Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

Kakuta KY kwenye pochi ya mke wake

City hunter j

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
926
Reaction score
380
Bado nipo nipo sana.

Habari great thinkers.

Husika na kichwa cha habari hapo juu.

Ni rafiki yangu wa karibu sana, ndoa yake ina miaka miwili 2.

Amekuja kwangu kuniomba ushauri. Kwa uwezo wangu mdogo wa kufikiria kwa kweli juu ya hili swala napata wakati mgumu kutoa ushauri.

Nipo nae hapa 1 haikai wala 2.

Hana tabia ya kukagua pochi ya mke wake lakini leo kama bahati mbaya tu nadhani mke wake pia alijisahau, akamuomba mume wake amtolee simu kwenye pochi wakati inaita(yeye alikuwa anapika) ndipo jamaa alipokutana na KY iliyotumika kwenye pochi ya huyo mke wake.

Kwa maelezo yake alikosa nguvu kuanza kumuuliza mke wake matumizi ya hiyo ky.

Tukio lina kama masaa mawili hivi.

Yupo kwangu muda huu coz tunakaa wote Tabata. Ni mara ya kwanza kuja kunishirikisha tatizo kama hili.

Upande wangu nashindwa kumpa ushauri uliokamilika kwa kweli.

Nikaona sio vibaya kulileta tatizo kwa great thinkers.

Nimshauri nini?

karibuni
 
Mwambie awe anamsugua vizuri mkewe
 
Daah! Kiukweli huyo Dada anashiriki mapenz kinyume na maumbile hakuna ubishi. Nimekuwa nikisema sana jamani tuwe wa kweli ktk mapenz. Mke mwambie mumeo unachopenda akufanyie na mume mwambie mkeo pia. Ulikuwa unashiriki mapenz kinyume kabla mwambie aendelee yeye si ndio mume/mke! Tuwe wawazi kwa wenzetu kihisia hata kama watanuna. Inauma sana jaman hii kitu
 
Hapo mjadala hakna,zaid ambane ajieleze then jamaa acporidhka na maelezo achukue hatua az a man,dress table ipo nyumban cyo kwa wallet,tna KY whch is already used,let her tel her hubby it was 4 what & whch purpose,hatna wake nowdayz(IMPACT OF GLOBOLIZATION
 
kwan ky haina kazi nyingne zaidi ya kufumua malinda?
Sio mbaya na mm nikajua coz kuna rafiki yangu alikuwa anaulizia hayo mafuta ya ky japo kuna watu walianza kumcheka.
 
Hii thread naomba kuuliza swali tu. Zaidi ya kulainisha hayo maeneo ya baharini haina kazi ingine? Yaani ni sawa na condom? Single function and single use? Kama jibu ni ndiyo basi kimenuka mbaya
 
KY haitumiki kulainisha nyuma tu kama wengi nilivyoona mmehisi ila hata mbele kama ww ni mkavu inasaidia sasa basi inawezekana kweli anachepuka lakn sio lazma awe anachepukia nyuma na pia aliikuta imetumika au mpya? Kama ni mpya labda anataka atumie na mumewe
 
Back
Top Bottom