King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
wala hujanielewa wewe! yaani in any situation whatsoever, King'asti is happy and survivinggggg! kama waliambiwa pendaneni, yeye si ampende tu kimoyomoyo? na huyo kaka nae si ajabu anampenda kimoyomoyo aisee. kuweni understanding, jamaa si ajabu hajasettle wala nini, anavurugwa na boksi huko balaa. I work for 6 hours a day and 5 days a week. siwezi kumuelewa mtu ambae anafanya kazi 14 hours a day, manake nadhani ningeambiwa nanuna coz nisingekuwa na energy hata ya kuongea na simu!!
ampe time, na yeye alisongeshe. Mungu yupo, kama akiamua amuone kwenye boksi akishakufa, hewala. learn to accept the things that you have no control over na uone maisha yalivyo matamu! OLESAIDIMU, kama mie na wewe tunakaa nyumba moja na ukanipita bila kunisalimia ama kuitikia salamu yangu i presume una mawazo na haukuniona. and i have a smiling day, breathing in the polluted air!
ampe time, na yeye alisongeshe. Mungu yupo, kama akiamua amuone kwenye boksi akishakufa, hewala. learn to accept the things that you have no control over na uone maisha yalivyo matamu! OLESAIDIMU, kama mie na wewe tunakaa nyumba moja na ukanipita bila kunisalimia ama kuitikia salamu yangu i presume una mawazo na haukuniona. and i have a smiling day, breathing in the polluted air!
Mamii naelewa kama wewe ila huyu mtu ana umri gani, kapitia yepi so far, unaweza kuta bi mkubwa aliwaambia naawaacha wenyewe pendaneni sasa maneno kama haya yanataka ukomavu kuona kuwa life can go beyond wishes!!!!!
ukomavu hatuzaliwi nao ila tunajifunza sasa huyu anapitia njia ngumu may be katika umri mdogo pia!!!!
Last edited by a moderator: