Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Yoote mtoa mada aliyoyaandika na comment zoote zinazotiririka hapa vyote vina lengo moja tu
"msuguano kati ya PAPUCHI na DUSHE! Tehe! Amakweli vitu hiv vinanguvu kuliko greda! Acha nicheke tena ,tehe!tehe!
 
Basi kama ni aliyeoa, basi tusimhukum huyu ambaye bado hajaolewa. Mimi hapo sioni tatizo yeye kumpenda huyo bwana mdogo. Tatizo pekee naloweza ona mgongano wq kimaslahi kati ya ndugu hawa. Vinginevyo hakuna dhambi akiamua kuolewa na mdogo mtu. Mbonq hapo kale walikuwa wanarithiana?
 
Anataka kuoa nawe unampenda sasa unasubiri nini? Mpaka aghaili au.
 
Basi kama ni aliyeoa, basi tusimhukum huyu ambaye bado hajaolewa. Mimi hapo sioni tatizo yeye kumpenda huyo bwana mdogo. Tatizo pekee naloweza ona mgongano wq kimaslahi kati ya ndugu hawa. Vinginevyo hakuna dhambi akiamua kuolewa na mdogo mtu. Mbonq hapo kale walikuwa wanarithiana?

walikua wanarithiana ikiwa mmoja hayupo duniani tena na ilikua ni kwa ndoa ya kimila wanafanya,lakini sasa huyu mzima na bado girlfriend aletwe nyumbani si wataanza na misemo ya kileo mara "true love never die" kaka mtu atataka kuonja tena,mara kukumbushia enzi...pata picha wamekaa wote watatu meza moja wanakula mmmh...

Kwanza kutakua hamna uaminifu kati ya mtu na kaka yake

Pia sidhani kama atamuona ukute ni njia ya kumpata tu baada ya kuona hyu binti anatamani kuolewa(mawazo yangu)

Pia baada ya kuona kua rafiki ake kicheche na yeye ni walewale tu(pia mawazo yangu).
 
Wewe mtoto si uje kwangu ambaye roho yangu ilisha kudondokea tangu wakati ule isipokuwa ulikuwa hujajitambia tu! Dondoka nikurenge!!!!!!!
 
walikua wanarithiana ikiwa mmoja hayupo duniani tena na ilikua ni kwa ndoa ya kimila wanafanya,lakini sasa huyu mzima na bado girlfriend aletwe nyumbani si wataanza na misemo ya kileo mara "true love never die" kaka mtu atataka kuonja tena,mara kukumbushia enzi...pata picha wamekaa wote watatu meza moja wanakula mmmh...

Kwanza kutakua hamna uaminifu kati ya mtu na kaka yake

Pia sidhani kama atamuona ukute ni njia ya kumpata tu baada ya kuona hyu binti anatamani kuolewa(mawazo yangu)

Pia baada ya kuona kua rafiki ake kicheche na yeye ni walewale tu(pia mawazo yangu).

Nakubaliana na wewe kwamba kama lengo ni kungonoana tu, hapo kuna tatzo, lakini kama wengelikuwa na nia ya kuoana kweli na wamedhamiria hivyo, kusingelikuwa na tatizo lolote brothet angeitwa na kuonywa na wazee halafu dogo akabeba mzigo mazima. Hakuna sababu ya brother kuweka kauzibe wakati alishamtosa.
 
Dah...kweli kuishi kwingi ni kuona mengi
 
Naomba niunganishie na mm kwa huyo frnd wko basi
 
Sasa huyu mzima kweli? japo yule kaka ake wamechangia baba tu. Hivi hata nikimkubali nitaonekana mjinga mimi au yeye?

Mbona kama tayari conscious yako imeshakuonya kuwa hili si jambo jema?

Well, wawe wamechangia baba au mama, hao ni ndugu wa damu na lazima ufikirie hilo, hasa unapoanza kuwaza suala la kuolewa na jamaa. Kuwa makini though, huenda jamaa keshakuona wewe kicheche tu, kama rafiki yako
 
hapo hamna cha kukushauri maana inaonekana unampenda pia na ushafanya maamuzi tayari
 
Ww nae hizi story haziishi, naona unatafta umaarufu If.
 
Back
Top Bottom