Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Nilikua na boyfriend wangu tukaachana akaja kuoa, sasa alikua na mdogo wake, akawa anamtaka rafiki yangu akanambia nimuunganishie ndipo tukapeana namba za simu na kweli akafanikiwa kumpata sababu na yule rafiki yangu alikua kicheche wakashndwana na kuachana.


Sasa karudi kwangu ananitaka mie, eti ananambia nilishndwa kukutongoza kipindi kile sababu ulikua na kaka yangu, na anasema ananipenda kiukweli na anataka kuja kwetu kutoa mahari ili anioe kama nikikubali?

Sasa huyu mzima kweli? japo yule kaka ake wamechangia baba tu.

Hivi hata nikimkubali nitaonekana mjinga mimi au yeye? mana kiukweli mimi mwenyewe ananivutia na nilimpenda kimoyo moyo toka mwanzo tulivyoonana nikatamani nigeanza kuonana nae yeye kwanza, na ana kila sifa ninayoitaka kwa mwanaume.

Embu mnishauri mwenzenu.... nifanyeje

Wahenga wana msemo wao kuwa ndege wanaofanana huruka pamoja so baada ya jamaa kujua rafikio ni kicheche akajua na wewe ni wale wale na kweli kwa bahati nzuri kwa kupitia maneno yako mwenyewe inaonyesha yawezekana wewe ukawa kicheche zaidi hata ya rafikio so kama vipi mpe tu since msela hatokuwa wa kwanza wala wa mwisho kukugegeda
 
Nikitazama mwandiko wako tu nishapa jibu,hapa umekuja kutupotezea muda tu wakati jibu ushalitoa hapo kwenye matamko yako.
 
Kama kaoa kubali,ila lazima wawe bifu,nachohisi hata ukiolewa wote watakuwa wanakuchop
 
angalia moyo wako unapokutuma ila akija mwingine kwa style hiyo utadate na wangapi!!


TULIZANA
 
Sema "Kaka wa aliyekuwa boyfriend wangu......." ni hilo tu ushauri mwingine endelea kusikiliza kwa wana JF.
 
Kaka kakufunua katambaa na mdogo wake pia unataka akufunue...!? tulizana.
 
Ni jambo baya sana kutembea na ndugu wa mpenzi wako, mfano kaka (kwa wanawake) au dada (kwa wamamme)wa mpenzi wako. Si hivyo tu bali ni aibu pia kama wewe (me) utembee na dada wa rafiki yako.

Acha dhambi!
 
na baadae atamtaka Mama ako....ukisikia uchu wa kula kuku na vifaranga wake wote ndo huu
 
Naona wachangiaji wsliowengi wamemshambulia mtoa mada as if yeye ndo wa kwanza kufanya hilo analotaka kufanya. Nani anaweza nionyesha dhambi ya mleta mada ktk vitabu vya MUNGU na hata hizo tamaduni tuzozitetea......!?
 
Hivi humu ndani shingongo hayupo? Au hata jamaa zake?

Kuna vipaji vingi sana ambavyo anaweza kuvitumia,Japo Hiki itabidi akipige msasa kidogo Maana maudhui ya stori yake yamekinzana,mara sterling amuite hana akili,mara aseme sterling anavutia!!!!
 
Uwiiiiii hatari nimekosa la kuchangia


Hahahahahahahah,

Kwani huyu binti hajafanya maamuzi bado? Mie naona anachokoza watu ili ajue kama mtaani wanamtazama kwa jicho baya au la!!

Huwezi kuomba ushauri wa kumkataa mtu uliyemtamani na tayari keshatia timu....It doesn't make any sense!
 
Back
Top Bottom