Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Kama umempa Bibi malizia tu kuolewa naye.
Nilikua na boyfriend wangu tukaachana akaja kuoa, sasa alikua na mdogo wake, akawa anamtaka rafiki yangu akanambia nimuunganishie ndipo tukapeana namba za simu na kweli akafanikiwa kumpata sababu na yule rafiki yangu alikua kicheche wakashndwana na kuachana.
Sasa karudi kwangu ananitaka mie, eti ananambia nilishndwa kukutongoza kipindi kile sababu ulikua na kaka yangu, na anasema ananipenda kiukweli na anataka kuja kwetu kutoa mahari ili anioe kama nikikubali?
Sasa huyu mzima kweli? japo yule kaka ake wamechangia baba tu.
Hivi hata nikimkubali nitaonekana mjinga mimi au yeye? mana kiukweli mimi mwenyewe ananivutia na nilimpenda kimoyo moyo toka mwanzo tulivyoonana nikatamani nigeanza kuonana nae yeye kwanza, na ana kila sifa ninayoitaka kwa mwanaume.
Embu mnishauri mwenzenu.... nifanyeje
Huu ndio unaitwa umalaya, unakaa meza moja mtu na kaka yake miboro yao wote wameshakusokomeza, huu ni uchafu haupaswi kufanywa na mtu mwenye akili zake.
Kaka kakufunua katambaa na mdogo wake pia unataka akufunue...!? tulizana.
na baadae atamtaka Mama ako....ukisikia uchu wa kula kuku na vifaranga wake wote ndo huu
kicheche + kicheche =............
Uwiiiiii hatari nimekosa la kuchangia
Kubali tu kwani sh ngapi.