Kaka yangu wa ughaibuni amenitenga

Kaka yangu wa ughaibuni amenitenga

embojo, nataka kukuchallenge tu uuchunguze moyo wako. Angekuwa alichukua hiyo mirathi na kwenda kulima shinyanga na akakata mawasiliano, ungeumia kwa kiasi hichi? OLESAIDIMU, ungeichukuliaje hii? Ungekuwa worried kama jamaa yuko ok na anapata hata mlo ama?

Hivi Kama hii Ishu ingekutokea wewe ungefanyeje maana hata maswali yako naona yananichanganya zaidi ukizingatia mama alifariki tu na kila kitu akiondoka nacho,nimestruggle Nimesoma na kumaliza chuo na bado napambana ingawa ajira ni Ishu,so usidhani nimelala tu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu embojo cheki na Rais wa wabeba box Nyani Ngabu a.k.a mzee wa Miafrika ndivyo ilivyo,,, anaweza kuwa na jina lake kwa rejista.

Ha haaaah wazee wa Cremation wana mambo Sana.
 
Hawa watu huwa wana matatizo saana, bro yuko pale London toka 2004 kwa sasa ni associates prof huko majuu ila hajawahi kutuma hata khanga kipande kwa mom wala anunue shati akate mikono atume kwa mdogo wake..!! Duh!!

Mother kaweka nadhiri na utabiri kama wa joshua kwamba prof lazma atarudi nyumbani punde akiwa majalala...tunasibiri tuone!! Maana naskia maza ni mungi wa pili!!

Duh inasikitisha! Ila bi maza nae asiweke nadhir za kuachia radhi hivyo....akimkuta jalalani yeye(bi maza) ndie atakaeumia the most!
 
embojo, nataka kukuchallenge tu uuchunguze moyo wako. Angekuwa alichukua hiyo mirathi na kwenda kulima shinyanga na akakata mawasiliano, ungeumia kwa kiasi hichi? OLESAIDIMU, ungeichukuliaje hii? Ungekuwa worried kama jamaa yuko ok na anapata hata mlo ama?

Unajua inawezekana jamaa hela haimuumi kihivyo ila tu sababu ni aliachiwa na bi mkubwa wake sasa kuna emotion part na thamani ya mpunga halisi hapo!!!!

Labda kama wangekuwa wamechanga tu mpunga angeelewa!!!!

We unajua ni mchokonozi sana so una maana jamaa roho inamuenda mbio sababu bro yuko mbele sio!!!??????
 
Tuko pamoja asilimia 100% tatizo langu ni source ya income aliyotumia kuondoka bongo na pia it's not just ndugu he is my only brother hakuna mwingine.Kuhusu kufight I have been there na bado naendelea with or without him.Tatizo no connections no communication no nothing suppose he dies Kama LUKINDO what will happen will I get to know and How?! au ndo ntaletewa MAITI home au ikiwa mbaya zaidi nsiimuone tena maishani
Ps:We went to school tog and grew up in the same hood and used to be around much for us as a family,where is that all gone,naongea kwa uchungu,hii siyo hekaya msiniquote wrong

Daaanh pole sana kaka, umeniumiza sana roho yangu..........I have only two kids yaani ni kama namsikia mwanangu analalamika!!!!!!!! Sikia kitu nikuambie huyo yuko mbali kweli ila "you will never walk alone" angalia michango ya humu unga undugu na watu solid usikae mnyonge mkuu!!!!!!!

Mengine chezea upande ule wa watu wachache hapa mimacho kibaaoooooooo!!!!!!!
 
Ulishawaza kama huo urithi usingekuwepo maisha yangekuwaje?! Kama wangezaliwa na baba maskiniii, afu akawaacha hapo na bro akazamia meli afu akakata communication? Aisee mie unachonipa narudisha mara milioni. Ukinipa upendo nakupenda hadi uombe poo. Ukinishit mara moja ntakushiti hadi ujishangae. Ntaumia ofcoz lakini siwezi kuumia mwaka mzima. Najua nikiwapa nafasi wanaonizunguka watanipenda pengine kuliko wewe unaenishiti! Maisha marahisi haya jamani, acheni ngebe!

Mamii naelewa kama wewe ila huyu mtu ana umri gani, kapitia yepi so far, unaweza kuta bi mkubwa aliwaambia naawaacha wenyewe pendaneni sasa maneno kama haya yanataka ukomavu kuona kuwa life can go beyond wishes!!!!!

ukomavu hatuzaliwi nao ila tunajifunza sasa huyu anapitia njia ngumu may be katika umri mdogo pia!!!!
 
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart

Kama namjua vile. Ile usimlaumu, Diaspora wana hali ngumu sana tena sana! I say wewe unaweza kuwa vizuri mara mia zaidi yao.
 
Hahaha...mh usimtie vijiti vya sikio mwenzio...leo wamegombana kesho watapatana...'ndugu wakigombana chukua jembe ukalime'

Kuna maumivu huondoka kwa maumivu zaid then unapona mazima!!!!!!!!
Hapa wanasoma wengi sana na inawezekana yupo, au watu wanamfahamu sasa kumuacha mdogo wake yatima kwa mara ya pili baada ya kuondokewa na mama ni nini mpaka aendelee kuwa mafichoni!!!!!??????

Imagine heading ina neno "amenitenga" na sio jambo lingine , this boy is in pain, ingia kwenye viatu vyake then uone.....jamaa huyu mkubwa hamtendei dogo freshi kabisaa!!! Kama hakieleweki amueleze tuu kwa anavyoandika hapa kama ha pretend ana akili ya kuelewa na kukubali!!!!
 
Kuna maumivu huondoka kwa maumivu zaid then unapona mazima!!!!!!!!
Hapa wanasoma wengi sana na inawezekana yupo, au watu wanamfahamu sasa kumuacha mdogo wake yatima kwa mara ya pili baada ya kuondokewa na mama ni nini mpaka aendelee kuwa mafichoni!!!!!??????

Imagine heading ina neno "amenitenga" na sio jambo lingine , this boy is in pain, ingia kwenye viatu vyake then uone.....jamaa huyu mkubwa hamtendei dogo freshi kabisaa!!! Kama hakieleweki amueleze tuu kwa anavyoandika hapa kama ha pretend ana akili ya kuelewa na kukubali!!!!

Aisee tuko pamoja yaani,thanks for sharing my pain
 
Abroad sijafika wala kukaa huko,ila nachojua hali yao ya kimaisha ni tete,na gharama ziko juu sana...tena kama hawa wanaozamia ukubwani mhh,labda awe na kazi rasmi ya maana,na sio mbangaizaji,mtoa mada komaa tu hapa bongo,it's easier,..nduguyo maisha yamemtaiti sio kwamba kakutenga
 
Maza manake nini? Kuwa na heshima dogo

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Maza manake nini? Kuwa na heshima dogo

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

Kwa sisi tuliokulia A town Maza ndo mpango mzima hakuna jina zaidi ya Hilo utamwita mama all akafurahi,tena huwa tunakoleza mamaa au mazaa,wewe unafikiri Mimi Dogo sana eti!
 
dogo ulitaka akubebe kumbuka maandiko yanasema kila mtu ataubeba mzigo wake na kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake kama alikuzidi akachukua mirathi yote ndo alipokuzidi urefu wa kamba hivyo hata huu muda wa kulalamika unajikwamisha tu kutoka we komaa utoke hacha lawama za kitoto
 
ameenda nchi gani ya huko ughaibuni? manake kibongo bongo mtu akiwa nje ya tz yupo ughaibuni, usikute yupo Malawi tu hapo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom