Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Teh teh kashaliwa huyu, bhahhhaahahhaaaaaa.. ihnhi ihnhi...!
 
mkuu kila mtu ni mroho na hakuna anayeweza kuacha uroho ila tunapunguza ila huyo binti angefanya favor kwa kunipatia mim hicho alichojaaliwa na maanan

unajipendelea wewe tu,unadhani wengine hatukitaki?
 
Naona wachangiaji wsliowengi wamemshambulia mtoa mada as if yeye ndo wa kwanza kufanya hilo analotaka kufanya. Nani anaweza nionyesha dhambi ya mleta mada ktk vitabu vya MUNGU na hata hizo tamaduni tuzozitetea......!?

kama waligegedana na wakwanza ni dhambi hawakuoana!umeona sasa?
 
Hivi humu ndani shingongo hayupo? Au hata jamaa zake?

Kuna vipaji vingi sana ambavyo anaweza kuvitumia,Japo Hiki itabidi akipige msasa kidogo Maana maudhui ya stori yake yamekinzana,mara sterling amuite hana akili,mara aseme sterling anavutia!!!!

hayo maneno ya mwisho hahahah
 
Namshauri Mkandara asome kwanza article ya Assad halafu ndio aijibu. Maelezo aliyoyatoa ni yale yale ya kule bcs na hayajazingatia maelezo aliyoyatoa Assad ambayo kwa kiasi kikubwa yalitoa mwanga wa kitaalamu katika hili jambo. Assad alianza kwa kueleza maana ya degree fake ambayo Mkandara hajazingatia katika maelezo yake.

LOL........ ANOTHER STORY IN ANOTHER WAY for AN.....OTHER PEOPLE...
TANZANIA TO HEAVEN AU
HEAVEN TO TANZANIA...

BADO SIJAMUONA BINADAMU WA KUMPENDA DUNIANI
 
Wewe binti hujielewi....samahani kwa hlo kama nimekukwaza.Huyu mwanaume amewaona ww na rafiki yako hamnazo na anapanga kukuvuruga.Una shida sana ya ndoa???

Halafu binti anayejitambua ningumu sana kufanya habar za kuunganishiana mabwana likewise kwa mwanaume anayejielewa ni ngumu kukubali kukuwadiwa mwanamke.

lakini mwanaume kafanikiwa..hakujali katumia njia gani...
 
utaleta ugomvi kwenye ukoo, uwoni jamaa ako wa zamani akitaka kukumbushia afu dogo akan'gamua insue.??
 
Vua chupi akutifue ww unabana kwani yako ni tanzanite ata wenzio wanamilik km yko atatimkia kwingine ubaki unajutia..
 
Hayatuhusu. This is your private business. Absolutely, private!!
 
ondoa upoyoyo na maamuz ya stress hapa...wanaume kibao wamejaa ukavamie shem ako alaaa...
hata kama. ni ex-shem.....mxxxxxxxxxious...mwehu weee..
 
Taratibu mama.

ndio aache ujinga banah narudia tena aache ujinga atamvuliaje chup shemejiye....yaani shimo kapita mdogoye hilohilo anataka mpa na kakaye huo ni ungese nakujidhalilisha kabisa
 
ndio aache ujinga banah narudia tena aache ujinga atamvuliaje chup shemejiye....yaani shimo kapita mdogoye hilohilo anataka mpa na kakaye huo ni ungese nakujidhalilisha kabisa

Halafu nakotogilwe nho.
 
Back
Top Bottom