuko, na pia matumizi ya kimaabara kama surgery ya uke na vipimo vingine vinavyohitaji kuingiza kitu huko...
Ila ndo wajaa laana wanaitumia kuzibuana mitaro....!