Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 528
panua mapaja mtoto uliwe....
hahaha acha uroho mkuu
Nilikua na boyfriend wangu tukaachana akaja kuoa, sasa alikua na mdogo wake, akawa anamtaka rafiki yangu akanambia nimuunganishie ndipo tukapeana namba za simu na kweli akafanikiwa kumpata sababu na yule rafiki yangu alikua kicheche wakashndwana na kuachana.
Sasa karudi kwangu ananitaka mie, eti ananambia nilishndwa kukutongoza kipindi kile sababu ulikua na kaka yangu, na anasema ananipenda kiukweli na anataka kuja kwetu kutoa mahari ili anioe kama nikikubali?
Sasa huyu mzima kweli? japo yule kaka ake wamechangia baba tu.
Hivi hata nikimkubali nitaonekana mjinga mimi au yeye? mana kiukweli mimi mwenyewe ananivutia na nilimpenda kimoyo moyo toka mwanzo tulivyoonana nikatamani nigeanza kuonana nae yeye kwanza, na ana kila sifa ninayoitaka kwa mwanaume.
Embu mnishauri mwenzenu.... nifanyeje
Interesting...
Huu ndio unaitwa umalaya, unakaa meza moja mtu na kaka yake miboro yao wote wameshakusokomeza, huu ni uchafu haupaswi kufanywa na mtu mwenye akili zake.
nikisoma topics zako napata shida ya kukuamini
Kubali tu kwani sh ngapi.
Mimi naona mmefanana akili,, olewa tu bidada, angalia tu neno mahari lisiwe gia ya kuingia, halafu uachwe unasoma namba za gari
^^