Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Huu ndio unaitwa umalaya, unakaa meza moja mtu na kaka yake miboro yao wote wameshakusokomeza, huu ni uchafu haupaswi kufanywa na mtu mwenye akili zake.
 
Nilikua na boyfriend wangu tukaachana akaja kuoa, sasa alikua na mdogo wake, akawa anamtaka rafiki yangu akanambia nimuunganishie ndipo tukapeana namba za simu na kweli akafanikiwa kumpata sababu na yule rafiki yangu alikua kicheche wakashndwana na kuachana.


Sasa karudi kwangu ananitaka mie, eti ananambia nilishndwa kukutongoza kipindi kile sababu ulikua na kaka yangu, na anasema ananipenda kiukweli na anataka kuja kwetu kutoa mahari ili anioe kama nikikubali?

Sasa huyu mzima kweli? japo yule kaka ake wamechangia baba tu.

Hivi hata nikimkubali nitaonekana mjinga mimi au yeye? mana kiukweli mimi mwenyewe ananivutia na nilimpenda kimoyo moyo toka mwanzo tulivyoonana nikatamani nigeanza kuonana nae yeye kwanza, na ana kila sifa ninayoitaka kwa mwanaume.

Embu mnishauri mwenzenu.... nifanyeje

Wacha upuuzi wewe, kama unashindwa kutoa uamuzi mdogo kama huu basi na wewe ni kicheche tu kama huyo mwenzio uliyemuita kicheche!

Yaan shemeji yako ni mwiko kujilegeza, ushatembea na mdogo wake huyo ni shemejiyo usilete mambo ya utandawazi hapa! Utamuangalia vipi huyo aliyekuwa boyfriend wako hata kama huyo kaka mtu atakuoa?

Wewe ningekujua ningemtahadharisha dada yako mana shemejiyo (mumewe dada yako) akikutaka utamkubali pambaf kabisa
 
Huu ndio unaitwa umalaya, unakaa meza moja mtu na kaka yake miboro yao wote wameshakusokomeza, huu ni uchafu haupaswi kufanywa na mtu mwenye akili zake.

Daaaaaah....nachojaribu kukiona kwa huyu binti anataka kumkomesha huyo dogo aliyeoa wakati anajidhalilisha.
 
nikisoma topics zako napata shida ya kukuamini
 
Kaombe ushauri kwa babu wa loliondo
 
Mimi naona mmefanana akili,, olewa tu bidada, angalia tu neno mahari lisiwe gia ya kuingia, halafu uachwe unasoma namba za gari
^^

Hahahahaah...umenichekesha kweli...na ni kweli wanafanana akili...lol
 
Back
Top Bottom