msimtenge tu wasije wakamlukindo. Unajua tena majuu maisha yako juuNina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart
Una lako jamboo wewee naona mnakuja na style nyingii na badoooooo,sie wengine tuna ndungu zetu huko wanatujaliii sanaaa, kwa hiyo huyo kaka yako ni roho yakee tu kama marehemu Lukindo
Kuna ujinga fulani wa utegemezi unaenea sana.
Hakuna namna nzuri ya kuweza kuendelea kama ile ya kutengwa na ndugu zako.
Kutengwa na ndugu ni bahati ya mtende ambayo wajaaliwa wachache tu dunia hii wanaweza kuipata.
Namuonea donge mleta mada kwa kupata bahati hii iliyoje ya kutengwa na ndugu, wengine hatujaipata vilivyo bahati hii.
Sasa ni muda wake wa ku prove kwamba anaweza kufanya mambo bila ya msaada wa ndugu.
Mimi moja.ya sababu iliyonifanya niondoke Tanzania ni kukataa habari ya kuendesha baskeli yenye "training wheels" za kuqa karibu na macho ya ndugu yanayoqeza kumfanya mtu abweteke, nimejikita huku mbaaaali na ndugu, ni mqendo wa discipline tu, one mistake ten goals. Having said that, nina.keep in touch na.nyumbani.na kusaidia kadiri ninavyoweza. Why not? Kipato cha wiki mbili kinamlipia mtu mwaka mzima wa chuo.
Tukirudi kwa huyu mtoa mada, anatakiwa agangamale aitoe halafu ajue kwamba anaweza bila msaada wa ndugu.
Waswahili walisema "Mtegemea cha ndugu, hufa masikini"
Na pia "Mtaka nyingi nasaba, hupata mwingi msiba".
Kujitegemea ndio mpango mzima.
huyo kaka yako hana hata mahali pa kulala, kula yake ya shida unafikiri atakukumbuka kweli.. madiaspora wanaishi kama digidigi kiufupi wana maisha magumu sana usishangae siku atakutafuta na kukupiga mzinga hata wa buku
Unauhakika na mwelekeo wa maisha yake kwa sasa? Isijekuwa Yeye Ndio anahtaji msaada na kukumbukwa zaidi
Msome dogo hapo,braza kakacha na fungu lake la urithi masiku yanasonga bro anajidai hata simu tu hana muda wa kutwanga!!!
malizaneni wenyewe kila mtu akianza kuleta matatizo yake ya kifamilia itakuwaje?
Inawezekana uyo kaka yako ni HOMELESS yuko ana tanga tanga bado hajaseto mpe miaka kama 5 bado mapema sana.
Usichukie mtu bila kujua maswahiba yaliyomkuta pengine yuko jela amefungwa
labda na yeye kafulia ..mimi nawajua watu wengi tu waliopo abroad ambao hata nauli ya kurudi hawana
Tuko pamoja asilimia 100% tatizo langu ni source ya income aliyotumia kuondoka bongo na pia it's not just ndugu he is my only brother hakuna mwingine.Kuhusu kufight I have been there na bado naendelea with or without him.Tatizo no connections no communication no nothing suppose he dies Kama LUKINDO what will happen will I get to know and How?! au ndo ntaletewa MAITI home au ikiwa mbaya zaidi nsiimuone tena maishani
Ps:We went to school tog and grew up in the same hood and used to be around much for us as a family,where is that all gone,naongea kwa uchungu,hii siyo hekaya msiniquote wrong
Lose the attachment.
The attachment will only boggle you down.
Watu wamekimbia.watoto wa.kuwazaa wenyewe, mwishowe watoto wametokea kuwa kina Obama.
Hata vitabu vya dini, from a purely cultural and secular perspective, vimeandika katika Psalms 118:22 "The stone that the builders refused, has become the cornerstone".
Cc: Steve Dii
Hajafulia kuna watu wa namfahamu wanajua status yake na Ana Kama 10 years hivi ughaibuni
Na mie nawajua wengi tu waliopo abroad wana pesa za naulii na huja bongo mara nyingii tuuu
Cc Nyani @ngabu